Jukwaa la Historia

  • Sticky
Mengi yamesemwa kuhusu Mzee wetu huyu na sisi tuliokuwa shuleni wakati ule tulilishwa kile ambacho naamini ni sumu. Wakubwa tuelimisheni ukweli kuhusu Mzee huyu. Oscar Kambona Kambona, the man...
24 Reactions
1K Replies
286K Views
  • Sticky
Leo ni miaka 23 tangu Waziri Mkuu Edward Moringe Sokoine atutoke ghafla na kuacha simanzi na wingu la huzuni. Siku ile ya machozi na majonzi imebakia katika kumbukumbu za Watanzania wengi kama...
20 Reactions
684 Replies
158K Views
  • Sticky
Mwalimu (RIP)Baba Wa Taifa Hili, na Mkewe Mama Maria Wakuu Wote Jamii Forums, Heshima mbele! Katika hiki kipindi cha mapumziko nimeona sio vibaya tukijikumbusha historia yetu ya taifa katika...
19 Reactions
2K Replies
494K Views
  • Sticky
Watu wanasahau tu ila Museveni ni mtu mbaya sana! Inadaiwa kuwa sumu iliyopaswa imuue moja kwa moja baada ya kutoka kwenye ziara pale Kilwa Road kwenye sabasaba, hatimaye ikammaliza daktari wa...
88 Reactions
2K Replies
520K Views
  • Sticky
Mwaka 1964 siku thelathini baada ya uhuru wa bandia wa Zanzibar, wanamapinduzi kumi na nne wakiongozwa na mpigania uhuru John Okello aliwaongoza kwenye mapinduzi ya Zanzibar yaliyokuwa na umwagaji...
38 Reactions
897 Replies
230K Views
  • Sticky
Habari za kuaminika zinadai kuwa Kiongozi Mkuu wa Libya Muammar Gaddafi amekalia kuti kavu, habari zinasema kuwa hali iliyofikia hairudi tena nyuma, nae atakurupushwa na kung'olewa kama shina la...
10 Reactions
8K Replies
675K Views
  • Sticky
Hapa Nyerere akiikosoa Uingereza pia Hapa Nyerere akizungumzia Rhodesia Heheheeee Nyerere bana....kanifurahisha hapo aliposema 'jitu zima' hahahahaaaa. Nyerere na Mandela wakizungumza na...
78 Reactions
636 Replies
177K Views
Karume Day. Angalia mahojiano ya historia ya Abeid Amani Karume na uhusiano wake na watu wa Dar es Salaam 1950s: https://youtu.be/mDVeLEooKwE?si=nBlCX_hmGUwKoprZ
0 Reactions
1 Replies
45 Views
Nimeona clip moja ya Sheikh mwanaharakati, Dr Sulle akisema watu wengi hawajui au wanapotosha hayati Rais Mwinyi kuitwa Mzee Ruksa. Akitoa historia fupi Dr Sulle anasema mwaka 1993 kulitokea...
11 Reactions
51 Replies
2K Views
TUNE SHAABAN SALIM MWANDISHI NGULI NA MSHINDI WA TUZO YA NYERERE YA BURT AMEFIKA MAKTABA Leo nimetembelewa Maktaba na mwandishi Bingwa na Mshindi wa Tuzo ya Nyerere ya Burt inayoshindaniwa na...
2 Reactions
4 Replies
73 Views
IKIWA HUJAPATAPO KUZIONA TARIFA ZA KIKACHERO ZA SPECIAL BRANCH 1950s "Tanganyika Political Intelligence Summary, March 1952": "...it is reported that the Secretary of the Association, Abdul Wahid...
0 Reactions
35 Replies
648 Views
Habari Wana JF leo Kama Kawaida Mimi mtu wa Kufuatilia Historia Mbali mbali Twende na Mimi. KIFO CHA ADOLF HITLER, TAREHE 30/04/1945: Adolf Schickelgruber, A.K.A Hitler alikuwa mzaliwa wa nchi...
1 Reactions
5 Replies
343 Views
Tangu nipo shule ya msingi tulikuwa tunaaminishwa kwamba Mwl Nyerere ndio "icon" pekee hapa nchini, tulikuwa tunaimba nyimbo nyingi ni za kumsifu, lakini hatukuwahi kuambiwa kuwa kuna watu...
131 Reactions
2K Replies
173K Views
AZIZ ALLY MJENZI WA MISIKITI Aziz Ally alipofariki mwaka wa 1951 muda mfupi baada ya.kutoka hijja gazeti la Tanganyika Standard katika kueleza kifo chake liliandika "Mjenzi wa Misikiti Amefariki."...
9 Reactions
31 Replies
701 Views
HADITHI YA ALI WAWILI: ALI HASSAN MWINYI NA ALLY KLEIST SYKES Majina yao yamefanana mtu na somo yake ila kila mmoja analiandika jina lake vingine. Mimi na Hamza Aziz tulikuwa na Majlis yetu nje...
1 Reactions
3 Replies
365 Views
HAYA NDIO MAKABILA 125 YA TANZANIA ANDIKA NAMBA YA KABILA LAKO UWAJUE NDUGUZO 1. Waalagwa (pia wanaitwa Wasi) 2. Waakiek 3. Wameru 4. Waassa 5. Wabarabaig (pia wanaitwa Wamang’ati) 6. Wabembe 7...
5 Reactions
72 Replies
2K Views
Shirika la Afya Duniani WHO limeipendekeza Tanzania sanjali na Nchi zingine kuwa miongoni mwa Nchi ambazo zimepewa nafasi ya kuweka mgombea ambae anaweza kuchaguliwa kuwa Mkurugenzi wa WHO Kanda...
1 Reactions
2 Replies
232 Views
HARRY BELAFONTE, MIRIAM MAKEBA, SIDNEY POITIER AND SAL DAVIS KENYA INDEPENDENCE CELEBRATIONS 1963 Nakuwekeni kipande hiki kama kumbukumbu ya Harry Belafonte kama nilivyoelezwa na Sal Davis...
2 Reactions
13 Replies
933 Views
Mpangilio wa vitu vyandani ndo mwonekano wa wayaringi iliyo fungungwa katika nyumba yako.kuna wateja wanapenda kubadirika kutokana na wameona nini Kwa rafiki yake wakati wayaringi yake hairuhusu...
0 Reactions
0 Replies
94 Views
THE NYERERE YEARS Nakifahamu kitabu hiki kuhusu marafiki wa Mwalimu Julius Kambarage Nyerere. In Shaa Allah nitajaribu kuandika niyajuayo kutokana na majina ya hawa ambao ni rafiki zake na ndiyo...
1 Reactions
7 Replies
237 Views
MAKALA SEHEMU YA KWANZA: TANZANIA ILIPOKUWA MAKAO MAKUU YA VYAMA VYA UKOMBOZI NA CHANGAMOTO ZAKE MWAKA 1959 CHAMA CHA MRENGO MKALI PAC PAN AFRICANIST CONGRESS...
1 Reactions
25 Replies
470 Views
JINA LA MTONI KWA AZIZ ALI LIMETOKEA WAPI!? Wilayani Temeke, jijini Dar es Salaam, kuna eneo linaitwa Mtoni. Mtoni yenyewe nayo ina mitaa mingi ikiwamo Mtoni Kijichi, Mtoni Mtongani, Mtoni kwa...
2 Reactions
19 Replies
7K Views
OSCAR MAKOYE MCHORA KATUNI MAARUFU TANZANIA. ______________________ Katika pita pita zangu nime bahatika kukutana na moja Kati ya wachoraji maarufu wa katuni Hapa Nchini Tanzania kwenye mangazeti...
4 Reactions
11 Replies
832 Views
Maktaba leo imetembelewa na Mwalimu wa Historia Dr. Francis Daud. Kilichomleta ni yeye kutaka kusikia kutoka kwangu kipi nikijuacho kuhusu mwanamapinduzi huyu. Sikiliza mazungumzo yetu...
0 Reactions
12 Replies
362 Views
Tafsiri ya kitabu The Autobiography of Malcom X. Unaweza kukisoma ndani ya Maktaba app. Muandishi: Malcom X(Alex Haley), 1965. Mtafsiri: Pictus Publishers ltd Email...
10 Reactions
145 Replies
12K Views
Leo asubuhi nimeingia Maktaba nikawa napekuapekua katika Memory Lane yaani Mtaa wa Kumbukumbu. Nikakuta video fupi fupi kadhaa. Nikazisikiliza. Nimepigwa na mshangao. Yaliyomo ndani ya video...
1 Reactions
6 Replies
306 Views
Asili na habari za Wachaga Wachaga walikuwa ni moja ya makabila ya kwanza kwanza kabisa Tanzania kukutana na kupata ustaarabu wa Kizungu. Hilo limefanya kuwa kabila ambalo historia yake...
1 Reactions
17 Replies
792 Views
Back
Top Bottom