Screenshot_20240429-130809.png
 
Sasa mfano ulioutolea apo Kwa Lakers mi nmeeka Lakers win sijacheza over si nakuwa nshakula nakuwa nmeukwepa msala wa mechi fixing anyway vyovyote vile ata wakipanga matokeo BDO Kuna watu watakula. Kila mtu na upepo wake mfano man city vs Luton apa wengi watamfata city win mfano odds 1.23 afu mwengne aakaona city win odds chache akamfata Luton apate tu goli odds 1.43 labda ko ni upepo wako tu unavoeka
Kaka hujaelewa nn apo.??? Kampuni inaangalia mzigo upo kwenye soko gani zaidi .... ndio maana nmesema Kwanza inaangaliwa game mama ya siku husika .... game mama n game iliyochezwa zaidi katika siku hio then inaangaliwa masoko kadhaa yaliyotiwa mzigo ..... Hawez anza kuhangaika na Direct win fixing kama mzigo upo kwenye over Mfano game mama ni City na Mzigo upo zaidi kwenye over 2.5 game inafanyiwa fixing city anaeza shinda moja au 2 Kwaio alieweka Win direct kala lakn haimuathiri chochite mhindi kwa sabbabu mzigo mkubwa haukua huko ...... Mfano Betway inasemekana ana Hisa CAF sasa yeye aone kabisa game flan ikipatikana goli 3 ntaliwa mabilion ya fedha akae kimya na ni mdhamini ???
 
Kaka hujaelewa nn apo.??? Kampuni inaangalia mzigo upo kwenye soko gani zaidi .... ndio maana nmesema Kwanza inaangaliwa game mama ya siku husika .... game mama n game iliyochezwa zaidi katika siku hio then inaangaliwa masoko kadhaa yaliyotiwa mzigo ..... Hawez anza kuhangaika na Direct win fixing kama mzigo upo kwenye over Mfano game mama ni City na Mzigo upo zaidi kwenye over 2.5 game inafanyiwa fixing city anaeza shinda moja au 2 Kwaio alieweka Win direct kala lakn haimuathiri chochite mhindi kwa sabbabu mzigo mkubwa haukua huko ...... Mfano Betway inasemekana ana Hisa CAF sasa yeye aone kabisa game flan ikipatikana goli 3 ntaliwa mabilion ya fedha akae kimya na ni mdhamini ???
Tokapa
 
Back
Top Bottom