Master's ya Public Health

Msitari wa pambizo

JF-Expert Member
Sep 25, 2014
2,911
4,954
Nimeona Masters hii inatolewa MUHAS na Mlimani. Hapo mlimani nimeona wanaruhusu mpaka watu waliochukua course za arts undergraduate.

Swali langu ni je inauhusu nini na fursa zake zikoje hapa kwetu nchini
 
Nimeona Masters hii inatolewa MUHAS na Mlimani. Hapo mlimani nimeona wanaruhusu mpaka watu waliochukua course za arts undergraduate.

Swali langu ni je inauhusu nini na fursa zake zikoje hapa kwetu nchini
Inahusiana na masuala ya health promotion,prevention of diseases na protection of the public health.

Hii ni kozi ambayo mtu yoyote naweza somea..ila mtu mwenye background ya afya ndio itakua na tija zaidi kwake.

Nenda muhas kasome au vyuo vya afya.

#MaendeleoHayanaChama
 
Back
Top Bottom