Mshiriki lazima awe mwanachama wa JamiiForums, ambapo anaweza kujisajili kwa kiunganishi hiki; Register
Mshiriki anaweza kutumia jina halisi au la kubuni ‘pseudonym’.
Mshiriki atatakiwa kutaja...
TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI
UZINDUZI WA AWAMU YA 4 YA SHINDANO LA “STORIES OF CHANGE”
JamiiForums (JF) ni Asasi ya Kiraia yenye Makao Makuu jijini Dar es Salaam. JF inashughulika na Haki za...
Tanzania tuitakayo baada ya miaka mitatu
SERIKALI IWAUNGANISHIE WANANCHI UMEME BURE, WAKATWE KWENYE LUKU, KAYA MASIKINI TASAF IWEKE UTARATIBU WA KUWALIPIA
Gharama za kuunganishiwa Umeme ni Kubwa...
UTANGULIZI
Nchi yetu ni ya kidemokrasia, na mifumo yote ya kiutawala inazingia misingi ya kidemokrasia.
Hivyo Kila Raia anayo Hali ya kuchagua chama Cha siasa anachokiona Bora.
Zipo tawala mbali...
Si hayo unayofikiri kuwa, bali ni mambo yaliokuwa ni hulka Kwa waja na kuwa ahadi yenye thamani kama Vito, iliyoaminika kuwa ni ndoto ya abunwasi kumbe hata Malkia mchwa anaweza kufanya ikiwa...
Utangulizi:
Uchaguzi ni Haki ya msingi katika nchi yenye utawala bora ambao ni utawala unaofuata misingi ya sheria, haki, usawa, uwajibikaji, ushirikishwaji, demokrasia katika kuchochea uhuru...
I. Seeds of Despair, Seeds of Hope
Mzee Juma, his hands calloused from years of toil, holds a handful of shriveled cashew nuts, a stark symbol of the crisis gripping Tanzania's cash crop sector...
MWANZO
Tanzania ina fursa ya kujenga jamii iliyo wazi zaidi, yenye demokrasia imara na uchumi endelevu katika miaka 5 hadi 25 ijayo. Uhuru wa vyombo vya habari na mtandao ni nguzo muhimu katika...
Vocational education is a practical skill and real- world application over theoretical knowledge involves hands approach. In schools it's like planting for the future careers by introducing...
In Tanzania, the journey towards reducing mortality rates and disabilities hinges on a crucial, yet often overlooked factor: First Aid provision during accidents and illnesses. The significance of...
Hivi kila mmoja wetu hapa sianaufahamu angalau kidogo kuhusiana na masuala ya mchezo wa mpira, ni wazi kila mmoja wetu hapa anaufahamu angalau kidogo kuhusiana na masuala ya mchezo wa mpira, hivi...
Ni wazi unakubaliana na mimi kuwa kwa asilimia kubwa watoto wengi wanaosoma shule za English medium ni watoto wanaojua kusoma na kuandika lugha ya kingereza kuliko wale wanaosoma shule za msingi...
Mimi nashauri MAMLAKA YA VITAMBULISHO (NIDA) kuangaliwa upya kwa maslahi mapana ya taifa letu kwa sababu zifuatazo;
1. Endapo kuna makosa yamefanyika wakati wa usajili wa mwananchi hasa makosa ya...
Mabadiliko ya Tabia ya Nchi ni mabadiliko katika hali ya hewa ya katika eneo fulani ambapo mabadiliko hayo yanajumuisha ongezeko la joto, ukame, ongezeko la mafuriko, na kubadilika kwa vipindi vya...
Our Farms, Our Profits: 10 Years to Affordable Fertilizer, Technology as the Solution
The Tanzanian sun beat down relentlessly on Mzee Juma's back, a stark contrast to the cool relief he usually...
Ni nini sababu ya uwepo wa hili giza? Nani aliitaka nuru na wakati ni giza hilohilo liliwaficha dhidi ya uovu wao , Pengine giza lilitengenezwa liulinde mfumo nufaika. Nini ni kikwazo cha...
Utangulizi
Asanteni sana kwa kupata fursa hii kuandika maoni yangu kwa kulenga maendeleo ya Tanzania miaka 5 mpaka 25 ijayo
KILIMO NA UFUGAJI.
Mradi wa Ushauri wa Kuendeleza Kilimo Tanzania kwa...
VYANZO VIPYA VYA MAPATO
Kumekuwa na kodi na tozo mbalimbali ambazo zimekuwa zikiwagusa wananchi na zingine zimekuwa zikiwaumiza kutokana na kushuka thamani ya fedha ya Tanznia dhidi ya dola na...
UTANGULIZI
Tanzania ni nchi yenye uwezo mkubwa sana(potential) uwezo ni uwezo uliotulia, nguvu iliyohifadhiwa, nguvu isiyotumika, mafanikio yasiyotumika, vipawa vilivyofichwa, uwezo uliofungwa...
Namna inayoweza kupunguza ajari kwenye barabara zetu.
Barabara zetu nyingi zenye viwango vya lami, Zimewekwa alama za barabarani zinazosaidia kuongoza watumiaji wake wa vyombo vya moto, lakini...
Katika miaka ya hivi karibuni, Tanzania imeanza safari ya kuleta mabadiliko katika sekta mbalimbali, zikiwemo nyanja za kiuchumi, kijamii, kisiasa na kiteknolojia. Mabadiliko haya chanya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.