Mto Songwe
JF-Expert Member
- Jul 17, 2023
- 6,216
- 12,783
Good.Kwa upande wangu, naumia sana na "uwezo" wa kitechnolojia kwenye viwanda vyetu. Sisi tumekua end users tu.
Viwanda vyetu vinatengeneza bidhaa ndogo ndogo tu juice, etc.
Serikali ingeruhusu wawekezaji wa kigeni waje aisee.
Vipi upande wa sera na uwekezaji katika elimu hasa katika sayansi na teknolojia ?