Kutokupata wateja kuanzia asubuhi hadi jioni baadhi ya siku

Mods huu uzi uacheni hapa hapa

Wakuu habari,

Hivi hii hali ya baadhi ya siku unakuta kuanzia asubuhi hadi jioni hupati wateja kwenye biashara yako badala yake wanakuja wanaoulizia ulizia tu na kuondoka


Hivi hii hali huwa inawakuta naninyi?
Vipi mnakabiliana vipi na stress za hiyo siku?

Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
Nileteeni Gwaajima Nileteeni Gwaajima
 
Inategemeana na aina ya biashara, ila kuna biashara kukosa kabisa mteja ni jambo lisilowezekana..

Ila mwisho wa siku biashara ni stress sana, mimi toka biashara yangu ya hardware ilivyokufa sina hamu kabisa na hizi "physical business"....kifupi siwezi wekeza hela yangu mtaani.
 
Inategemeana na aina ya biashara, ila kuna biashara kukosa kabisa mteja ni jambo lisilowezekana..

Ila mwisho wa siku biashara ni stress sana, mimi toka biashara yangu ya hardware ilivyokufa sina hamu kabisa na hizi "physical business"....kifupi siwezi wekeza hela yangu mtaani.
Nini kiliua biashara yako? Bora kuajiriwa et?
 
Back
Top Bottom