Je, muungano wa Tanganyika na Zanzibar upo kwa vigezo vipi?

Naomba kueleweshwa, kinachosababisha Tanganyika na Zanzibar ziitwe nchi zilizoungana ni kipi? Nauliza haya kwa sababu

1.) Kila nchi ina Rais wake
2.) Kila nchi ina katiba yake
3.) Kila nchi inajeshi lake
4.) Kila nchi ina mamlaka yake ya mapato na mamlaka zingine zote husika katika kuemdesha nchi
5.) Kila mchi ina bunge lake

Kilichokuwa kimebaki ni katika Mambo ya soccer, lakini hata hilo nalo liko mbioni kuondoka, na kila nchi itakuwa na timu yake ya taifa. Sasa hiki kinachoitwa Muungano ni kwa vigezo vipi?

- Raia wa Zanzibar kutawala Tanganyika ila kinyume chake ni marufuku?

- Raia wa Zanzibar kumiliki ardhi Tanganyika ila kinyume chake ni marufuku?

- Mkopo kukopwa na Zanzibar ila deni kulipishwa Tanganyika?

- Kodi zikusanywe Tanganyika ila mapato yakatumike Zanzibar?

- Umeme utoke Tanganyika kwenye mgao wa umeme kisha uende Zanzibar bure bila malipo?

- Wanafunzi watole Zanzibar waje kusoma Tanganyika ila mkopo wachukue bodi ya mikopo ya Tanganyika?

- Wabunge toka Zanzibar kushiriki bunge la Tanganyika na kula posho za waTanganyika ila kinyume chake ni marufuku?

- Utambulisho wa Tanganyika kuzikwa ilihali utambulisho wa Zanzibar unaachwa uishi?

Hicho ndio kinasababisha huu uitwe Muungano, au kuna jambo lingine?
Mpaka hapo kwa mawazo yangu nadhani muungano ubaki tu kwa raia, kila nchi ijimiliki yenyewe, ila sisi raia tuwe free na undugu wetu,
Zanzibar iwe na uhuru wake nasi Tanganyika tuwe na uhuru wetu
Mali ya zanzibar iwe yao hata kama ni kijiko
Vivyo hivyo nasi pia
 
Muungano tulionao ni wa kipekee kabisa duniani. Na unafahamika zaidi kama Muungano wa changu changu, chako changu.
Yaani Zanzibar ina haki ya kufaidi raslimali za Tanganyika, ila Tanganyika hairuhusiwi kufaidi chochote kutoka Zanzibar kwenye huo Muungano. Maajabu ya karne haya!!

Hao Wazanzibari wenyewe sasa walio wengi!! Kila siku ni kulia kulia, kudeka, kulalamika, na kunung'unika tu! Hata wapewe nini, huwa hawatosheki! Wanajifanya hawautaki huo Muungano unao wafaidisha zaidi wao! Ukiwaambia wajitoe; hawataki!!
Huu muungano ni mfano halisi wa maisha ya mtanzania
Maisha ya mtanzania hayaeleweki kuanzia siasa mpaka michezo
Ni kizungumkuti tupu
 
 
Naomba kueleweshwa, kinachosababisha Tanganyika na Zanzibar ziitwe nchi zilizoungana ni kipi? Nauliza haya kwa sababu

1.) Kila nchi ina Rais wake
2.) Kila nchi ina katiba yake
3.) Kila nchi inajeshi lake
4.) Kila nchi ina mamlaka yake ya mapato na mamlaka zingine zote husika katika kuemdesha nchi
5.) Kila mchi ina bunge lake

Kilichokuwa kimebaki ni katika Mambo ya soccer, lakini hata hilo nalo liko mbioni kuondoka, na kila nchi itakuwa na timu yake ya taifa. Sasa hiki kinachoitwa Muungano ni kwa vigezo vipi?

- Raia wa Zanzibar kutawala Tanganyika ila kinyume chake ni marufuku?

- Raia wa Zanzibar kumiliki ardhi Tanganyika ila kinyume chake ni marufuku?

- Mkopo kukopwa na Zanzibar ila deni kulipishwa Tanganyika?

- Kodi zikusanywe Tanganyika ila mapato yakatumike Zanzibar?

- Umeme utoke Tanganyika kwenye mgao wa umeme kisha uende Zanzibar bure bila malipo?

- Wanafunzi watole Zanzibar waje kusoma Tanganyika ila mkopo wachukue bodi ya mikopo ya Tanganyika?

- Wabunge toka Zanzibar kushiriki bunge la Tanganyika na kula posho za waTanganyika ila kinyume chake ni marufuku?

- Dereva wa Zanzibar kuendesha gari Tanganyika ila kinyume chake ni marufuku?

- Kuuza bandari (DPW) na Mbuga zote (OBC) za Tanganyika ila za Zanzibar ni marufuku?

- Utambulisho wa Tanganyika kuzikwa ilihali utambulisho wa Zanzibar unaachwa uishi?

Hicho ndio kinasababisha huu uitwe Muungano, au kuna jambo lingine?
Hatuna Muungano. Ni wajanja wachache tu ndiyo wanajitahidi kuudanganya umma kuwa kuna Muungano lakini kiuhalisia haupo.
 
 
Tuna Serikali Mbili yani Serikali ya Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania na Serikali ya Mapinduzi Zanzibar, Serikali ya JMT ndo IPO Tanganyika ambayo viongozi wake ndo hao hao wa JMT, hapa Tanganyika inakosa mtetezi.
Zanzibar ina mtetezi wake ila Tanganyika hatuna, hapa hakuna Muungano. Kuna watu Wana maslahi yao katika Ili.
 
Kuna huyu mbunge wao anataka tuwe na passport tukitaka kuingia Zanzibar ila wao huku waje free 😂😂😂😂😂😂😂😂muungano wa kis**ge sana.
 
Back
Top Bottom