Mhafidhina07
JF-Expert Member
- Aug 1, 2014
- 2,746
- 3,292
kubeti ni tamaa ya kutoa kidogo na kupata kingi ndani ya muda mchache imetufanya vijana wengi tuishi kwenye dibwi la kubahatisha na kutaka vya haraka mpaka wengi wetu hudondokea kwenye madhara ya ushoga na liwati.
Jamii inaharibika kwa kuwa betting inadhoofisha akili na vijana wengi hatufanyi planning na kuanalyse mipango ya uchumi ili kuleta tija kwenye taifa hatimae tunadondokea kwenye ulevi mbaya kupindukia.
Ni zipi njia sahihi za kuacha kamari?
Jamii inaharibika kwa kuwa betting inadhoofisha akili na vijana wengi hatufanyi planning na kuanalyse mipango ya uchumi ili kuleta tija kwenye taifa hatimae tunadondokea kwenye ulevi mbaya kupindukia.
Ni zipi njia sahihi za kuacha kamari?