mshumaa

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Wadiz

    Hawa wanawake wanaovaa vichupi hasa kwenye swimming pools zenye Bar Pembeni Tukiwaomba namba wajue Mshumaa umewaka

    Shalom, Kuna wanawake ama mademu wa ajabu sana kijitu kinavaa vichupi uchi uchi maeneo ambayo watu tunabwax kinakupa namba then kinajifanya sijui mbona mapema hivyo kuhusu sex dadake Yesu wewe nyokoa. Sema sh.ngapi pokea duduz kwenda u gentleman na vichupi hio kwioo, sema ngapi toa samosa...
  2. Erythrocyte

    Jinsi shangwe za teuzi za viongozi wa CCM zinavyozimika mithili ya Mshumaa nyikani

    Kwenye nchi ambazo utendaji wa taasisi hauhitaji masihara, mteule mpya hasherehekei uteuzi wake. Mteule hatumii uteule wake kuwasimanga wengine ama kutengeneza mipasuko. Mteule wa huko hutumia uteuzi wake kutafakari namna atakavyotumikia cheo kipya kwa unyenyekevu na kwa mujibu wa sheria...
  3. C

    SoC03 Mshumaa uendao kuzima

    Mshumaa uendao kuzima na kupelekea giza nene kwenye nchi yetu ya Tanzania,ni nani wa kuwasha mshumaa huu? Na je ni nani wa kuleta nuru mpya kwenye nchi? Na nini kifanyike kufanya mshumaa huu kung'ara tena na kuleta mwangaza tena kwenye nchi yetu. Uzalendo unaenda kupotea kwenye nchi yetu sawa...
  4. L

    Habari za CHADEMA zazimika kama mshumaa Mitaani

    Ndugu zangu watanzania, Siasa Ni sayansi na ukikosea katika kanuni huwezi ukafanikiwa kupata jibu hata Kama utakesha usiku mzima unakokotoa, Baada ya kufunguliwa na kuruhusiwa kwa mikutano ya hadhara chadema waliingia majukwaani na mitaani kichwa kichwa, waliingia bila Sera Wala ajenda...
  5. Sky Eclat

    Mshumaa kama timer kwenye madanguro hapo kale

    Brothel candles were candles which burned precisely for 7 minutes and were heavily used during Victorian times. The customer paid the fee, lit the candle, and when the candle burned out, his session was over. Huu mshumaa uliwaka kwa dakika saba. Mteja ndiye aliyekipia gharama za mshumaa...
  6. Suley2019

    Amos Makalla: Chanzo cha moto wa soko la Karume ni mshumaa uliowashwa na mateja

    SERIKALI YARUHUSU WAFANYABIASHARA KUREJEA KARUME KWA MPANGO MZURI. - Umati walipuka kumpongeza Rais Samia Suluhu Hassan. - RC Makalla apokea taarifa ya ripoti ya Kamati iliyoundwa kuchunguza Chanzo Cha Moto. Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan ameruhusu...
  7. Trick mirik

    Shuhuda: Chanzo cha moto soko la Karume ni mateja, waliangusha mshumaa wakati wanatengeneza mihadarati

    Cloudsfmtz "Chanzo cha moto ni mateja ambao tupo nao sokoni Karume ambao wao wanajihusisha na kuuza viatu, unajua pale sokoni kuna moja ya banda ambalo wao huwa wanalitumia kutengeneza mihadarati yao ambayo huwa wanatumia mishumaa kuitengeneza na siku hiyo mshumaa ulianguka na kuanza kuungua"...
Back
Top Bottom