kufanikiwa biashara

No Wikipedia entry exists for this tag
  1. Kazanazo

    Imechukua muda gani kutoboa katika biashara yako? Umejifunza nini?

    Wakuu hebu fungukeni ni miaka mingapi upo kwenye biashara na je, umefanikiwa kutoboa kibiashara? Na, ulifanyaje kufika hapo. Nina kaduka kangu mwaka wa tano huu sioni dalili ya kutoboa japo sijakata tamaa ila changamoto ni nyingi sana ikiwemo madeni na mtaji kiduchu bado napambana. Je, wewe...
Back
Top Bottom