Aliyewahi kuwa mtendaji wa Simba Barbara Gonzalez huenda akawa mwenyekiti mpya wa bodi ya wakurugenzi Simba, kuchukua nafasi ya Salim abdallah 'try again' ambaye anatajwa kujiuzulu nafasi hiyo.
Source: sportsarena_tz
Sent from my TECNO BA2 using JamiiForums mobile app
UONGOZI wa Simba umebainisha kwamba hesabu zao bado zipo palepale kufanya vizuri kwenye mechi zao kwa kuwa bado kuna nafasi ya kutwaa ubingwa wa ligi.
Simba ipo nafasi ya tatu kwenye msimamo ikiwa na pointi 45 baada ya kucheza mechi 19 vinara ni Yanga wenye pointi 52.
Meneja wa Habari na...
Mkuu wa msafara wa Al Ahly Hossam Ghally amesema kizuizi kikubwa kwao kwenye mchezo wa Ligi ya Mabingwa Barani Afrika dhidi ya Simba SC ni uwepo wa kocha Abdelhak Benchikha.
Al Ahly inatarajiwa kuvaana na Simba SC keshokutwa Ijumaa Machi 29 kwenye mchezo wa Robo Fainali ya Ligi ya Mabingwa...
Mpira wa miguu una mambo mengi tena mara nyingine unaweza kushangazwa zaidi na mambo ya ajabu yanayotokea viwanjani na kulazimika mechi kusimama kwa muda. Hutokea wachezaji wakiwa wanapambana kuzitafutia ushindi timu zao jambo lisilotegemewa kutokea na kuwaacha wachezaji wameduwaa.
Leo...
Yanga inategemewa kucheza na club ya Mamelodi Sundowns (masandawana ) kutoka Africa ya kusini.
Yanga Ni moja ya wawakilishi wa TANZANIA kwenye mashindano haya, kila la kheri wananchi.
Katika muendelezo wa tambo mbali mbali za Simba na Yanga pindi ukiotewa pale ambapo pana mshono hakika nawe lazima ukajipange kuja kurudisha mashambilizi.
Picha ya zamani ya Ahmed Ally akiwa ameshika kombe la Yanga sasa imetumiwa vizuri na Manara kwenye kuwaaminisha wananchi kuwa Ahmed naye pia...
Wakuu,
Napitia Sanaa threads nyingi humu MMU, karibia asilimia zote wadau wanajisifia kupita na Pisi Kali TU
Sijui, ana shepu, sura ya kuvutia, kalio kubwa nk.
Sasa najiuliza hizi Pisi mbovu/ za kawaida wao hawana wapenzi?
Binafsi MIMI PISI YANGU Ya kawaida, tunapendana kweli na natarajia...
Msaada: Kazi ya Supervisor kwenye sheli (petrol station) ni zipi?
Kwa wenye experience na hii kazi tafadhali naombeni uzoefu wenu, natanguliza shukrani.
Hizi timu za Simba na Yanga zipate matokeo au zikose siku zote lawama Ni Kati ya hizi:
1.Upangaji matokeo
-Utaskia wale wameshinda kwa sababu timu waliocheza nayo wamewapa kiasi fulani Cha pesa au mchezaji fulani kapewa kibunda ndio maana wameshinda!
2.Refa kauza mechi
-Hawa ndio wanapokea...
Wakuu,
Kwanza poleni na majukumu yenu ya kila siku, nipo nasikiliza hapa michezo hapa EA radio, kupitia kipindi Cha michezo kinachoanza kuanzia saa moja usiku huu.
Katikati ya kipindi Kuna mjadala UKAZUKA ( kujitokeza ) na kuleta ubishani mkubwa bila kuwa na makubaliano, eti Kati ya Yusuf dabo...
Vilianza Kama vipele, baadae kukua na nimetumia dawa mbali mbali lakini vinakauka then kurudi, msaada tafadhali kwa anayejua suluhisho coz Ni miaka Sasa nateseka kujitibu
Natanguliza shukrani!
Wakuu,
Mpira ni mchezo wa wazi kabisa kila mtu anaona, hakuna mambo ya kuongopeana kabisa.
Pili, kwenye nafasi ya kiungo mshambuliaji hususani inside ten (10) wenye uwezo wa kucheza nafasi hiyo kwa ufasaha (angalau 55%) Ni wawili tu CHAMA na SAIDO. Kama kuna mwingine rudia iyo paragraph ya juu...
Simba,Yanga Ni timu kubwa ila sijawahi kusikia wanamgombania mchezaji fulani na timu Kama Al ahly, mamelodi, wydad nk.... Ukubwa uko wapi Sasa??????
Pia kwanini hatusajili waarabu huku east?? wakati waarabu wanasajili sanaa mchezaji Yoyote mweusi but awe na kiwango kikubwa.
Acheni ufala nyie...
Nani anabisha?
Kabla ya ujio wa kocha Benchikha kutokana na performance ya Onana tuliamini (mashabiki wa Simba) kuwa dirisha hili dogo Onana Hana nafasi ya kubaki Simba
Ila toka ujio wa Benchikha Ni tofauti jamaa anajitahidi kwa kiasi chake na kwa nilichomsoma kocha Kati ya wachezaji ambao...
Baada ya kumtambulisha Kiungo Mshambuliaji Ladack Chasambi kutoka Mtibwa Sugar kujiunga nao kwa mkataba wa miaka mitatu, Klabu ya Simba SC imefunguka kuhusu taarifa zinazomhusisha Kiungo wao Mshambuliaji, Willy Essomba Onana, kutakiwa na JS Kabylie ya Algeria.
Katika taarifa ya klabu hiya kuwa...
Rais wa klabu ya Yanga Eng. Hersi Said kupitia kipindi cha Jahazi kinachorushwa na radio Clouds hapo jana alieleza namna klabu ya Yanga inavyojiandaa kupokea wawekezaji baada ya mabadiliko ya kikatiba kukamilika kwa asilimia 100
Eng. Hersi Said amesema kuwa kwa mujibu wa mabadiliko ya katiba na...
Kocha Mkuu wa Simba SC, Abdelhak Benchikha ametoa onyo kwa mastaa wa klabu hiyo, ambao wamepewa nafasi nyingi kupitia michuano ya Mapinduzi ambao walikuwa hawapati nafasi ya kucheza kuitumia vyema ili kumshawishi kuweza kuingia katika kikosi chake akiwemo nyota Moses Phiri.
Phiri tangu kuanza...
Mfahamu Kocha anayechukua Mshahara Mrefu kuliko wote kwenye mashindano ya Afcon Msimu huu,
Djamel Belmadi wa Algeria analipwa mshahara wa Euro 208,000/= kwa mwezi sawa na milioni 570 za Kitanzania kwa Rate ya Leo.
Orodha ya makocha 15 wanaolipwa mishahara mikubwa kuliko wengine Afcon.
Djamel...
Wanakuja wachezaji wengi wanaondoka ila Kennedy Juma anabakia tena hakuna shabiki ana dout kabisa na hata akipewa nafasi anakiwasha sana.
Hata timu ya taifa anaitwa sana, shida iko wapi? Simba tunamuona Mwamnyeto ni beki bora wa Yanga kuliko wachezaji wazawa? Vipi Kennedy Juma sio beki bora...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.