Wanabaraza naomba mnitoe tongo tongo TGS D (Tanzania Gov. Scale D) ni shilingi ngapi kwa sasa? Nataka kuachia tawi Private Sector niende huko lakini sijui kukoje...
==============
July 2014...
Salaam!
Ni muda sasa humu Jukwaani kumekuwa na mabandiko ya watu mbalimbali wakiomba kazi, zile za ujuzi mahususi na zile za jumla.
Baadhi ya wanaoandika wamekuwa wakitaja sifa zao, wengine...
Wewe ni mfanyakazi wa Serikali, Kada ya Kilimo (Afisa Mifugo, Afisa Kilimo, Bwana Nyuki n.k) na unahitaji mtu wa kubadilishana naye kituo cha kazi?
Kutokana na wengi kuweka maombi ya watu wa...
Habari zenu wana-JF?
Naomba msaada wa jinsi ya kuandaa CV yangu..
Mie ni mwanafunzi wa mwaka wa mwisho Computer science, nataka kuandaa CV yangu vizuri.
Shukrani!
Namna ya kuandika CV...
Habari za mchana wana JF, ninatumai wazima na kwa wale wagonjwa Mungu awape afya njema kwa uwezo wake.
Nipo hapa kutangaza nafasi za vijana wa kunisaidia kuuza juice mtaani. Ninataka wasichana...
Natafuta wadada na wakaka wachapa kazi kwa ajiri ya kuuza juice mabibo sokoni.... Awe karibu na eneo ili asitumie nauli kubwa.
Mawasiliano: 0686263327 , 0678747553
Note: wawe wachapakazi na...
Habar za muda huu
Asalem aleykum.
Ndugu jama na marafiki nipo hapo leo kuelezea changamoto yangu kwenu nipo hapa kuomba Kazi za udereva wa kumuendesha mtu, taasisi yoyote pia Nina uzowefu wa...
Ndugu wanajukwaa, natumaini mnaendelea vizuri katika harakati za hapa na pale za kujikwamua kiuchumi.
Bila kuwachosha niende moja kwa moja kwenye hoja husika:
Siku za nyuma hivi karibuni Tume...
Nimekaa nikafikilia maisha yamenipiga, kazi niliyokuwa nayo haikidhi kabisa mahitaji yangu ya kila siku, nina mke, nina mtoto, ninao ndugu wanao nitegemea, baba, mama na wadogo zangu mbaya zaidi...
Wakuu huu ndo mtiririko wa taasisi za serikali zinazolipa unono na zenye maslahi makubwa kwa watumishi wake
1. TPDC
2. TCRA
4. Ngorongoro
3. Ewura
4. WCF
5. TBS
5. TANAPA
5. Tume ya madini
6...
Habari Wakuu!
Mimi ni Mechanical Engineer shahada yangu nimeipata mwaka 2017 katika moja ya vyuo hapa nchini. Tangu nihitimu nishajitolea katika makampuni/taasisi mbili tofauti, na kila moja...
Msaada wanajamii forum, naweza pata kazi gani kambi ya wakimbizi mfano Nyarugusu au Kihondo, uko kama sina elimu ya juu kama certificate, diploma na madegree nina elimu ya form four tu
Hata...
Habari
Naitaji sales person ( Mzoefu au mwenye uwezo wa kutafuta masoko )
Mashara : 300k ~ 400k kwa mwez kutokana na uwezo na uzoefu wako.
Piga : 0678650509
Company Overview
Atlantic Micro Credit is a reputable leading financial institution dedicated to providing microcredit and financial services to underserved communities. Our mission is to empower...
EXPRESSION OF INTERESTS (EOI)
Travel Agency
GIZ is a federally owned enterprise operating worldwide, assisting the German Government in achieving its policy objectives in the field of...
A Consultant Is Needed- Food Scape Study.
Rikolto is implementing the EU-funded IncluCities program in Tanga City, focusing on improving business services for the agrifood sector, particularly...
Dreaming big is in our DNA. It’s who we are as a company. It’s our culture. It’s our heritage. And more than ever, it’s our future. A future where we’re always looking forward. Always serving up...
Summary
We aim to create a culture that seeks to empower our teams by creating a safe and authentic environment through supporting each other’s individuality, being open-minded and inclusive.
Our...
Habar za muda huu
Asalem aleykum,
Ndugu jama na marafiki nipo hapo Leo kuelezea changamoto yangu kwenu nipo hapa kuomba Kazi za udereva wa kumuendesha mtu, taasisi yoyote ile hatakama ipo gari...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.