Sema wale jamaa ni wachawi aisee. Mtu wa Kigoma ukimfanyia ubaya katika harakati zake za kutafuta noti hakuachi aisee. Nimeshuhudia jamaa anarudi kwao Mwanza hoi washatafuta ugonjwa washakosa, kumbe alimchongea mtu wa Kigoma akafukuzwa kazi. Alimwambia mimi naondoka lkn unauefuata na wew...
Nawashukuru sana wazazi wangu kwa imani waliyonirithisha. Sijuti kumuamini Kristo. Dini hii ni njema sana... nitabaki kuwa mkristo na nitakufa katika Kristo Yesu
Futi? Huu ujinga mmepanga kuwadanganya wasioenda shule ili figure ionekane kubwa. Madalali wa aina hii wapo wengi sana mitaa ya huko. Huwez kukut maeneo ya Goba. Bweni au madale anata gaza kiwanja kwa futi
Kuna jamaa yangu mwaka jana alipata kazi kampuni kubwa sana alinipa story yake nilishangaa sana.
Ananambia katika maisha yake mama yake alimuaminisha kwamba baba yake ni mbaya mpaka ikafikia hatua baba akawa anakosa ujasiri wa kumshauri au kumwambia chochote jamaa. Lkn nyuma ya pazia kumbe...
Nitamuhudumia na kujitahidi kadri niwezavyo nimuwezeshe ki elimu na ki uchumi. Aidha kwa yeye kutokujua au kwa kujua. Akikua badaye na kuona mimi sifai wala I don't care as long as nimetimiza wajibu wangu hata nikirudi kwa Mungu narudi nikiwa nimenawa.
Bahati nzuri nowadays tunawasaidia watoto...
Mtoto wa Mwigulu yupo anatembea na baba yake jimboni anasema mama anaupiga mwingi. Hii nchi siku mkijua mifumo ndo tatizo mtaanza kupiga kura kuwakataa hawa wazandiki.
Dogo bado uko chuo umekata tamaa kwa sababu unaona kabisa huwez kupata ajira kwa sababu ya ajira za kubebana. Pole
Msiibe kura sasa 2025 ili wananchi wawaoneshe jinsi wao wanajua maendeleo sio nyie keybod worriers.
Kitu usichokijua ni kuwa msipoiba kura hata huyo mama yenu anarudi Kizimkazi
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.