nyiokunda
JF-Expert Member
- Jun 16, 2015
- 1,648
- 866
BIG OKIngekuwa muungano tuliutaka sisi ndiyo ungesema yote hayo. Huu muungano ni wa Uingereza na Mmarekani. Kama wao hawautaki utavunjika siku moja tu.
Tumewachiwa dudu la "divide and rule" sisi kwa ujinga wetu tunaona tuna muungano.