Yaani na ilibaki kidogo tu 5imba iwe tawi la MasandawanaNa walizinunua Kwa speed kuliko jezi za makolo
Kabisa, Makolo tumepoteza mwelekeo na kujiaminiHamjiamini mkuu??
Walijisajili kuwa wananchi bila kujua. Ilikuwa mpaka usome UBUNTU ndo unajua kuwa huyu ni KOLO au IHEFU au mwenzao wa goli 5.Sema uzuri ni Kwamba 5imba wakivaa zile jezi wakiwa mbali ...... inaonekana ni wananchi
Admin awe gentamicineWalijisajili kuwa wananchi bila kujua. Ilikuwa mpaka usome UBUNTU ndo unajua kuwa huyu ni KOLO au IHEFU au mwenzao wa goli 5.
BTW, wote waliofungwa 5 na Yanga, waanzishe group la whatsApp na admin awe 5imba
Sio mwamwedi tu, hata mangungu na jaribu tena, na kuja yule mropokaji misomisondo... Watuachie timu letu bovu kolowizardMtimueni mwamedi
Nilivyosoma ID yako (Ahyan) nikadhani Al AhlySio mwamwedi tu, hata mangungu na jaribu tena, na kuja yule mropokaji misomisondo... Watuachie timu letu bovu kolowizard
Wewe Laban ndiye unaongoza kwa threads za kuisema SimbaMASHABIKI WA SIMBA SC MKO WAPI?
Yanga wanaizungumzia Yanga na Simba wanaizungumzia Yanga.
WanaYanga wameonesha kuumizwa sana kwa Yanga yao kutolewa.
WanaSimba wanaonesha kufurahi sana na hata kukejeli kwa Yanga kutolewa.
Sijaona mwanaSimba anayeonesha kuumizwa na kutolewa kwa Simba, labda wamezoea.
Sijaona MwanaYanga anayeonesha kufurahia kutolewa kwa Simba, kwao sio kitu muhimu.
Dalili zilionekana hata kabla ya mechi ya kwanza, wote mkawa mnazungumzia mechi moja; Young Africans Sports Club vs Mamelodi Sundowns FC
Yanga wakaambiwa wataoga magoli
Video za Masandawana zikasambaa
Mashabiki wa Simba, KMC, Ihefu na wote waliowahi kupigwa goli 5 na Yanga, wakawa mashabiki wa Mamelodi.
Lakini Simba haijaaibika,
Kufungwa nyumbani si aibu,
Kufungwa tena mechi ya marudiano si aibu, Ndio maana mashabiki hawazungumzi chochote.
Mlisema Al Ahly ya msimu huu ni mbovu, wakawafunga nje ndani, nayo hio sio aibu kwenu.
Wanyakyusa tuna msemo unasema;
"Japo wametufunga lakini chenga tumewala!"
Najiuliza; Mtoto wako akileta matokeo mabovu ya mtihani huku akiwa na furaha usoni, kisa eti mtoto wa jirani amefeli, huyo mtoto utambadilisha na ng'ombe au ng'uruwe?
Je hii kitaalamu inaitwaje?
Nawasilisha!View attachment 2961285
Mbumbumbu FC.MASHABIKI WA SIMBA SC MKO WAPI?
Yanga wanaizungumzia Yanga na Simba wanaizungumzia Yanga.
WanaYanga wameonesha kuumizwa sana kwa Yanga yao kutolewa.
WanaSimba wanaonesha kufurahi sana na hata kukejeli kwa Yanga kutolewa.
Sijaona mwanaSimba anayeonesha kuumizwa na kutolewa kwa Simba, labda wamezoea.
Sijaona MwanaYanga anayeonesha kufurahia kutolewa kwa Simba, kwao sio kitu muhimu.
Dalili zilionekana hata kabla ya mechi ya kwanza, wote mkawa mnazungumzia mechi moja; Young Africans Sports Club vs Mamelodi Sundowns FC
Yanga wakaambiwa wataoga magoli
Video za Masandawana zikasambaa
Mashabiki wa Simba, KMC, Ihefu na wote waliowahi kupigwa goli 5 na Yanga, wakawa mashabiki wa Mamelodi.
Lakini Simba haijaaibika,
Kufungwa nyumbani si aibu,
Kufungwa tena mechi ya marudiano si aibu, Ndio maana mashabiki hawazungumzi chochote.
Mlisema Al Ahly ya msimu huu ni mbovu, wakawafunga nje ndani, nayo hio sio aibu kwenu.
Wanyakyusa tuna msemo unasema;
"Japo wametufunga lakini chenga tumewala!"
Najiuliza; Mtoto wako akileta matokeo mabovu ya mtihani huku akiwa na furaha usoni, kisa eti mtoto wa jirani amefeli, huyo mtoto utambadilisha na ng'ombe au ng'uruwe?
Je hii kitaalamu inaitwaje?
Nawasilisha!View attachment 2961285
Hizi barua usha ziona ngapi au ni mpya kwako?kimeumana huko.umekalia Simba Simba.
View attachment 2961577
unaharisha damu nakushauri tumia dawa.Hizi barua usha ziona ngapi au ni mpya kwako?