Yanga wanaizungumzia Yanga, Simba wanaizungumzia Yanga

MASHABIKI WA SIMBA SC MKO WAPI?

Yanga wanaizungumzia Yanga na Simba wanaizungumzia Yanga.

WanaYanga wameonesha kuumizwa sana kwa Yanga yao kutolewa.

WanaSimba wanaonesha kufurahi sana na hata kukejeli kwa Yanga kutolewa.

Sijaona mwanaSimba anayeonesha kuumizwa na kutolewa kwa Simba, labda wamezoea.

Sijaona MwanaYanga anayeonesha kufurahia kutolewa kwa Simba, kwao sio kitu muhimu.

Dalili zilionekana hata kabla ya mechi ya kwanza, wote mkawa mnazungumzia mechi moja; Young Africans Sports Club vs Mamelodi Sundowns FC
Yanga wakaambiwa wataoga magoli
Video za Masandawana zikasambaa
Mashabiki wa Simba, KMC, Ihefu na wote waliowahi kupigwa goli 5 na Yanga, wakawa mashabiki wa Mamelodi.
Lakini Simba haijaaibika,
Kufungwa nyumbani si aibu,
Kufungwa tena mechi ya marudiano si aibu, Ndio maana mashabiki hawazungumzi chochote.

Mlisema Al Ahly ya msimu huu ni mbovu, wakawafunga nje ndani, nayo hio sio aibu kwenu.

Wanyakyusa tuna msemo unasema;
"Japo wametufunga lakini chenga tumewala!"
Najiuliza; Mtoto wako akileta matokeo mabovu ya mtihani huku akiwa na furaha usoni, kisa eti mtoto wa jirani amefeli, huyo mtoto utambadilisha na ng'ombe au ng'uruwe?

Je hii kitaalamu inaitwaje?
Nawasilisha!View attachment 2961285
Wewe Laban ndiye unaongoza kwa threads za kuisema Simba
 
MASHABIKI WA SIMBA SC MKO WAPI?

Yanga wanaizungumzia Yanga na Simba wanaizungumzia Yanga.

WanaYanga wameonesha kuumizwa sana kwa Yanga yao kutolewa.

WanaSimba wanaonesha kufurahi sana na hata kukejeli kwa Yanga kutolewa.

Sijaona mwanaSimba anayeonesha kuumizwa na kutolewa kwa Simba, labda wamezoea.

Sijaona MwanaYanga anayeonesha kufurahia kutolewa kwa Simba, kwao sio kitu muhimu.

Dalili zilionekana hata kabla ya mechi ya kwanza, wote mkawa mnazungumzia mechi moja; Young Africans Sports Club vs Mamelodi Sundowns FC
Yanga wakaambiwa wataoga magoli
Video za Masandawana zikasambaa
Mashabiki wa Simba, KMC, Ihefu na wote waliowahi kupigwa goli 5 na Yanga, wakawa mashabiki wa Mamelodi.
Lakini Simba haijaaibika,
Kufungwa nyumbani si aibu,
Kufungwa tena mechi ya marudiano si aibu, Ndio maana mashabiki hawazungumzi chochote.

Mlisema Al Ahly ya msimu huu ni mbovu, wakawafunga nje ndani, nayo hio sio aibu kwenu.

Wanyakyusa tuna msemo unasema;
"Japo wametufunga lakini chenga tumewala!"
Najiuliza; Mtoto wako akileta matokeo mabovu ya mtihani huku akiwa na furaha usoni, kisa eti mtoto wa jirani amefeli, huyo mtoto utambadilisha na ng'ombe au ng'uruwe?

Je hii kitaalamu inaitwaje?
Nawasilisha!View attachment 2961285
Mbumbumbu FC.
 
kimeumana huko👇.umekalia Simba Simba.
downloadfile-6.jpg
 
Kwakweli mm kama mwanasimba siwezi kuacha kuizungumzia Yanga na nilifurahi na mpaka sasa nina furaha kubwa baada ya Uto kutolewa robo fainali klabu bingwa hatua ambayo hapo awali walidhani ni rahisi tu kufika na kupita cha ajabu wameishia kucheza mechi 2 dk 180 bila kufunga hata goli la offside na hapo wanakuambia wapo na kikosi bora
Kuficha aibu waliyoipata wakaja na kichekesho cha karne eti kuandika barua Caf wakitaka kosakosa ya mchezaji wao Aziz Ki iwe goli
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom