ChoiceVariable
JF-Expert Member
- May 23, 2017
- 45,536
- 52,571
Ruvuma ni Moja ya Mikoa michache Zenye bahati ambapo Wilaya zake zote zimeunganishwa Kwa Barabara za lami.
Kwa sasa Serikali inaendelea kupanua mtandao wa lami kwa kujenga Barabara zifuatazo kwa.lami.
Songea-Mhukuru-Mkenda(Tzn/Msumbiji)
Songea-Morogoro
Songea-Makambako(Rehabilitation)
Lituhi-Kitai.
View: https://www.instagram.com/reel/Cx8T4LXMTZ_/?igshid=MTc4MmM1YmI2Ng==
My Take
Hakuna Mkoa ambao hauna miradi ya Barabara za lami chini ya awamu ya 6.
Kwa sasa Serikali inaendelea kupanua mtandao wa lami kwa kujenga Barabara zifuatazo kwa.lami.
Songea-Mhukuru-Mkenda(Tzn/Msumbiji)
Songea-Morogoro
Songea-Makambako(Rehabilitation)
Lituhi-Kitai.
View: https://www.instagram.com/reel/Cx8T4LXMTZ_/?igshid=MTc4MmM1YmI2Ng==
My Take
Hakuna Mkoa ambao hauna miradi ya Barabara za lami chini ya awamu ya 6.