Wewe ni masikini kama huko kwenye kundi hili!

Morning_star

JF-Expert Member
Apr 21, 2018
4,420
12,237
  1. Huna nyumba, au unanyumba ya chumba kimoja au viwili vya kulala wakati una familia
  2. Unatumia usafiri wa umma kwenye shughuli zako
  3. Kiasi cha pesa kinachoingia kwenye Account mwisho wa mwezi ukikichukua choote kinajaa kwenye wallet
  4. Watoto wako wanasoma shule za umma/serikali
  5. Huwezi nunua kilo mbili za nyama angalau kwa wiki kama mboga
  6. Kusafiri kutoka mkoa mmoja kwenda mwingine wewe na nusu ya familia ni kipengere
  7. Kama ni mwanaume unaogopa majukumu ya kuoa
  8. Kama mwanamke unalia kuolewa lakini kikubwa ili upate unafuu wa maisha
  9. Kama Unatumia simu nyingine (isipokuwa iPhone na Samsung) wewe ni masikini
  10. Ukienda bar macho kodo watu wakiwa wanatumia hela zao
  11. ..... ongezea....
 
  1. Huna nyumba, au unanyumba ya chumba kimoja au viwili vya kulala wakati una familia
  2. Unatumia usafiri wa umma kwenye shughuli zako
  3. Kiasi cha pesa kinachoingia kwenye Account mwisho wa mwezi ukikichukua choote kinajaa kwenye wallet
  4. Watoto wako wanasoma shule za umma/serikali
  5. Huwezi nunua kilo mbili za nyama angalau kwa wiki kama mboga
  6. Kusafiri kutoka mkoa mmoja kwenda mwingine wewe na nusu ya familia ni kipengere
  7. Kama ni mwanaume unaogopa majukumu ya kuoa
  8. Kama mwanamke unalia kuolewa lakini kikubwa ili upate unafuu wa maisha
  9. Kama Unatumia simu nyingine (isipokuwa iPhone na Samsung) wewe ni masikini
  10. Ukienda bar macho kodo watu wakiwa wanatumia hela zao
  11. ..... ongezea....
11. Ukijitoa kwenye kundi la maskini kwa kuweka vigezo vingi ili ujipe nafuu wewe mwenyewe
 
  1. Huna nyumba, au unanyumba ya chumba kimoja au viwili vya kulala wakati una familia
  2. Unatumia usafiri wa umma kwenye shughuli zako
  3. Kiasi cha pesa kinachoingia kwenye Account mwisho wa mwezi ukikichukua choote kinajaa kwenye wallet
  4. Watoto wako wanasoma shule za umma/serikali
  5. Huwezi nunua kilo mbili za nyama angalau kwa wiki kama mboga
  6. Kusafiri kutoka mkoa mmoja kwenda mwingine wewe na nusu ya familia ni kipengere
  7. Kama ni mwanaume unaogopa majukumu ya kuoa
  8. Kama mwanamke unalia kuolewa lakini kikubwa ili upate unafuu wa maisha
  9. Kama Unatumia simu nyingine (isipokuwa iPhone na Samsung) wewe ni masikini
  10. Ukienda bar macho kodo watu wakiwa wanatumia hela zao
  11. ..... ongezea....
Kabla ya kuongezea una umri gani kwanza??.
 
  1. Huna nyumba, au unanyumba ya chumba kimoja au viwili vya kulala wakati una familia
  2. Unatumia usafiri wa umma kwenye shughuli zako
  3. Kiasi cha pesa kinachoingia kwenye Account mwisho wa mwezi ukikichukua choote kinajaa kwenye wallet
  4. Watoto wako wanasoma shule za umma/serikali
  5. Huwezi nunua kilo mbili za nyama angalau kwa wiki kama mboga
  6. Kusafiri kutoka mkoa mmoja kwenda mwingine wewe na nusu ya familia ni kipengere
  7. Kama ni mwanaume unaogopa majukumu ya kuoa
  8. Kama mwanamke unalia kuolewa lakini kikubwa ili upate unafuu wa maisha
  9. Kama Unatumia simu nyingine (isipokuwa iPhone na Samsung) wewe ni masikini
  10. Ukienda bar macho kodo watu wakiwa wanatumia hela zao
  11. ..... ongezea....
😇😇
Ngoja tukaze buti
 
  1. Huna nyumba, au unanyumba ya chumba kimoja au viwili vya kulala wakati una familia
  2. Unatumia usafiri wa umma kwenye shughuli zako
  3. Kiasi cha pesa kinachoingia kwenye Account mwisho wa mwezi ukikichukua choote kinajaa kwenye wallet
  4. Watoto wako wanasoma shule za umma/serikali
  5. Huwezi nunua kilo mbili za nyama angalau kwa wiki kama mboga
  6. Kusafiri kutoka mkoa mmoja kwenda mwingine wewe na nusu ya familia ni kipengere
  7. Kama ni mwanaume unaogopa majukumu ya kuoa
  8. Kama mwanamke unalia kuolewa lakini kikubwa ili upate unafuu wa maisha
  9. Kama Unatumia simu nyingine (isipokuwa iPhone na Samsung) wewe ni masikini
  10. Ukienda bar macho kodo watu wakiwa wanatumia hela zao
  11. ..... ongezea....
Umeropoka sana mkuu.
-Usafiri wa umma haimaanishi kuwa mtu masikini.
Wapo wenye uchumi wa kati ila wanatumia usafiri wa umma.
-Wengine wanafuga hawanunui nyama bali wanachinja.
-Simu nzuri sio apple na samsung tu.
Kuna OPPO,XIAOMI,VIVO,HUAWEI.
Hizi nazo zimetajwa kuwa miongoni mwa simu bora.

Punguza ushamba
 
Umeropoka sana mkuu.
-Usafiri wa umma haimaanishi kuwa mtu masikini.
Wapo wenye uchumi wa kati ila wanatumia usafiri wa umma.
-Wengine wanafuga hawanunui nyama bali wanachinja.
-Simu nzuri sio apple na samsung tu.
Kuna OPPO,XIAOMI,VIVO,HUAWEI.
Hizi nazo zimetajwa kuwa miongoni mwa simu bora.

Punguza ushamba
Mkuu umekwazika? Usijali hipo siku utatoboa!
 
Sisi tuko ulimwengu wa 3, hivyo tambua zaidi ya 97% ni masikini.

Lakini kuna wengine ni matajiri wa hela ila masikini wa akili, mfano unalala na chatu halafu una hela ndefu.
Haya masuala ya ulimwengu wa 3 conspiracy tu.
Kama unakula milo mitatu ya uhakika,unalala pazuri na wavaa vizuri na unapambana mambo yako yanaenda wewe sio masikini.
 
Back
Top Bottom