Wanaccm wenzangu twendeni na Profesa Kitila Mkumbo 2025

Kitila anatufaa sna Sana. Namkubali binafsi na mm nimepita kweny mikono yake 🤣 Niko fiti ,timamu Kama yeye
Tumeamua kwenda na Mama 100 mwenyewe akisema imetosha tutakwenda na Lisu.Hao vitoroboto wakaongoze familia zao.
 
Hamtaa aminj kitakacho tokeaa fomu zitakuwa nne lamz apitie mchakato mzima wa chama Cha ccm hakuma mbeleko habebwi mtu yeye amlizie kipondo Cha magu akaemde zake kizimkazi
Tupo na mama Samia suluhu hassani na ndie ajaye utake usitake..

Na tutawashuhurikia nyuma ya keyboards tutakufikia utake usitake 😊😊😊😊😊

Nayasema haya kwa uzuri TU
 
Kitila huyuuu ambaye anasema mkataba wa DPWORLD ni miaka 13 wakati mkataba wenyewe unaonesha ni wa mile??mhhhh
 
Nimeona kabisa kwa jicho la tatu kuwa anayetufaa hivi sasa kutupeperushia bendera ktk uchaguzi ujao awe Profesa Kitila Mkumbo ,

Huyu atatufaa sana na ni mtu wa hoja zilizo shiba haswa mfano hili la muuungano na chokochoko zake atalimudu vzr na tutavuka salama kizingiti hiki cha muungano

Pili rasillimali za Tanganyika zitakuwa salama mikono mwake

Siyo kwa ubaya ila huyu bwana ana akili kubwa mno na maono anayo

Mungu ampe nguvu huyu anatufaa haswa

Kwa Sasa safarini kueleke Singida Manyoni
0786757564
K
Kitila Mkumbo wa Chadema ndiye alikuwa mtu. Huyu wa sasa ni chawa aliyejitoa ufahamu. Sisemi hivyo kwa sababu alienda CCM, la hasha. Ni kwa sababu ya haya anayosema na kufanya. Pamoja na kwenda zake CCM, kama angetulia na kuwa mtu wa hoja za maana na siyo chawa labda angekubalika.
 
Nimeona kabisa kwa jicho la tatu kuwa anayetufaa hivi sasa kutupeperushia bendera ktk uchaguzi ujao awe Profesa Kitila Mkumbo ,

Huyu atatufaa sana na ni mtu wa hoja zilizo shiba haswa mfano hili la muuungano na chokochoko zake atalimudu vzr na tutavuka salama kizingiti hiki cha muungano

Pili rasillimali za Tanganyika zitakuwa salama mikono mwake

Siyo kwa ubaya ila huyu bwana ana akili kubwa mno na maono anayo

Mungu ampe nguvu huyu anatufaa haswa

Kwa Sasa safarini kueleke Singida Manyoni
0786757564
K
Stupid ideas
 
Ulitumia data gani kufikia conclusion ya kwamba Prof Kitila anaweza kuwa Rais? Maana ubunge wa Ubungo tu hatoboi mwaka 2025
Atatoboa bhnaa kitakachotumika kuwapeleka bungeni Ni gia ya kimagufuli fuli
 
Atatoboa bhnaa kitakachotumika kuwapeleka bungeni Ni gia ya kimagufuli fuli
Kama comments zako ndiyo hizi naanza ku doubt hiyo PhD yako na taasisi elimu iliyokupa. Isije ikawa iko kama ya late Lyatonga Mrema au Mbunge Musukuma wa Geita

PhD holder hawezi ku argue kwa namna shallow na vague hivyo.
 
Back
Top Bottom