Vijana mnaotafutana kwa kukaribiana umri mnakosea sana, inachangia sana migogoro. Sijutii kufanya maamuzi ya kuoa kwa gap la miaka 10

gearbox

JF-Expert Member
Apr 20, 2024
372
1,055
Binafsi nilioa nikiwa na 28 mke wangu muda huo akiwa na 18, Kwa sasa naenda 36 mwenzangu yupo 26

kumekuwa na pattern kubwa ya vijana kutafutana waoane kwa kigezo cha kukaribiana ama kulingana umri.

Sababu kuu huwa ni "nioe binti mdogo tutaongea nae nini"

Niwajuze tu kwamba kwenye ndoa ni tofauti kabisa na urafiki ama uchumba, kuna natural adjustments zinafanyika ambazo hukuwahi kuzifikiria kabisa, mnajikuta mpo karibu zaidi, mfano mimi na gap langu la miaka 10 tuna vingi sana vya kuongea na mke wangu, adjustments zimefanyika mimi na yeye tukikaa sehem moja naweza kuona naongea na best friend wangu wa kike wa rika sawa, n.k.


Heshima at least ipo, ile resistance ya jeuri, ujuaji, kiburi inaweza kuwepo mimi nikizingua na ninajua wazi kwamba nimekosea lakini nje ya hapo ipo automatically, ukioa mwezako mnaekariiana umri kuna kuwa na resistamce kubwa sababu anajiona mpo sawa

Kwa umri nilionao ingekuwa nae mwenzangu yupo kwenye 34, 35 ama tunalingana tayari angekuwa kaanza kuonyesha dalili za kupoteza mvuto, hili nahisi huwa linafanya wengi zaidi kuanza kuchepuka nje na wanawake ambao bado wapo kwenye 20s hadi 30s mbichi (30 - 32)
 
vijana wengi huzingatia sana umri wa kuoa kutafuta waliofanana nao rika na amra nyingi huwa ni wale marafiki zao ama marafiki wa marafiki zao.

Sababu kuu huwa ni "nioe binti mdogo tutaongea nae nini"

Niwajuze tu kwamba kwenye ndoa kadri mnavyostick together kuna natural adjustments zinafanyika ambazo hukuwahi kuzifikiria kabisa, Ndoa ni zaidi ya urafiki na mke sio rafiki ni mke.

Binafsi nilioa nikiwa na 28 mke wangu muda huo akiwa na 18

Tuna vingi sana vya kuongea, adjustments zimefanyika mimi na yeye tukikaa sehem moja naweza kuona naongea na best friend wangu wa kike wa rika sawa, n.k.

Kwa sasa naenda 36 mwenzangu yupo 26

Heshima at least ipo, ile resistance ya jeuri, ujuaji, kiburi inaweza kuwepo mimi nikizingua na ninajua wazi kwamba nimekosea lakini nje ya hapo ipo automatically, ukioa mwezako mnaekariiana umri kuna kuwa na resistamce kubwa sababu anajiona mpo sawa

Umri wangu nao umeenda japo bado nguvu zipo, ingekuwa nae mwenzangu yupo kwenye 34, 35 ama tunalingana, tayari angekuwa kaanza kuonyesha dalili za kuchoka
Uko sahihi,kwanza wakija kuzeska.pamoja ni nani atamsaidia Mwwnzie Nguvu zikiisha?
 
Binafsi nilioa nikiwa na 28 mke wangu muda huo akiwa na 18, Kwa sasa naenda 36 mwenzangu yupo 26

kumekuwa na pattern kubwa ya vijana wengi huzingatia sana umri wa kuoa kutafuta waliofanana nao rika

Sababu kuu huwa ni "nioe binti mdogo tutaongea nae nini"

Niwajuze tu kwamba kwenye ndoa kadri mnavyostick together kuna natural adjustments zinafanyika ambazo hukuwahi kuzifikiria kabisa, Ndoa ni zaidi ya urafiki na mke sio rafiki ni mke.


Tuna vingi sana vya kuongea, adjustments zimefanyika mimi na yeye tukikaa sehem moja naweza kuona naongea na best friend wangu wa kike wa rika sawa, n.k.


Heshima at least ipo, ile resistance ya jeuri, ujuaji, kiburi inaweza kuwepo mimi nikizingua na ninajua wazi kwamba nimekosea lakini nje ya hapo ipo automatically, ukioa mwezako mnaekariiana umri kuna kuwa na resistamce kubwa sababu anajiona mpo sawa

Umri wangu nao umeenda japo bado nguvu zipo, ingekuwa nae mwenzangu yupo kwenye 34, 35 ama tunalingana, tayari angekuwa kaanza kuonyesha dalili za kuchoka
We subiri atakuja kuwa Christina Shushu aliye changamka.
 
Binafsi nilioa nikiwa na 28 mke wangu muda huo akiwa na 18, Kwa sasa naenda 36 mwenzangu yupo 26

kumekuwa na pattern kubwa ya vijana kutafutana waoane kwa kigezo cha kukaribiana ama kulingana umri.

Sababu kuu huwa ni "nioe binti mdogo tutaongea nae nini"

Niwajuze tu kwamba kwenye ndoa ni tofauti kabisa na urafiki ama uchumba, kuna natural adjustments zinafanyika ambazo hukuwahi kuzifikiria kabisa, mnajikuta mpo karibu zaidi, mfano mimi na gap langu la miaka 10 tuna vingi sana vya kuongea na mke wangu, adjustments zimefanyika mimi na yeye tukikaa sehem moja naweza kuona naongea na best friend wangu wa kike wa rika sawa, n.k.


Heshima at least ipo, ile resistance ya jeuri, ujuaji, kiburi inaweza kuwepo mimi nikizingua na ninajua wazi kwamba nimekosea lakini nje ya hapo ipo automatically, ukioa mwezako mnaekariiana umri kuna kuwa na resistamce kubwa sababu anajiona mpo sawa

Kwa umri nilionao ingekuwa nae mwenzangu yupo kwenye 34, 35 ama tunalingana tayari angekuwa kaanza kuonyesha dalili za kupoteza mvuto huku mimi nikiwa bado najali urembo, hili nahisi huwa linafanya wengi zaidi kuanza kuchepuka nje na wanawake ambao bado wapo kwenye 20s hadi 30s mbichi (30 - 32)
Mapenzi hayana formula, zingatia sana
 
We subiri atakuja kuwa Christina Shushu aliye changamka.
Screenshot_20240429_164838.jpg

Binti atasema hv😂😂😂😂😂
 
Back
Top Bottom