Utoro wa wabunge bungeni tena bunge la bajeti, tatizo ni nini?

Kwahiyo

Kwahiyo bungeni kazi za nje ya bunge ambazo ni muhimu kuliko kuhudhuria vikao. Wapo spika anaruhusu wabunge wengi kutokuhudhuria kwa sababu ya bunge digital ,sisi wananchi je nasi digital
hao walioko nje ambao huwaoni apo mjengoni, wapo wanafanya kazi za nje za wanainchi, wana ruhusa ya speaker na wanafuatilia each and everything mjengoni 🐒.

sasa unauliza tena, sisi wananchi vep, as if wengine sio wananchi 🐒.

waliopo wanatosha kabisa kufanya kazi na shughuli za bunge, kulingana na kanuni za bunge, Sheria na katiba ya nchi, ndio maana huoni kazi yoyote ikilega wala kusimama 🐒

by the way ni bunge la bajeti tu, bunge ambalo ni rahisi zaid 🐒
 
si muungwana hapo amekiri wazi yeye sie mjuzi wa masuala bayana kabisa ya Bunge 🐒

ameghafulika tu kukerwa na kitu ambacho hana uelewa au ufahamu wa kutosha nacho, na hata hivyo sio mbaya, ndivyo binadamu tulivyo....

by the way,
mjengoni sio shuleni na kwahivyo hakuna alie mtoro....

nachelea kusisitiza kwamba wabunge mahiri sana hapa Dodoma wana kazi nyingi, ngumu na muhimu sana ndani na nje ya bunge kwa maslahi mapana ya nchi.

na zote hizo wanazifanya kwa mujibu wa kanuni za bunge, sheria na katiba ya nchi. na katika vikao vya bajeti vinavyoendelea hivi sasa, speaker ana taarifa na kila mbunge ambae humuoni mule ndani ila yupo kwa taarifa anaendelea na majukumu mengine ya kibunge na anachangia, anafuatilia kila hatua ya mjadala kwa njia ya mtandao 🐒

bunge digital 🐒
Amusing. Very amusing. Yaani mkubwa unatiririka na mashairi kabisa kutetea mushkeli wa taasisi. Bunge digital? Hilo sio bunge ni charade!
 
Amusing. Very amusing. Yaani mkubwa unatiririka na mashairi kabisa kutetea mushkeli wa taasisi. Bunge digital? Hilo sio bunge ni charade!
kua na maoni na mtazamo tofauti na uhalisia ni haki na uhuru wako, you must enjoy it wisely like that....

but hiyo haiondoi ukweli bayana kwamba, mjengoni kazi zinaendelea kama kawaaida, kwa bidii na weledi na viwango vya juu sana, upende usipende ni juu yako.....

But that's the open truth 🐒
 
Kama ni hivi ,basi tunapoteza pesa bure kuwalipa hao jamaa
kua na mtazamo au maoni kama hayo ni haki na Uhuru wako.....

but upende usipende, kazi kubwa sana inaendelea kufanyika hapa mjengoni kwa bidii na weledi wa viwango vya juu sana, na kwa maslahi mapana ya Taifa, kwa mujibu wa kanuni, taratibu, Sheria na katiba ya nchi bila mbambamba yoyote 🐒
 
Habari!

Hivi hii tabia ya wabunge kutohudhuria vikao bungeni iliyokithiri, inasababishwa na nini? Huo utoro nadhani madam speaker, bunge limemshinda kabisa au wabunge wengi hawaoni umuhimu wa wao kuhudhuria bungeni yaani kifupi wamechoka au wamekifiwa na kazi ya ubunge.

Vikao vya halimashauri hawahudhurii na bungeni hawahudhurii, ila ziara za kamati na vikao vyake wanawahi.
Ukweli mimi sio mjuzi wa shughuli za bunge ila unakerwa na bajeti ya wizara kupitishwa na robo ya wabunge.

Spika na wabunge hawana cha kuishauri Serikali?

Am out!
Tusimung'unye maneno,tatizo ni ulegelege wa uongozi wa juu wa nchi.Hili lilidhibitiwa wakati wa Magufuli.R.I.P Comrade.
 
Kumbuka bunge ni muhimili huru
Hakuna uhuru usio na mipaka mkuu.Halafuu, kumbuka their immediate boss ni Speaker,huyu kashindwa kazi kwa kuwa kashindwa kuwaingiza wabunge.Finally Speaker naye boss wake ni Rais,huyu naye kashindwa kazi kwa kuwa naye kashindwa kumsimamia Speaker afanye kazi ipasavyo.So Speaker na Rais wote viatu haviwatoshi.
 
Ndugai tangu achomolewe mshawahi kumuona baka bencha mjengoni?
 
Wanainchi ambao mnaona wabunge wenu wanakimbia vikao vya bajeti wasubirieni kwenye kampeni muwape makavu. Na pia msiiwaache kwenye account zao za social media.
 
Vikao vya chama villivyo batizwa jina la bunge ni maigizo upuuzi mtupu 🚮🚮
 
Wabunge wenyewe ndio hao hawajui mashine ya CT SCAN wanaita T SCAN, uwepo wao ni sawa na kutokuwepo...
 
Habari!

Hivi hii tabia ya wabunge kutohudhuria vikao bungeni iliyokithiri, inasababishwa na nini? Huo utoro nadhani madam speaker, bunge limemshinda kabisa au wabunge wengi hawaoni umuhimu wa wao kuhudhuria bungeni yaani kifupi wamechoka au wamekifiwa na kazi ya ubunge.

Vikao vya halimashauri hawahudhurii na bungeni hawahudhurii, ila ziara za kamati na vikao vyake wanawahi.
Ukweli mimi sio mjuzi wa shughuli za bunge ila unakerwa na bajeti ya wizara kupitishwa na robo ya wabunge.

Spika na wabunge hawana cha kuishauri Serikali?

Am out!
Hata wakihudhuria hawana mchango au hoja
 
kua na maoni na mtazamo tofauti na uhalisia ni haki na uhuru wako, you must enjoy it wisely like that....

but hiyo haiondoi ukweli bayana kwamba, mjengoni kazi zinaendelea kama kawaaida, kwa bidii na weledi na viwango vya juu sana, upende usipende ni juu yako.....

But that's the open truth 🐒
Hiyo niliyoipiga bold na nyekundu ndiyo point ya maana toka kwako kada wa CCM. Ni muda wako wa kujidai huu. Mengine, akili kichwani mwangu. Sio?
 
Back
Top Bottom