Tlaatlaah
JF-Expert Member
- May 18, 2023
- 9,035
- 12,283
uelekeo makini sana wa Tanzania kama nchi, chini ya chama tawala CCM,
ulibainishwa, ulichambuliwa, ulifafanuliwa na kuelezewa kwa kina, kwa kirefu sana kinagaubaga, na kwa umakini na uwazi wa kipekee mno, na makamu mwenyekiti wa ccm bara, comrade Abdulrahman Kinana.
kwamba,
kama nchi tupo pazuri sana na tunaelekea pazuri zaidi kisiasa, kijamii na kiuchumi na huko tuendako panaeleweka bayana hususani kwenye suala la muungano, tume huru ya uchaguzi, uchaguzi mkuu na katiba mpya...
wizara mbalimbali hapa bungeni, zikiendelea kuwasilisha bajeti zao, ili hatimae matarajio na matamanio ya waTanzania katika maendeleo yao, yaweze kutekelezwe, kutimizwa na kufikiwa kwa weledi na kwa wakati muafaka mwote nchini
ulibainishwa, ulichambuliwa, ulifafanuliwa na kuelezewa kwa kina, kwa kirefu sana kinagaubaga, na kwa umakini na uwazi wa kipekee mno, na makamu mwenyekiti wa ccm bara, comrade Abdulrahman Kinana.
kwamba,
kama nchi tupo pazuri sana na tunaelekea pazuri zaidi kisiasa, kijamii na kiuchumi na huko tuendako panaeleweka bayana hususani kwenye suala la muungano, tume huru ya uchaguzi, uchaguzi mkuu na katiba mpya...
wizara mbalimbali hapa bungeni, zikiendelea kuwasilisha bajeti zao, ili hatimae matarajio na matamanio ya waTanzania katika maendeleo yao, yaweze kutekelezwe, kutimizwa na kufikiwa kwa weledi na kwa wakati muafaka mwote nchini