dr namugari
JF-Expert Member
- Nov 19, 2022
- 9,650
- 16,338
Siyo mzaha jamaa kwa biashara wako vzr sna Kuna mtaa naishi hapa dodoma Basi kulifunguliwa vi car wash Kama mbili tatu hv na baadae mchaga mmoja ambae Ni Dr wa Benjamin mkapa nae akaja kuanzisha yake pmj na kufungua min market na barbershop kwenye jengo moja ,,, yaani ndni ya barbar shop Hakuna nafsi na min market nayo inakimbiza balaa
SAS alifungua kwa kusua sua kwa wateja ila Sasa hivi ukienda haswa week end unakosa pa kupaki gari ili lioshwe Ni Kwamba magari ni mengi San yanakuwepo na magari yenyewe ni Yale ya Bei kubwa kubwa kwa kifupi Dr ambae Ni jirani angu amepatia sna hiyo biashara
Jana nilikwenda kuosha guta langu nilikosa huduma baada ya vijana kuwa busy sna kuosha maTx nikaona wacha nielekea car wash iliyo mtaani karibu mita na chache na ya Dr niliwakuta vijan hawana Kaz kabsa wakt kwa Dr Hakuna pa kupaki gari Wala guta hawaoshi
Jmn biashara is not for everybody wengine tujikite na kilimo na ukipata nguvu jenga nyumba za kupangisha vingevyo utakula loss.
SAS alifungua kwa kusua sua kwa wateja ila Sasa hivi ukienda haswa week end unakosa pa kupaki gari ili lioshwe Ni Kwamba magari ni mengi San yanakuwepo na magari yenyewe ni Yale ya Bei kubwa kubwa kwa kifupi Dr ambae Ni jirani angu amepatia sna hiyo biashara
Jana nilikwenda kuosha guta langu nilikosa huduma baada ya vijana kuwa busy sna kuosha maTx nikaona wacha nielekea car wash iliyo mtaani karibu mita na chache na ya Dr niliwakuta vijan hawana Kaz kabsa wakt kwa Dr Hakuna pa kupaki gari Wala guta hawaoshi
Jmn biashara is not for everybody wengine tujikite na kilimo na ukipata nguvu jenga nyumba za kupangisha vingevyo utakula loss.