Kumbe TPL iliwahi kuwa na idadi ya mechi 49 kwa misimu miwili (2016/2017) tu, na Makolokolo SC ikaweka rekodi ya unbeaten run? Kweli hata vichaa huona Watu timamu ni vichaaWakati Simba Sc anachukua ubingwa 2017 mbele ya mgeni rasmi JPM, alifungwa mechi gani nyingine kwenye ligi tofauti na ile ya mwisho dhidi ya Kagera? Unadhani hapo nyuma alikuwa na unbeaten ngapi?
Nilisikia unasoma Chuo Kikuu ila kwa hizi akili, napata shida na ninaihurumia sana Tz.
Mna makombe mangapi msimu huuYANGA ni mwendo wa makombe mzee
Football club nyingi za Africa zinazomilikiwa na mtu binafsi zina matumizi mabaya ya pesa. Hali hiyo hupelekea kuyumba kwa mmiliki wa timu na kuamua kuitelekeza kama ambavyo Mo amefanya mara kdhaa na baadae hurudi kwa mapenzi yake. Timu nyingi hazijiendeshi kitaasisi kiasi kwamba mmiliki akipitia changamoto na timu inakuwa kwenye changamoto kama ilivyokuwa kwa Moses Katumbi na Mazembe.Matusi hayo,Hamna hata nusu kikombe cha Africa wao wanacho,hamna hata uwanja wao wanao kisha waje kujifunza kwa mbumbumbu?
Labani......nimekuuliza msimu huuHili kombe la 30 Toka ligi ianze
Labani .......Kuna timu inakataa kombe.....Msimu huu.. bado ingawa kombe la muungano tulilikataa
Hahaha..Niwaambie tu, tutabeba Makombe hadi kila Mwanachama atakuwa anabeba la kuweka nyumbani kwake
Kule CAFCL hatukudhurumiwa ndugu, Yanga haina wapigaji wazuri wa penati na hiyo ndiyo sababu iliyotufanya tuishie robo.kule champion leuge awamu hii hata wale waliotudhulumu tutawavunja ngoko na hata viuno wasisubutu kujaribu kutuzuia tena kwa dhuluma
Wanafundishwa jinsi ya kutuma miamala kwa marefa“Tumepokea ugeni mzito kutoka moja ya Klabu kubwa Barani Afrika, TP Mazembe ya DR Congo ambao wamevutiwa na namna Klabu yetu ya Yanga inavyoendeshwa hivyo wamekuja hapa Tanzania kujifunza mambo mbalimbali kwenye Mfumo wetu wa Mabadiliko ya Uendeshaji" Simon Patrick, Mkurugenzi wa Sheria wa Yanga SC.
---
Pia tutakuwa na makubaliano rasmi ya urafiki wa kushirikiana kati ya Klabu yetu ya Yanga na TP Mazembe ili kuweza kubadilisha ujuzi wa mambo mbalimbali ya kimpira yatakayoweza kuisaidia Klabu yetu.
Klabu kubwa kama TP Mazembe imesafiri kutoka DR Congo kuja hapa Jangwani kujifunza kwa kichwa chetu, Rais wetu Eng. Hersi Said halafu kuna watu wako nyumba ya 16 tu jirani hapo, wanapiga kelele kuwa hawana cha kujifunza kwa Yanga. Niwaambie tu, tutabeba Makombe hadi kila Mwanachama atakuwa anabeba la kuweka nyumbani kwake
#timuyawananchi
#daimambelenyumamwiko
Je Kuna ukweli kuwa Yanga ndio workshop ya soka hapa Afrika???
7-2 refa aliuhusika?Wanafundishwa jinsi ya kutuma miamala kwa marefa
Ndiyo7-2 refa aliuhusika?
Goli la key 🔑. Lililochinjiwa baharini na V.A.R na referee akashindwa kuhakiki na kutoa haki🤔Kule CAFCL hatukudhurumiwa ndugu, Yanga haina wapigaji wazuri wa penati na hiyo ndiyo sababu iliyotufanya tuishie robo.
Ni vyema viongozi wakafanya usajili wa maana ili CAFCL ijayo tutwae kombe kabisa
Huyo huyo key 🔑alipopewa nafasi ya kwanza kwenye kupiga penati alimpasia tu Williams badala ya kushusha shuti la nguvu ili kurudisha goli lake alilodhurumiwa.Goli la key 🔑. Lililochinjiwa baharini na V.A.R na referee akashindwa kuhakiki na kutoa haki🤔