Tanzania upinzani uliasisiwa ili kudanganya mataifa mengine kuwa kuna demokrasia

BOB LUSE

JF-Expert Member
Jan 25, 2014
3,619
2,998
Inchi yetu Wananchi wake waliingizwa kwenye Vyama vingi Kwa utashi wa MATAIFA ya nje na Viongozi walio na hila Ili waonekane wanaenda na matakwa ya wakati katika Siasa. Waliotaka Vyama vingi hawakuzidi asilimia 22, wakapewa Kwa hila huku mifumo ilibakia ileile ya chama kimoja, katiba, tume ya uchaguzi n.k

Waliojiunga Vyama vya UPINZANI mwanzoni walielewa Hilo kuwa UPINZANI,sio Kwa malengo ya kutawala nchi, Bali kupiga kelele juu ya mauvu na kuonekana kukiwajibisha chama tawala.

Vyombo vya Dola, Mahakama
Havijaandaliwa kuheshimu na kuona UPINZANI ukitawala ndio Maana Polisi, jeshi, usalamawa Taifa, Mahakama zinatumia nguvu nyingi kuona chama tawala hakishindwi Kwa namna yoyote.

Cha kufanya,tusiwe wanafiki, turudishe mfumo wa chama kimoja,vita irudi ndani ya CCM, tuache ghiriba. Mfumo uliopo kutoka madarakani lazima vyombo vya Dola na Mahakama viwe tayari kuhesabiwa na kuacha kupokea mapochopocho wanayoyapata kutokana na mfumo. Hata wakiungana wapinzani wote sio rahisi kushinda,bila support ya mfumo.

Mungu Ibariki Tanzania.
 
Inchi yetu Wananchi wake waliingizwa kwenye Vyama vingi Kwa utashi wa MATAIFA ya nje na Viongozi walio na hila Ili waonekane wanaenda na matakwa ya wakati katika Siasa.Waliotqkq Vyama vingi hawakuzidi asilimia 22, wakapewa Kwa hila huku mifumo ilibakia ileile ya chama kimoja,katiba,tume ya uchaguzi n.k
Waliojiunga Vyama vya UPINZANI mwanzoni walielewa Hilo kuwa UPINZANI,sio Kwa malengo ya kutawala nchi,Bali kupiga kelele juu ya mauvu na kuonekana kukiwajibisha chama tawala.
Vyombo vya Dola, Mahakama
Havijaandaliwa kuheshimu na kuona UPINZANI ukitawala ndio Maana Polisi,jeshi,usalamawa Taifa, Mahakama zinatumia nguvu nyingi kuona chama tawala hakishindwi Kwa namna yoyote.
Cha kufanya,tusiwe wanafiki, turudishe mfumo wa chama kimoja,vita irudi ndani ya CCM, tuache ghiriba. Mfumo uliopo kutoka madarakani lazima vyombo vya Dola na Mahakama viwe tayari kuhesabiwa na kupoteza mapochopocho wanayoyapata kutokana na mfumo.Hata wakiungana wapinzani wote sio rahisi kushinda,bila support ya mfumo.

Mungu Ibariki Tanzania.
Wewe itakuwa ni wale vijana wa mwaka 2000.

Vyama vya upinzani vilikuwepo kabla ya uhuru.
 
Inchi yetu Wananchi wake waliingizwa kwenye Vyama vingi Kwa utashi wa MATAIFA ya nje na Viongozi walio na hila Ili waonekane wanaenda na matakwa ya wakati katika Siasa. Waliotaka Vyama vingi hawakuzidi asilimia 22, wakapewa Kwa hila huku mifumo ilibakia ileile ya chama kimoja, katiba, tume ya uchaguzi n.k

Waliojiunga Vyama vya UPINZANI mwanzoni walielewa Hilo kuwa UPINZANI,sio Kwa malengo ya kutawala nchi, Bali kupiga kelele juu ya mauvu na kuonekana kukiwajibisha chama tawala.

Vyombo vya Dola, Mahakama
Havijaandaliwa kuheshimu na kuona UPINZANI ukitawala ndio Maana Polisi,jeshi,usalamawa Taifa, Mahakama zinatumia nguvu nyingi kuona chama tawala hakishindwi Kwa namna yoyote.
Cha kufanya,tusiwe wanafiki, turudishe mfumo wa chama kimoja,vita irudi ndani ya CCM, tuache ghiriba. Mfumo uliopo kutoka madarakani lazima vyombo vya Dola na Mahakama viwe tayari kuhesabiwa na kuacha kupokea mapochopocho wanayoyapata kutokana na mfumo.Hata wakiungana wapinzani wote sio rahisi kushinda,bila support ya mfumo.

Mungu Ibariki Tanzania.
Ni mfumo tu umekuwa hivyo kutokana na historia yetu. Hata Mozambique, Zimbabwe, Namibia, South Africa na Angola upinzani haujapata nguvu sana. Muundo wa vyama vilivyoko madarakani ni kama muundo wa CCM na bins historia kama ya CCM. Vyama vya ANC, FRELIMO, SWAPO, ZANU PF na MPLA bado vipo madarakani na havina dalili ya kushindwa katika chaguzi. Naona RUTO naye anajaribu kuiunda UDA yake iwe na umbo kama la CCM.
 
Inchi yetu Wananchi wake waliingizwa kwenye Vyama vingi Kwa utashi wa MATAIFA ya nje na Viongozi walio na hila Ili waonekane wanaenda na matakwa ya wakati katika Siasa. Waliotaka Vyama vingi hawakuzidi asilimia 22, wakapewa Kwa hila huku mifumo ilibakia ileile ya chama kimoja, katiba, tume ya uchaguzi n.k

Waliojiunga Vyama vya UPINZANI mwanzoni walielewa Hilo kuwa UPINZANI,sio Kwa malengo ya kutawala nchi, Bali kupiga kelele juu ya mauvu na kuonekana kukiwajibisha chama tawala.

Vyombo vya Dola, Mahakama
Havijaandaliwa kuheshimu na kuona UPINZANI ukitawala ndio Maana Polisi,jeshi,usalamawa Taifa, Mahakama zinatumia nguvu nyingi kuona chama tawala hakishindwi Kwa namna yoyote.
Cha kufanya,tusiwe wanafiki, turudishe mfumo wa chama kimoja,vita irudi ndani ya CCM, tuache ghiriba. Mfumo uliopo kutoka madarakani lazima vyombo vya Dola na Mahakama viwe tayari kuhesabiwa na kuacha kupokea mapochopocho wanayoyapata kutokana na mfumo.Hata wakiungana wapinzani wote sio rahisi kushinda,bila support ya mfumo.

Mungu Ibariki Tanzania.
Na huu ndio ukweli ulio uchi.
 
Ukweli ndio huo

Baada ya Nyerere kufeli kwenye ujamaa na kuwa na madeni kama yote ilibidi ampe kijiti Mwinyi mwaka 1985 ili kupotezea aibu

Mwinyi aliingia kwa kusudi moja tu kubadilisha mfumo kutoka ujamaa kwenda ubepari ili kupata misaada kutoka nchi za Magharibi, IMF na WB

Moja ya kigezo ili Tanzania ipewe msaada ilikuwa lazima taifa liingie kwenye mfumo wa vyama vingi

Lakini kihalisi CCM na serikali haikuwa tayari njaa tu na shida ndio zilifanya waanzishe mfumo wa vyama vingi

Kama kuzuga mwaka 1992 CCM wakajifanya kuunda tume ya Nyalali ikapita kila mkoa na kijiji kuulizia maoni ya wananchi kuhusu mfumo wa vyama vingi

Kibishi sana ukafanyika uchaguzi wa kwanza wa vyama vingi mwaka 1995

Mrema akiwa NCCR Mageuzi wakati huo akaibiwa kura Mkapa akapewa uraisi
 
Ukweli ndio huo

Baada ya Nyerere kufeli kwenye ujamaa na kuwa na madeni kama yote ilibidi ampe kijiti Mwinyi mwaka 1985 ili kupotezea aibu

Mwinyi aliingia kwa kusudi moja tu kubadilisha mfumo kutoka ujamaa kwenda ubepari ili kupata misaada kutoka nchi za Magharibi, IMF na WB

Moja ya kigezo ili Tanzania ipewe msaada ilikuwa lazima taifa liingie kwenye mfumo wa vyama vingi

Lakini kihalisi CCM na serikali haikuwa tayari njaa tu na shida ndio zilifanya waanzishe mfumo wa vyama vingi

Kama kuzuga mwaka 1992 CCM wakajifanya kuunda tume ya Nyalali ikapita kila mkoa na kijiji kuulizia maoni ya wananchi kuhusu mfumo wa vyama vingi

Kibishi sana ukafanyika uchaguzi wa kwanza wa vyama vingi mwaka 1995

Mrema akiwa NCCR Mageuzi wakati huo akaibiwa kura Mkapa akapewa uraisi
Ukweli mtupu,mpinzani ukiwa na Nia ya dhati ya kuchukua nchi,watawala wanakushangaa,ndio kesi za uhaini,kupigwa risasi,kuwekewa sumu etc Kuna wapinzani wengi wanajua ila wamefanya UPINZANI ni eneo la kula Hela,sio kwenda Ikulu
 
Ni mfumo tu umekuwa hivyo kutokana na historia yetu. Hata Mozambique, Zimbabwe, Namibia, South Africa na Angola upinzani haujapata nguvu sana. Muundo wa vyama vilivyoko madarakani ni kama muundo wa CCM na bins historia kama ya CCM. Vyama vya ANC, FRELIMO, SWAPO, ZANU PF na MPLA bado vipo madarakani na havina dalili ya kushindwa katika chaguzi. Naona RUTO naye anajaribu kuiunda UDA yake iwe na umbo kama la CCM.
Kenya ngumu kwakuwa system imegawanyika Kwa makabila Yale Makubwa matatu,Kikuyu,Luo& Kalenjii.wote wanataka kula keki ya Taifa na wanavutia kwenye miji yao
 
Inchi yetu Wananchi wake waliingizwa kwenye Vyama vingi Kwa utashi wa MATAIFA ya nje na Viongozi walio na hila Ili waonekane wanaenda na matakwa ya wakati katika Siasa. Waliotaka Vyama vingi hawakuzidi asilimia 22, wakapewa Kwa hila huku mifumo ilibakia ileile ya chama kimoja, katiba, tume ya uchaguzi n.k

Waliojiunga Vyama vya UPINZANI mwanzoni walielewa Hilo kuwa UPINZANI,sio Kwa malengo ya kutawala nchi, Bali kupiga kelele juu ya mauvu na kuonekana kukiwajibisha chama tawala.

Vyombo vya Dola, Mahakama
Havijaandaliwa kuheshimu na kuona UPINZANI ukitawala ndio Maana Polisi, jeshi, usalamawa Taifa, Mahakama zinatumia nguvu nyingi kuona chama tawala hakishindwi Kwa namna yoyote.

Cha kufanya,tusiwe wanafiki, turudishe mfumo wa chama kimoja,vita irudi ndani ya CCM, tuache ghiriba. Mfumo uliopo kutoka madarakani lazima vyombo vya Dola na Mahakama viwe tayari kuhesabiwa na kuacha kupokea mapochopocho wanayoyapata kutokana na mfumo. Hata wakiungana wapinzani wote sio rahisi kushinda,bila support ya mfumo.

Mungu Ibariki Tanzania.
Hata Kama wapiga Kura wote kabisa katika uchaguzi wa Rais watawapigia kura wagombea wa vyama vya upinzani na CCM kuambulia kura sifuri, bado Mgombea wa CCM atatangazwa kuwa Mshindi.

CCM kuendelea kubaki madarakani haitegemei kupigiwa kura na mtu yoyote yule.
 
Hata Kama wapiga Kura wote kabisa katika uchaguzi wa Rais watawapigia kura wagombea wa vyama vya upinzani na CCM kuambulia kura sifuri, bado Mgombea wa CCM atatangazwa kuwa Mshindi.

CCM kuendelea kubaki madarakani haitegemei kupigiwa kura na mtu yoyote yule.
Very true,Mpaka Mpasuko mkubwa utokee katika Mfumo,ndani ya CCM,vyombo vya Usalama na Dola
 
Back
Top Bottom