Panzi Mbishi
JF-Expert Member
- Mar 8, 2021
- 2,102
- 2,731
Mwijaku alianzia hukoAndiko zuri sana lakini usibeze mchango na jitihada za Kanumba kwenye tasnia ya filamu Tanzania.
Sijui nini kilikuja kuharibu hapo kati kati, lakini zamani pamoja na uduni wa vifaa vya kisasa ila unaangalia movie unaridhika kabisa.
Muziki umekuwa wa hovyo, filamu ndio usiseme hadi Mwijaku na Chris Mitindo wanaigiza, miaka iko mbio sana kweli kweli.