warumi
R I P
- May 6, 2013
- 16,273
- 18,392
Hawa Jamaa Sijui siku izi wako wapi , ni waongozaji na watunzi wa movie za kibongo, nakumbuka zamani walikuwa moto wa kuotea mbali kwenye filamu za kibongo, sio siri Jamaa walikuwa wananikosha sana na movie zao , walikuwa wanajua vizuri kucheza na soundtrack pamoja na hisia, hasa kwenye movies za kutisha , izi ndo baadhi ya movies ambazo nazikumbuka hadi Leo kutoka kwa Jamaa, hakika Jamaa wanaweza sana na movies zao zinasisimua sana.
MUSSA BANZI
-Shumileta
-nsyuka
-karibu paradiso
-chite ukae
-Dont say Goodbye veronica
-Sikio la kufa
-mahabati
-odama
-beyonce
-The Game of love
-Zogo (kisiwa cha mauti)
-My Darling
- Fungu la kukosa
-Tabana
SULTANI TAMBA
-kazibure village
-Mzee wa busara
-Shetani wa mahaba
-Jinamizi
-Kimya
MUSSA BANZI
-Shumileta
-nsyuka
-karibu paradiso
-chite ukae
-Dont say Goodbye veronica
-Sikio la kufa
-mahabati
-odama
-beyonce
-The Game of love
-Zogo (kisiwa cha mauti)
-My Darling
- Fungu la kukosa
-Tabana
SULTANI TAMBA
-kazibure village
-Mzee wa busara
-Shetani wa mahaba
-Jinamizi
-Kimya