Sauli Amon (S.H.AMON) abambwa kwa Utapeli wa nyumba Kariakoo

Erythrocyte

JF-Expert Member
Nov 6, 2012
118,924
221,313
Mbunge wa Zamani wa ccm huko Rungwe, Sauli Pattaya, amewekwa kitimoto na Waziri wa Ardhi Jerry Silaa kwa utapeli wa wa Nyumba ya Udongo, kuivunja na kujenga jengo la ghorofa 8 kwa kushirikiana na kampuni ya udalali ya Benki

Imeamriwa kwamba S H AMON awagawie aliowadhulumu sehemu ya Hisa za Jengo hilo .
 
Back
Top Bottom