Erythrocyte
JF-Expert Member
- Nov 6, 2012
- 118,924
- 221,313
Mbunge wa Zamani wa ccm huko Rungwe, Sauli Pattaya, amewekwa kitimoto na Waziri wa Ardhi Jerry Silaa kwa utapeli wa wa Nyumba ya Udongo, kuivunja na kujenga jengo la ghorofa 8 kwa kushirikiana na kampuni ya udalali ya Benki
Imeamriwa kwamba S H AMON awagawie aliowadhulumu sehemu ya Hisa za Jengo hilo .
Imeamriwa kwamba S H AMON awagawie aliowadhulumu sehemu ya Hisa za Jengo hilo .