Nyimbo gani ukiisikia inakupa furaha, mzuka, Amani

Hv sasa ni saa 1:33 pm tangu saa 12 jioni rais samia katulaza giza na joto kali nampongeza mno bila yy nina uwakika isingetokea.


KAZI NI KIPIMO CHA UTU
 
Mimi nyimbo zote za kwaya ya Arusha miaka ya sabini.
Kama
Kila mtu atauchukua mzigo wake,
Nitume Mimi,
Kila siku kanisa na
My heart is in Rosario wa Jim Reeves.
 
Chicco twala _ umbhulalo wam
Brenda fassie - thola amadhlozi, nomakhanjani.
Dalon kids_ nomalizo, awlaleli
Msondo ngoma OTTU _grolia
Fred gwala _amadamara
 
Niandikie inbox 🤣

Kiherehere leo kimekubamba.

Cha kufanya chukua maji na sabuni nawa mikono yako. Kisha chukua maji masafi na chumvi kisha safisha pua yako.

Unaweza pia kuchukua kitambaa kisafi ukalowanisha kwenye maji ya uvuguvugu kisha ukasafisha puani.

Lakini pia unaweza kujifukiza.

Hata hivyo, hiyo hali ni ya muda. Pole sana..
Eroo Suvai..
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom