Ninaogopa endapo Othman Masoud na Ismail Jussa wataamua kumjibu Tundu Lissu wa CHADEMA kuhusu Katiba ya JMT ya 1977 na Katiba ya Zanzibar ya 1984!

johnthebaptist

JF-Expert Member
May 27, 2014
84,928
143,514
Majibu ya Tundu Antipas Lissu kwa Wakuli Msomi Fatma Karume mjukuu wa muasisi wa Muungano yamenitisha lakini naogopa zaidi kama Mwenyekiti wa ACT Wazalendo Othman Masoud na msaidizi wake Ismail Jussa wataamua kujibu Mapigo

Kilichonitisha ni kifungu cha Katiba ya Zanzibar kinachosema "Tanzania INATOKANA na muungano wa Nchi mbili"

Tundu Lissu amepigia mstari Neno "inatokana" na akauliza hiyo Nchi ya pili ni ipi?

Tuzidi kumuomba Mungu wa mbinguni aulinde Muungano Wetu!
 
Majibu ya Tundu Antipas Lisu kwa Wakuli Msomi Fatma Karume mjukuu wa muasisi wa Muungano yamenitisha lakini naogopa zaidi kama Mwenyekiti wa ACT Wazalendo Othman Masoud na msaidizi wake Ismail Jussa wataamua kujibu Mapigo

Kilichonitisha ni kifungu Cha Katiba ya Zanzibar kinachosema " Tanzania INATOKANA na muungano wa Nchi mbili"

Tundu Lisu amepigia mstari Neno " inatokana " na akauliza hiyo Nchi ya pili ni ipi?!

Tuzidi kumuomba Mungu wa mbinguni aulinde Muungano Wetu!
Acha inyeshe.....
 
Mtizamo wa Jussa ni uleule na wa Lissu kuhusu haki na usawa kwenye Muungano,Jussa analia sana Koti la Muungano,kunufaika watanganyika,Lissu analia na Watanganyika kutokuwa na serikali yao ili watoke kwenye koti linaloleta mkanganyiko. Ni lugha tu lakini mambo yaleyale ya Shirikisho la serikali 3 kwa Othman na Jussa na Lissu ingawaje maelezo na misisitizo yao ni tofauti kwa kila mtu,Sera moja.
 
Majibu ya Tundu Antipas Lissu kwa Wakuli Msomi Fatma Karume mjukuu wa muasisi wa Muungano yamenitisha lakini naogopa zaidi kama Mwenyekiti wa ACT Wazalendo Othman Masoud na msaidizi wake Ismail Jussa wataamua kujibu Mapigo

Kilichonitisha ni kifungu Cha Katiba ya Zanzibar kinachosema " Tanzania INATOKANA na muungano wa Nchi mbili"

Tundu Lissu amepigia mstari Neno " inatokana " na akauliza hiyo Nchi ya pili ni ipi?!

Tuzidi kumuomba Mungu wa mbinguni aulinde Muungano Wetu!

Kwa nini wajibu ACT ..... CCM wako wapi kufafanua hili. Nape anabwabwaja bila point. Makalla na Nchimbi hawana majibu ....!!

ACT na akina Jussa wamekuwa ni walalamikaji wakubwa wa Muungano. Othman alifukuzwa kazi kwa sababu ya Muungano. Actually, Lissu amewasaidia kuiwakilisha point yao kwa Wananchi wa Tanganyika ......!!
 
Kwa nini wajibu ACT ..... CCM wako wapi kufafanua hili. Nape anabwabwaja bila point. Makalla na Nchimbi hawana majibu ....!!

ACT na akina Jussa wamekuwa ni walalamikaji wakubwa wa Muungano. Othman alifukuzwa kazi kwa sababu ya Muungano. Actually, Lissu amewasaidia kuiwakilisha point yao kwa Wananchi wa Tanganyika ......!!

..kama matatizo na kero ktk muungano wetu zimeshindwa kutatuliwa kwa muda mrefu sababu itakuwa ni uzembe wa Samia Suluhu Hassan.

..kwa muda mrefu alihudumu ktk ofisi ya Makamu wa Rais kama Waziri mwenye dhamana ya masuala ya muungano.

..baada ya hapo Samia Saluhu amekuwa Makamu na sasa ni Raisi. Haiwezekani ktk nafasi zote hizo ashindwe kutupatia uteuzi wa changamoto za muungano.

..Nadiriki kusema Samia ni MZEMBE.
 
..kama matatizo na kero ktk muungano wetu zimeshindwa kutatuliwa kwa muda mrefu sababu itakuwa ni uzembe wa Samia Suluhu Hassan.

..kwa muda mrefu alihudumu ktk ofisi ya Makamu wa Rais kama Waziri mwenye dhamana ya masuala ya muungano.

..baada ya hapo Samia Saluhu amekuwa Makamu na sasa ni Raisi. Haiwezekani ktk nafasi zote hizo ashindwe kutupatia uteuzi wa changamoto za muungano.

..Nadiriki kusema Samia ni MZEMBE.
Bwashee Heshima ni kitu Cha bure
 
..mkishindwa hoja mnadai mmetukanwa.🤣

..kwa muda mrefu Samia alikuwa Waziri wa masuala ya muungano, kwanini leo ndugu zake Waznz wanalalamika kuonewa ktk muungano?
UKAWA Ndio walitukosesha katiba mpya 🐼
 
Majibu ya Tundu Antipas Lissu kwa Wakuli Msomi Fatma Karume mjukuu wa muasisi wa Muungano yamenitisha lakini naogopa zaidi kama Mwenyekiti wa ACT Wazalendo Othman Masoud na msaidizi wake Ismail Jussa wataamua kujibu Mapigo

Kilichonitisha ni kifungu Cha Katiba ya Zanzibar kinachosema " Tanzania INATOKANA na muungano wa Nchi mbili"

Tundu Lissu amepigia mstari Neno " inatokana " na akauliza hiyo Nchi ya pili ni ipi?!

Tuzidi kumuomba Mungu wa mbinguni aulinde Muungano Wetu!
Hatari sana!
 
UKAWA Ndio walitukosesha katiba mpya 🐼

..hapana.

..Samuel Sitta, Samia Suluhu, na Andrew Chenge, waliongoza kazi ya kuandika Katiba pendekezwa.

..Na Rais Kikwete alikabidhiwa Katiba pendekezwa kama hitimisho la kazi ya bunge maalum la katiba.

..sasa tujiulize, Katiba pendekezwa iko wapi? Je, ukawa ndio wameficha katiba pendekezwa?
 
Back
Top Bottom