Poor Brain
JF-Expert Member
- Jul 5, 2019
- 11,161
- 21,023
Mgosi inaelekea una matatizo ya akili lia.....hapana unatuaibisha watu wa njombe hatunaga mtu ambae hana brain
Upo pande zipi
Mgosi inaelekea una matatizo ya akili lia.....hapana unatuaibisha watu wa njombe hatunaga mtu ambae hana brain
Nilikuwa nataka nikujibu lakini nilipoiona id yako, nimebadilisha jibu.Ufupi unaendana na kiburi, ubishi, kisirani na hasira.
Lakini sijaona haya mambo ukiyahusianisha..
Wee acha bwana Mtwango sehemu gani inatokea mkuu?Maeneo ya home hapo Mtwango.!
Maeneo ya shule ya msingi Lunguya, pia I had a teacher in Mtss when it was nddt.!!Wee acha bwana Mtwango sehemu gani inatokea mkuu?
Niko mwanzaMgosi inaelekea una matatizo ya akili lia.....
Upo pande zipi
mi nishakufahamuMaeneo ya shule ya msingi Lunguya, pia I had a teacher in Mtss when it was nddt.!!
Nikieleza sana usije ukanifahamu maana jf ni msitu watu wanatembea wakati wa giza.!!
Duuu nakubali mkuu,Maeneo ya shule ya msingi Lunguya, pia I had a teacher in Mtss when it was nddt.!!
Nikieleza sana usije ukanifahamu maana jf ni msitu watu wanatembea wakati wa giza.!!
Hahah Mwamba wa Lunguya kwa Wayotile!mi nishakufahamu
Duuu nakubali mkuu,
Nitakua nakufahamu vizuri tu hata ndugu zako nitakua nawahamu pia
Pia mpaka kuku zenu na ng'ombe nitakua nazijua ila kwa kua JF ni Chaka nene nipende kutangaza wewe ni ndugu yangu kabisaaaa!
Nmegundua bado hujanifahamu hususan ulipozungumzia ng'ombe, hebu tuendelee kuserebuka na jf tukiwa hatufahamiani kama kawaida.!
Ndo mana...Niko mwanza
nakuelekeza poor brainNdo mana...
Unaleta habar za kisela 😂😂😂👊👊
Huna ujualo kuhusu njombenakuelekeza poor brain
mkoa wangu huoHuna ujualo kuhusu njombe
Inawezeka ni mkoa wako ila ujakulia hukumkoa wangu huo
wewe umekulia huko?Inawezeka ni mkoa wako ila ujakulia huku
Nipo hukuwewe umekulia huko?
Upo sahihiusisahau katika mikoa ya kikodi Tanzania halmashauri zinazoongoza kwa makusanyo ya kodi.
1. Kinondoni
2. Njombe
3. Kahama
njombe nisehemu nilioipenda mno nilivyofika pale nilishangaa watu wanavyochakarika kutafuta hela. alafu ni watu wanaojenga na kuboresha kwao kule biashara zinakwenda poa mno ni muda tu umetoka kuwa mkoa nafikiri hauna hata miaka mitano.
naona njombe ndani ya miaka ijayo inaenda kuacha mbali sana majiji yalioanza kitambo