Mgosi Mbena
JF-Expert Member
- Nov 28, 2023
- 303
- 417
hatutaki ufalaIla mbona kuna matukio ya ajabu ajabu sana yanaripotiwa kutoka pande hizo
Njombe
Geita
hatutaki ufalaIla mbona kuna matukio ya ajabu ajabu sana yanaripotiwa kutoka pande hizo
Njombe
Geita
vejaaaTuhongise mwagito..
madihani mahi beeMwenzako ameandika vitu vinavyoonekana wewe unaleta habari za kufikirika.
Ni wajinga wachache kama wewe ndio wanaamini mambo ambayo ukiambiwa thibitisha unaishia kutoa macho kama mjusi kabanwa na mlango.
Mimi ni mzawa wa Njombe huwa nashangaa wajinga wanaokomaa kuongelea habari ambazo kiuhalisia hazipo.
Ndio,tena Ikondawe wa njombe
mkunga ogNdio,tena Ikonda
Kwani kuwa mkarimu na maambukizi ya vvu kuna uhusiano gani!????Tanzania nzima hakuna watu wenye sifa zote hizo labda kama umeamua kuwa chawa wa watu wa njombe.
Ni sehemu gani watu wanahangaika na maumbo yao ya kuzaliwa iwe urefu, ufupi, uwebamba au unene. Kama ni wanawake kutafuta uweupe wa mchina, wanawake wa njombe nao ni mafundi.
Wangekua majasiri, wakarimu, wasitarabu na kujiamini mkoa huo usingeongoza kwa takwimu za HIV, wasingekuwa wanaburuzwa CCM na mkoa ungekua na maendeleo lakini badala yake wamejaa imani potofu za kishirikina.
Uchapakazi unaakisi maisha halisi ya watu, lakini uchapakazi wa watu wa njombe ni kizamani usiozingatia tija, wanawake kwa wanaume kutwa wako shamba lakini mwisho wa siku masilahi kisoda kama ilivyo sehemu zingine za nchi..
Njombe ukimtoa yule jamaa anayelima parachichi nyingi Nemes, mexison na mwenye hillside waliobaki wana hela za ugali na niliowataja nao sio mabillionea. Njombe hakuna mabillionea.
Ni kweli njombe watu wanajituma sana kazi za kilimo lakini efficiency ni ndogo sana kwa sababu wanafanya kilimo cha kizamani .
Namalizia kwa kusema watu wa njombe hawana hizo sifa zote ulizoandika,ni watanzania kama watanzia wengine waliojaa ujinga na umaskini mwing,mtu maskini na mjinga hawezikuwa mstaarabu,mjasiri wala kujiamini.
Maeneo ya home hapo Mtwango.!Sasa uongo gani mkuuu takwimu huoni au.....acha ujuaji wa kijinga ....plus njombe kakaangu huko anafanya kazi mtwango halimashauri.......nimekuja mara kibao hapo mtwango wako busy kuzuia maambukizi na kutoa elimu ......takwimu kitaifa njombe iko juuu
So moja ya kazi ya serikali mkoa wa njombe upande wa afya kipaumbale kikuu ni kupunguza maambukizi ya HIV ...pamoja na utapia mlo kwa watoto kama ulikuwa hujui kijana
Pia before sijabishana na na ww una level ipi kielimu nisije kubishana na la saba au form four hapa bure.... ukiwa mbishi uwe unajua dunia hata kusoma kama la saba au form four sijui una certificate usijibu tena kaa kimya
kweli kabisa tunachapa kazi balaaWatu wa Njombe wanajiamini Sana, wachapakazi, wakarimu, na wanapenda kula Sana mbena akiwa na pesa atakula anachotaka
Hahaha hivi huyu mganga bado yupo?? Enzi zangu nipo kule alikuwa anatambaa hatariii...alifuga mbuzi wake pale hospital kama mchawi wale mbuzi wanakughulikiaKwa mwandulami 😬😬😬,
Uko Njombe sehem gani?Asante sana na karibu sana Njombe mkuu
Alikufa mwaka juzi aise, alipiga Sana hela kipindi Cha uhai wakeHahaha hivi huyu mganga bado yupo?? Enzi zangu nipo kule alikuwa anatambaa hatariii...alifuga mbuzi wake pale hospital kama mchawi wale mbuzi wanakughulikia
Nipo airport, uko njombe pia???Uko Njombe sehem gani?
Karibu mkuu nipo njombe mjini hapa....jaman mtu wa poor brain huwezi kuwa wa njombe
Wao! Kumbe Njombe kuna Airport!Nipo airport, uko njombe pia???
Mwenzako ameandika vitu vinavyoonekana wewe unaleta habari za kufikirika.
Ni wajinga wachache kama wewe ndio wanaamini mambo ambayo ukiambiwa thibitisha unaishia kutoa macho kama mjusi kabanwa na mlango.
Mimi ni mzawa wa Njombe huwa nashangaa wajinga wanaokomaa kuongelea habari ambazo kiuhalisia hazipo.
Mwenzako ameandika vitu vinavyoonekana wewe unaleta habari za kufikirika.
Ni wajinga wachache kama wewe ndio wanaamini mambo ambayo ukiambiwa thibitisha unaishia kutoa macho kama mjusi kabanwa na mlango.
Mimi ni mzawa wa Njombe huwa nashangaa wajinga wanaokomaa kuongelea habari ambazo kiuhalisia hazipo.
Mwenzako ameandika vitu vinavyoonekana wewe unaleta habari za kufikirika.
Ni wajinga wachache kama wewe ndio wanaamini mambo ambayo ukiambiwa thibitisha unaishia kutoa macho kama mjusi kabanwa na mlango.
Mimi ni mzawa wa Njombe huwa nashangaa wajinga wanaokomaa kuongelea habari ambazo kiuhalisia hazipo.
Mwenzako ameandika vitu vinavyoonekana wewe unaleta habari za kufikirika.
Ni wajinga wachache kama wewe ndio wanaamini mambo ambayo ukiambiwa thibitisha unaishia kutoa macho kama mjusi kabanwa na mlango.
Mimi ni mzawa wa Njombe huwa nashangaa wajinga wanaokomaa kuongelea habari ambazo kiuhalisia hazipo.
Hatukutegemea jibu lingine zaidi ya hili hongereni njombe.Mwenzako ameandika vitu vinavyoonekana wewe unaleta habari za kufikirika.
Ni wajinga wachache kama wewe ndio wanaamini mambo ambayo ukiambiwa thibitisha unaishia kutoa macho kama mjusi kabanwa na mlango.
Mimi ni mzawa wa Njombe huwa nashangaa wajinga wanaokomaa kuongelea habari ambazo kiuhalisia hazipo.
Ipo mkuu ingawa hakuna ndege zinazotua Mara kwa Mara sanasana ni zile ndogo ndogo. I hope miaka ijayo kutabadilika uwe uwanja mkubwa.Wao! Kumbe Njombe kuna Airport!
Nilifikiri ni "chai" hadi nilipogoogle.
Ni Uwanja mdogo, lakini kwa mabilionea wanaoendelea kuongezeka Njombe, itafikia hatua itakuwa na Airport kubwa ya kuweza kupokea ndege kubwa ya mizigo, n.k.
The time will tell!
Nafikiri, katika kipindi cha miaka mitano ijayo, idadi ya ndege zitakazokuwa zinatua na kuruka kutoka Njombe Airport kwa wiki zitakuwa zimeongezeka mara kadhaa zaidi ya ilivyo sasa.Ipo mkuu ingawa hakuna ndege zinazotua Mara kwa Mara sanasana ni zile ndogo ndogo. I hope miaka ijayo kutabadilika uwe uwanja mkubwa.
hapana unatuaibisha watu wa njombe hatunaga mtu ambae hana brainKaribu mkuu nipo njombe mjini hapa....
Karibu na shule ya njoss