Ni vizuri kujisitiri vizuri unapokuwa kwenye mihangaiko

Tlaatlaah

JF-Expert Member
May 18, 2023
9,638
12,996
Kujisitiri vema ni jambo la muhimu sana kwa wanaume, lakini pia zaidi sana kwa wanawake, ikiwa ni kwenye mihangaiko au safarini. Kujiandaa na dharura walau na kanga kwenye mkoba ni jambo la maana sana unapokua kwenye ibada za maombezi, sokoni n.k..

Katika matukio mengi hivi karibuni imekuwa ni fedheha na aibu sana hasa kwa mavazi au nguo za ndani, kutokua katika hali nzuri inapotokea dharura, ukilinganisha na mavazi ya nje na mtu mwenyewe jinsi alivyo. Vazi linakuwa kuu kuu mno, au haliko katika hali ya usafi.

Mawigi pia yameficha fedheha na aibu kubwa sana.
Inafedhehesha, inatafakarisha na inasikitisha sana

Ni vizuri kuvaa mavazi mazuri kuanzia ndani mpaka inje ya miili yetu 🐒
 
Mkuu,
Jamaa anamaanisha tuwe nadhifu nje na ndani
Mfano uvae boksa Safi na mpya, unyoe kwapa na sehemu nyeti maana ukipata dharula ya kuugua gafla mahututi au ajari usipate FEDHEHA

Kwa uchache 😊
Boksa mpya za kila siku tutatowa wapi?
200 za kila siku kununua wembe tunatoa wapi.
Kwanza kuvaa boksa ni kumfanya bakari kichwa wazi asipumue na kuongezeka saizi.
Kutokunyoa sio tatizo kama utakua unayashuhulikia.
 
kujisitiri vema ni jambo la muhimu sana kwa wanaume, lakini pia zaidi sana kwa wanawake, ikiwa ni kwenye mihangaiko au safarini. Kujiandaa na dharura walau na kanga kwenye mkoba ni jambo la maana sana unapokua kwenye ibada za maombezi, sokoni n.k..

katika matukio mengi hivi karibuni imekua ni fedheha na aibu sana hasa kwa mavazi au nguo za ndani, kutokua katika hali nzuri inapotokea dharura, ukilinganisha na mavazi ya nje na mtu mwenyewe jinsi alivyo. vazi linakua kuu kuu mno, au haliko katika hali ya usafi.

Mawigi pia yameficha fedheha na aibu kubwa sana..
Inafedhehesha, inatafakarisha na inasikitisha sana

ni vizuri kuvaa mavazi mazuri kuanzia ndani mpaka inje ya miili yetu 🐒

View: https://vm.tiktok.com/ZMMHQ45NH/
 
Aisee!

Mimi huwa nazingatia sana hili maana kuna dharula njiani, basi huwa nawaza itakuwaje nikidondoka halafu nikakutwa na vitu vya aibu ndani🤭😅
 
Semina iko vizuri. Izingatiwe.
Hii kazi ikifqnywa na wazazi utotoni huwa ukubwani inakuwa ni kitu rahisi.

Wengine sio kama wanapenda unakuta maisha yanawapeleka kasi kiasi kwamba chupi bora sio kipaumbele kuliko pesa ambayo hajui ataipataje ili watoto angalau wapate ugali dagaa mchele za buku.
 
Mkuu,
Jamaa anamaanisha tuwe nadhifu nje na ndani
Mfano uvae boksa Safi na mpya, unyoe kwapa na sehemu nyeti maana ukipata dharula ya kuugua gafla mahututi au ajari usipate FEDHEHA

Kwa uchache 😊
👊🔥💪👏 dah!!
kumbe nilitakiwa kuandika kiufupi namna hiyo aise.....

Shukran sana mkuu kusamarize kwa kiufupi sana...
 
Aisee!

Mimi huwa nazingatia sana hili maana kuna dharula njiani, basi huwa nawaza itakuwaje nikidondoka halafu nikakutwa na vitu vya aibu ndani🤭😅
ni Muhimu sana,

mfano mdogo tu,
nilikua na unt yangu sokoni tunafanya shopping, tukiwa tumesimama ghafla akadondoka na ni mtu wa kuvaa vinguo vifupi achilia mbali fedheha aloipata yeye binafsi niliona aibu nilichokioni....

nilicho kishuhudia baada ya kujimwaga chini na bahati mbaya mambo yakawa hadharini🤭,

aise!!!!
achilia mbali kuchanika kwa uchakavu kwa vazi la ndani but also completely hakua clean na vazi lilikua clean less 🐒
 
Boksa mpya za kila siku tutatowa wapi?
200 za kila siku kununua wembe tunatoa wapi.
Kwanza kuvaa boksa ni kumfanya bakari kichwa wazi asipumue na kuongezeka saizi.
Kutokunyoa sio tatizo kama utakua unayashuhulikia.
walau uwe msafi just, kama ambavyo Infinix yako ikipata ukungu kidogo tu unaifuta, na kuweka glass au cover mpya, coz you are smart regardless kwenye gallery kuna uchafu kiasi gani but angalau umeusitiri 🐒
 
Kweli wewe mshamba usichoelewa hapo ni nini?

Vaa soksi nzuri , sio unaenda kwa watu wamesema mvue viatu unaanza kulia lia au unavua viatu na soksi kwa pamoja
fedheha ya kuharibu hali ya hewa kwa watu ni mbaya zaidi dh🐒
 
ni Muhimu sana,

mfano mdogo tu,
nilikua na unt yangu sokoni tunafanya shopping, tukiwa tumesimama ghafla akadondoka na ni mtu wa kuvaa vinguo vifupi achilia mbali fedheha aloipata yeye binafsi niliona aibu nilichokioni....

nilicho kishuhudia baada ya kujimwaga chini na bahati mbaya mambo yakawa hadharini🤭,

aise!!!!
achilia mbali kuchanika kwa uchakavu kwa vazi la ndani but also completely hakua clean na vazi lilikua clean less 🐒
Aaah!
 
Mchupi umechakaa na kutoboka kabisa.... Nunueni nguo za ndani nyingi, wala sio ujanja kuwa na boksa moja acheni kudanganyana
sure,
kuna vitu inaweza kua gharama lakini vina faida ya kipekee sana katika utu na haiba yako inapotokea dharura 🐒
 
Back
Top Bottom