Ni rahisi kuwaambia waafrika kuwa kuna nchi pale mashariki ya kati imebarikiwa na wakakubali ila huwezi waambia wachina hivyo wakakuelewa

Mto Songwe

JF-Expert Member
Jul 17, 2023
6,371
13,126
Ni jambo rahisi sana kuwaambia na kuwaaminisha waafrika kuwa kuna nchi pale mashariki ya kati imebarikiwa na jamaa anaye itwa Mungu wakakuelewa na kukubaliana nawe na wakaipenda na kuijali kuliko nchi zao.

Ila ni jambo gumu kupita maelezo kuwa ambia na kuwaaminisha wachina upuuzi huu kuwa kuna nchi pale mashariki ya kati imebarikiwa tofauti na China yao yenye utajiri wa historia ya maelfu ya miaka yenye nguvu na wakakuelewa.

Wanaweza chukua hatua kali juu ya kauli hiyo ya kuonesha nchi yao haina maana mbele ya nchi ile ya mashariki ya kati.

Waafrika kwa kiasi kikubwa sana tumeathirika na ukoloni naweza sema kupita jamii zote zile zilizokuwa chini ya ukoloni.

Waafrika tuna sikitisha na kuhuzunisha sana
 
Ni jambo rahisi sana kuwaambia na kuwaaminisha waafrika kuwa kuna nchi pale mashariki ya kati imebarikiwa na jamaa anaye itwa Mungu wakakuelewa na kukubaliana nawe na wakaipenda na kuijali kuliko nchi zao.

Ila ni jambo gumu kupita maelezo kuwa ambia na kuwaaminisha wachina upuuzi huu kuwa kuna nchi pale mashariki ya kati imebarikiwa tofauti na China yao yenye utajiri wa historia ya maelfu ya miaka yenye nguvu na wakakuelewa.

Wanaweza chukua hatua kali juu ya kauli hiyo ya kuonesha nchi yao haina maana mbele ya nchi ile ya mashariki ya kati.

Waafrika kwa kiasi kikubwa sana tumeathirika na ukoloni naweza sema kupita jamii zote zile zilizokuwa chini ya ukoloni.

Waafrika tuna sikitisha na kuhuzunisha sana
Tuna adui ujinga bado
 
Uchinani kule na mipaka yote ile ni lost land ndo maana kwa ulafi wao wakamlaaa mpkaaa Mungu wao now dayz hawana Mungu wa kumubudu..........NoLfeuchinan........
 
Ni jambo rahisi sana kuwaambia na kuwaaminisha waafrika kuwa kuna nchi pale mashariki ya kati imebarikiwa na jamaa anaye itwa Mungu wakakuelewa na kukubaliana nawe na wakaipenda na kuijali kuliko nchi zao.

Ila ni jambo gumu kupita maelezo kuwa ambia na kuwaaminisha wachina upuuzi huu kuwa kuna nchi pale mashariki ya kati imebarikiwa tofauti na China yao yenye utajiri wa historia ya maelfu ya miaka yenye nguvu na wakakuelewa.

Wanaweza chukua hatua kali juu ya kauli hiyo ya kuonesha nchi yao haina maana mbele ya nchi ile ya mashariki ya kati.

Waafrika kwa kiasi kikubwa sana tumeathirika na ukoloni naweza sema kupita jamii zote zile zilizokuwa chini ya ukoloni.

Waafrika tuna sikitisha na kuhuzunisha sana
Hivi wewe unajielewa kweli ? Mchina atakubaliana vipi na hilo wakati yeye anaabudu Dragon. Hii ni sawasawa ni Kumkosesha Mudi mabikira 72
 
Uchinani kule na mipaka yote ile ni lost land ndo maana kwa ulafi wao wakamlaaa mpkaaa Mungu wao now dayz hawana Mungu wa kumubudu..........NoLfeuchinan........
Mungu hayupo.

Mungu ni fiction character invented by religion.
 
Ni jambo rahisi sana kuwaambia na kuwaaminisha waafrika kuwa kuna nchi pale mashariki ya kati imebarikiwa na jamaa anaye itwa Mungu wakakuelewa na kukubaliana nawe na wakaipenda na kuijali kuliko nchi zao.

Ila ni jambo gumu kupita maelezo kuwa ambia na kuwaaminisha wachina upuuzi huu kuwa kuna nchi pale mashariki ya kati imebarikiwa tofauti na China yao yenye utajiri wa historia ya maelfu ya miaka yenye nguvu na wakakuelewa.

Wanaweza chukua hatua kali juu ya kauli hiyo ya kuonesha nchi yao haina maana mbele ya nchi ile ya mashariki ya kati.

Waafrika kwa kiasi kikubwa sana tumeathirika na ukoloni naweza sema kupita jamii zote zile zilizokuwa chini ya ukoloni.

Waafrika tuna sikitisha na kuhuzunisha sana
Watu weusi wengi wana mtindio wa ubongo na ugonjwa wa Apedomia ,ule aliokuwa anauongelea Mtikila
 
Ni jambo rahisi sana kuwaambia na kuwaaminisha waafrika kuwa kuna nchi pale mashariki ya kati imebarikiwa na jamaa anaye itwa Mungu wakakuelewa na kukubaliana nawe na wakaipenda na kuijali kuliko nchi zao.

Ila ni jambo gumu kupita maelezo kuwa ambia na kuwaaminisha wachina upuuzi huu kuwa kuna nchi pale mashariki ya kati imebarikiwa tofauti na China yao yenye utajiri wa historia ya maelfu ya miaka yenye nguvu na wakakuelewa.

Wanaweza chukua hatua kali juu ya kauli hiyo ya kuonesha nchi yao haina maana mbele ya nchi ile ya mashariki ya kati.

Waafrika kwa kiasi kikubwa sana tumeathirika na ukoloni naweza sema kupita jamii zote zile zilizokuwa chini ya ukoloni.

Waafrika tuna sikitisha na kuhuzunisha sana
Kwanini unatufananisha na Wachina? Wachina wana historia yao na Waafrika wana ya kwao. Acha kuyakweza mataifa mengine, jipende kidogo.
 
Back
Top Bottom