Ni ngumu sana kwa mtu smart kufanya haya...

Komeo Lachuma

JF-Expert Member
Oct 31, 2014
5,689
12,038
1. Kuangalia zile movies zinazoelezewa kwa kiswahili. Ukikuta mtu mwenye Elimu anafanya hivi jua ndo vile vyeti ....vileeeee. ..

2. Kuangalia tamthiliya za azam zinazungumzwa kiswahili wakati zilikuwa na lugha yake ya asili

3. Kuangalia vichekesho vya kipuuzi vya akina majuto,mkonjani n.k hawa nliwahi mwambia dereva kwenye bus ni bora anishushe kuliko kuweka upuuzi wa watu hawa

4. Kuangalia tamthiliya za kinaijeria, ghana, wale waasia wengine n.k

Ongeze na wewe
 
5.ni ngumu sana mtu smart kuponda yale wanayoyapenda wenzake na kuona upuuzi.

6.mtu smart hajisemi bali husemewa na watu.

7.mtu smart ni ngumu sana kwake kutokuwa na subira kiasi kwamba akiona kitu asichpenda kwenye basi angairishe safari kisa kitu hiko.

Mfano mtu smart hawezi kusitisha safari kwa sababu tu kwenye basi amewekwa binadamu mwenzie anaongea na kuigiza,huyo siyo smart ni mtu gubu.

8.mtu smart ni ngumu sana kudharau jitihada za wengine wanazofanya kujipatia mkate wa siku.
 
5.ni ngumu sana mtu smart kuponda yale wanayoyapenda wenzake na kuona upuuzi.

6.mtu smart hajisemi bali husemewa na watu.

7.mtu smart ni ngumu sana kwake kutokuwa na subira kiasi kwamba akiona kitu asichpenda kwenye basi angairishe safari kisa kitu hiko.

Mfano mtu smart hawezi kusitisha safari kwa sababu tu kwenye basi amewekwa binadamu mwenzie anaongea na kuigiza,huyo siyo smart ni mtu gubu.

8.mtu smart ni ngumu sana kudharau jitihada za wengine wanazofanya kujipatia mkate wa siku.
umemaliza ndg yangu
 
5.ni ngumu sana mtu smart kuponda yale wanayoyapenda wenzake na kuona upuuzi.

6.mtu smart hajisemi bali husemewa na watu.

7.mtu smart ni ngumu sana kwake kutokuwa na subira kiasi kwamba akiona kitu asichpenda kwenye basi angairishe safari kisa kitu hiko.

Mfano mtu smart hawezi kusitisha safari kwa sababu tu kwenye basi amewekwa binadamu mwenzie anaongea na kuigiza,huyo siyo smart ni mtu gubu.

8.mtu smart ni ngumu sana kudharau jitihada za wengine wanazofanya kujipatia mkate wa siku.
Ukute jamaa ikifika saa 5 anaangalia hivi vipindi vya Azam Tv
 
Back
Top Bottom