africatuni
Member
- Nov 13, 2023
- 60
- 111
Habari zenu wana jamvi. Hope this thread finds you well.
Bila kupoteza muda, naomba niruke kwenye mada moja kwa moja.. ninaomba uzoefu katika nyanja tofauti tofauti za uendeshaji wa kiwanda cha peanut butter,
Kama vile upatikanaji wa Mashine bora na bei zake. Changamoto?? Masoko?? n.k
Nipo dodoma, bila shaka mnafahamu kua karanga ni zao kuu huku kwetu... Kwa hivyo mpango nilionao ni kulima karanga na kuziuza kwa final consumer kama peanut butter.
Nakaribisha maoni, ushauri, uzoefu.. feel free to crush me down!!
Bila kupoteza muda, naomba niruke kwenye mada moja kwa moja.. ninaomba uzoefu katika nyanja tofauti tofauti za uendeshaji wa kiwanda cha peanut butter,
Kama vile upatikanaji wa Mashine bora na bei zake. Changamoto?? Masoko?? n.k
Nipo dodoma, bila shaka mnafahamu kua karanga ni zao kuu huku kwetu... Kwa hivyo mpango nilionao ni kulima karanga na kuziuza kwa final consumer kama peanut butter.
Nakaribisha maoni, ushauri, uzoefu.. feel free to crush me down!!