BARDIZBAH
JF-Expert Member
- Jan 11, 2017
- 4,814
- 8,594
Habari,
Kwasasa nipo mkoa X nafanya kazi pahala kwenye kampuni fulani. NAfikiria mwez wa 12 nitoe kama 500k ninunue mbuzi kama 5 huko Tabora kwa bibi yangu.
Namna ninayowaza ya kuwafuga ni kutafuta kijana wa hapo kijijini niwe namlipa 30k mwisho wa mwezi awe anawazingatia kwenye swala la machungo. Vipi hii imekaaje wazoefu?
Karibuni wanajamvi kwa ushauri na Changamoto za hapa na pale.
Natanguliza shukrani.
Kwasasa nipo mkoa X nafanya kazi pahala kwenye kampuni fulani. NAfikiria mwez wa 12 nitoe kama 500k ninunue mbuzi kama 5 huko Tabora kwa bibi yangu.
Namna ninayowaza ya kuwafuga ni kutafuta kijana wa hapo kijijini niwe namlipa 30k mwisho wa mwezi awe anawazingatia kwenye swala la machungo. Vipi hii imekaaje wazoefu?
Karibuni wanajamvi kwa ushauri na Changamoto za hapa na pale.
Natanguliza shukrani.