Natafuta mke/Mkristo

Ref;-Natafuta mke mkristo,

Ila akiwa msabato na awe anaishi dar es salaam itakuwa poa zaidi.

Awe mwalimu au nurse au kazi yoyote ya serikali,asiwe muhaya au mjita.

Awe na miaka 22-33 asiwe na mtoto,na asiwe aliolewa/asiwe kibonge sana akiwa mwembamba itakuwa poa sana.

Me naitwa johnson/30yr's nina mtoto1/sijawahi kuoa/nina diploma ya geomatics/nafanya kazi /msabato pure/urefu 5.7ft/chocolate color/sio mnene/sio mwembamba.

Kama upo serious nitafute johnsonMatinde@gmail.com
Kila laheri Johnson
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom