issac77
JF-Expert Member
- Apr 26, 2013
- 2,983
- 4,879
Mimi ni kijana wa makamo umri miaka 32, elimu yangu std 7, kazi mjasiriamali, natafuta mchumba ambae hatiaye awe mke wangu.
Umri 22~27, elimu itapendeza asivuke form 4, dini/kabila lolote, hata akiwa na mtoto ni sawa.
Mwenye yupo tayari karibu PM tuianze safari.
Umri 22~27, elimu itapendeza asivuke form 4, dini/kabila lolote, hata akiwa na mtoto ni sawa.
Mwenye yupo tayari karibu PM tuianze safari.