Upo sahihi kabisa, na mara nyingi kiburi cha mwanamke huwa kinafika wakati wa kukoma, na hapo ndipo anakumbuka yote alofanya kwa mtu aliyempenda na kumuamini, hii hata kwa wanaume pia inatokea.Ndivyo wanaume waaminifu wanayoyapitia, sometimes unawaza kuwa mpigaji tu na muhuni ila si kushauri uwe hivyo maana baya halilipizwi kwa baya bali kwa wema, wanawake wengi wanachukulia wanaume wapole na waaminifu kama mazoba ila sio haiko hivyo wengi ni wastaarabu na wamepata makuzi mazuri.
Ndio ameachwa sasa aende huko alipoendaMuache wenzio wanamsubiria
Wewe ndio uliomdanganya?!,,umeachiwa mazima sasa pambana kumhudumia usipende mteremko utapakatwaBado mbichi
Read between lines, ama huwa wapakatwa?Wewe ndio uliomdanganya?!,,umeachiwa mazima sasa pambana kumhudumia usipende mteremko utapakatwa
Majuto yanakua mengiUpo sahihi kabisa, na mara nyingi kiburi cha mwanamke huwa kinafika wakati wa kukoma, na hapo ndipo anakumbuka yote alofanya kwa mtu aliyempenda na kumuamini, hii hata kwa wanaume pia inatokea.
NakaziaUlishaamua kumuacha toka mwanzo, hizo tabia zake mbaya ulizozigundua karibuni wala hupaswi kumlalamikia. Wewe sepa kaendelea na maisha yako.
Mpaka sasa tayari nimeshahamisha vitu vyote ndani na leo leo mpangaji mwingine kapatikana..Hivyo akienda pale (maana funguo anayo atajaribu kufungua anione)atakutana na mpangaji mpya ndipo akili itaanza kurudiUmechelewa sana kufanya maamuzi. Ukishafanikiwa kuhama yunaomba mrejesho
Nimeamua kua mpigaji rasmiNdivyo wanaume waaminifu wanayoyapitia, sometimes unawaza kuwa mpigaji tu na muhuni ila si kushauri uwe hivyo maana baya halilipizwi kwa baya bali kwa wema, wanawake wengi wanachukulia wanaume wapole na waaminifu kama mazoba ila sio haiko hivyo wengi ni wastaarabu na wamepata makuzi mazuri.
Wakuu,wanawake ni viumbe wa hatari sana kuliko nyoka hivyo tuishi nao kwa akili.
NAOMBA KUWASILISHA 🙏.
Safi sana, usimuonee huruma mwanamke utakufa mapema.Mpaka sasa tayari nimeshahamisha vitu vyote ndani na leo leo mpangaji mwingine kapatikana..Hivyo akienda pale (maana funguo anayo atajaribu kufungua anione)atakutana na mpangaji mpya ndipo akili itaanza kurudi
Kama muvi vile dah Aaliyyah popcorn hazijaiva huko?Mpaka sasa tayari nimeshahamisha vitu vyote ndani na leo leo mpangaji mwingine kapatikana..Hivyo akienda pale (maana funguo anayo atajaribu kufungua anione)atakutana na mpangaji mpya ndipo akili itaanza kurudi