Mjadala wa DP World unaendelea sasa kati ya Msemaji wa Serikali na wadau huko Club House comment zote zinapinga mkataba huo

Nyendo

JF-Expert Member
Jun 4, 2017
1,212
4,158
Nasikiliza mjadala unaondelea unahusu DP World huko Club House kwa kweli comment zote zinakataa uwepo wa Muwekezaji huyo kutoka Dubai kupewa bandari yetu, sijui kwa nini Serikali bado imekomaza shingo na kutaka watu wakubaliane nao na huku hali inaonesha wamekataa kila sababu wanayopewa na wanaitaka Serikali kusitisha.

Jioneeni Comment hizo na mnaweza kwenda kusoma zaidi, katika hili Serikali ikae chini ijitafakari kwa kuwa zama za giza za kuwapeleka wananchi wanavyotaka zinazidi kuisha watu wanapata nuru.

1688237960031.png


1688238021099.png

1688238083392.png

1688238177759.png
1688238134720.png

1688238185475.png

1688238217368.png

1688238233518.png

1688238244807.png

1688238271285.png
 
Back
Top Bottom