Mikoa 10 bora ya kuishi Tanzania

greater than

JF-Expert Member
Sep 22, 2018
1,099
1,884
Ifuatayo ndiyo orodha ya mikoa 10 bora ambayo :
Ambapo binafsi nimeipangilia kwa kuangalia
  • Upatikanaji wa chakula
  • Urahisi wa Usafiri
  • Elimu
  • Hali ya Hewa
  • Huduma za maji
  • Mitandao ya simu
  • Usalama
  • Biashara
1. Dar es Salaam
Ndiyo mkoa ulioendelea Tanzania kuliko yote.
Kwenye
  • Biashara ina points 9
  • Mitandao ya simu ina points 9
  • Usafiri ina points 9
  • Elimu,points 9
  • Upatikanaji wa chakula points 8
  • Huduma ya maji,points 8
  • Usalama,points 7
  • Bei ya vyakula ,points 5
  • Hali ya hewa ,points 4
  • Usafi,points 4

2. Mwanza
Mkoa Tajiri katika Kanda ya Ziwa
Kwenye
  • Biashara ina points 8
  • Mitandao ya simu ina points 8
  • Usafiri ina points 8
  • Elimu,points 8
  • Upatikanaji wa chakula points 8
  • Huduma ya maji,points 7
  • Usalama,points 7
  • Bei ya vyakula ,points 7
  • Hali ya hewa ,points 6
  • Usafi,points 5


3. Mbeya
Mkoa ulioendelea zaidi katika Nyanda za juu kusini.
Kwenye...
  • Biashara ina points 7
  • Mitandao ya simu ina points 6
  • Usafiri ina points 6
  • Elimu,points 8
  • Upatikanaji wa chakula points 9
  • Huduma ya maji,points 6
  • Usalama,points 6
  • Bei ya vyakula ,points 9
  • Hali ya hewa ,points 9
  • Usafi,points 6

4. Iringa
Moja kati ya mikoa yenye mandhari nzuri hapa nchini.
  • Biashara ina points 6
  • Mitandao ya simu ina points 6
  • Usafiri ina points 5
  • Elimu,points 8
  • Upatikanaji wa chakula points 9
  • Huduma ya maji,points 6
  • Usalama,points 6
  • Bei ya vyakula ,points 8
  • Hali ya hewa ,points 8
  • Usafi ,points 9

5. Arusha
Mkoa ambao ndiyo kitovu cha utalii hapa nchini,japo hizo sehemu maarufu za utalii zote zipo nje ya mkoa wa Arusha🤔
Kwenye
  • Biashara ina points 6
  • Mitandao ya simu ina points 6
  • Usafiri ina points 6
  • Elimu,points 6
  • Upatikanaji wa chakula points 6
  • Huduma ya maji,points 5
  • Usalama,points 6
  • Bei ya vyakula ,points 4
  • Hali ya hewa ,points 6
  • Usafi,points 5
6. Ruvuma
Huu ni mkoa wenye Ziwa lenye Samaki wengi Afrika.
Kwenye
  • Biashara ina points 7
  • Mitandao ya simu ina points 6
  • Usafiri ina points 5
  • Elimu,points 7
  • Upatikanaji wa chakula points 9
  • Huduma ya maji,points 6
  • Usalama,points 7
  • Bei ya vyakula ,points 9
  • Hali ya hewa ,points 7
  • Usafi,points 5

7. Kilimanjaro
Mkoa wenye mlima mrefu Afrika...
Kwenye
  • Biashara ina points 6
  • Mitandao ya simu ina points 7
  • Usafiri ina points 7
  • Elimu,points 8
  • Upatikanaji wa chakula points 7
  • Huduma ya maji,points 8
  • Usalama,points 7
  • Bei ya vyakula ,points 6
  • Hali ya hewa ,points 8
  • Usafi,points 9

8. Njombe
Huu mkoa umezungukwa na safu nyingi ya Milima na ndiyo mkoa Baridi kali hapa nchini.
  • Biashara ina points 6
  • Mitandao ya simu ina points 5
  • Usafiri ina points 4
  • Elimu,points 6
  • Upatikanaji wa chakula points 9
  • Huduma ya maji,points 6
  • Usalama,points 6
  • Bei ya vyakula ,points 9
  • Hali ya hewa ,points 8
  • Usafi,points 9

9. Dodoma
Makao makuu ya nchi....
Kwenye....
  • Biashara ina points 5
  • Mitandao ya simu ina points 6
  • Usafiri ina points 7
  • Elimu,points 8
  • Upatikanaji wa chakula points 6
  • Huduma ya maji,points 4
  • Usalama,points 6
  • Bei ya vyakula ,points 4
  • Hali ya hewa ,points 4
  • Usafi,points 5

10. Unguja
Mkoa Tajiri huko Visiwani.
Kwenye....
  • Biashara ina points 7
  • Mitandao ya simu ina points 8
  • Usafiri,points 7
  • Elimu,points 8
  • Upatikanaji wa chakula points 8
  • Huduma ya maji,points 7
  • Usalama,points 7
  • Bei ya vyakula ,points 6
  • Hali ya hewa ,points 4
  • Usafi,points 5
Kwa mtu wa bara atapata ugumu kwenye
  • Aina za vyakula
  • Udini
  • Uhitaji wa vitambulisho
  • Leseni ya udereva kutokukubaliwa
  • Kubaguliwa kwenye baadhi ya huduma.
Bonus: Morogoro

NOTES
Mikoa ambayo sijawahi fika ni Katavi,Mtwara,Geita,Rukwa,Mara,Pemba na Kigoma.
Mpangilio kulingana na niliyo yaona katika mikoa husika.
Unaweza weka orodha yako.
 
Ifuatayo ndiyo orodha ya mikoa 10 bora ambayo :
Ambapo binafsi nimeipangilia kwa kuangalia
  • Upatikanaji wa chakula
  • Urahisi wa Usafiri
  • Elimu
  • Hali ya Hewa
  • Huduma za maji
  • Mitandao ya simu
  • Usalama
  • Biashara
1. Dar es Salaam
Ndiyo mkoa ulioendelea Tanzania kuliko yote.
17% ya watanzania wapo katika mkoa huu...Biashara yako ikikubalika mkoani hapa ujue nchi nzima imekukubali.
Shida pekee ya Dar ni hali ya hewa yake kuwa joto kali.
Pesa yako itakufanya uishi maisha ya kifahari ama ukaishi sehemu duni.

2. Mwanza
Unaukaribia mkoa wa Dar kwa kila sifa tajwa hapo juu. Ukiwa hapa,unakuwa karibu Kenya na Uganda.
Wingi wa vyuo,uwepo wa maji na huduma za hospitali.

3. Mbeya
Mkoa wenye utajiri wa chakula ,hali ya hewa ya kuvutia na upatikanaji rahisi wa huduma za elimu na afya.
Mita inatiririsha maji kila kona.
Shida ya huu mkoa ni usalama finyu barabarani (una ajali za kutosha).
Pia usalama finyu majira ya usiku wa manane....una Viji matukio flani hivi ya kibabe.

4. Iringa
unafuu katika chakula,una shule za kutosha na vyuo.
Shughuli za Biashara za kilimo na Mbao.
Huduma za afya nzuri zipo mijini, na nyingine zinafutwa Mbeya au Dodoma.

5. Arusha
Mkoa wenye moja ya majiji makubwa hapa nchini.Una wingi wa Hospitali, Makazi,Shule na Vyuo.
Ila gharama ya chakula katika huu mkoa ni kubwa mno.
Na hata kwenye ujenzi ,gharama ni kubwa sana
Pia kuna shida ya upatikanaji wa huduma za maji. na kuna baadhi ya maeneo katika huu mkoa ni kame.

6. Ruvuma
Huu mkoa una wingi wa chakula na bei nzuri.Una biashara na nchi jirani.Maji na umeme siyo shida.
Ila bado hakuna barabara za kutosha,upungufu wa vyuo

7. Kilimanjaro
Upo juu kwenye kiwango cha elimu na ubora wa elimu. Una huduma nzuri za afya na maji.Mzuri kwa biashara za utalii.
Ila kuna ugumu wa kupata ardhi kwa baadhi ya Wilaya, Gharama ya vyakula.


8. Dodoma
Ukiondoa Wilaya ya Dodoma ambayo kuna uboreshaji wa miundombinu kwa halia ya juu,na ujenzi wa kutosha tena wenye kupangika.
Lakini nje na hapo kuna shida ya maji,ardhi kame.

9. Njombe
Unataka biashara ya mbao,Viazi,Parachichi au Viazi nenda kwenye huu mkoa. Bado una ardhi ya kutosha ,una hali ya hewa nzuri.
Bado kuna uchache wa shule na huduma za afya.
una kiwango kikubwa cha maambukizi ya Ukimwi.

10. Unguja
Kupo vizuri kwa biashara,kuna vyuo vya kutosha na huduma za afya.
Barabara na huduma za maji.
Ila
Kwa mtu wa bara atapata ugumu kwenye
  • Aina za vyakula
  • Udini
  • Uhitaji wa vitambulisho
  • Leseni ya udereva kutokukubaliwa
  • Kubaguliwa kwenye baadhi ya huduma.

NOTES
Mikoa ambayo sijawahi fika ni Katavi,Mtwara,Geita,Rukwa,Mara,Pemba na Kigoma.
Mpangilio kulingana na niliyo yaona katika mikoa husika.
Unaweza weka orodha yako.
Dar hapana unaweza sombwa na hidaya na Mafuriko mda wowote

Ruvuma ni kushoto mwisho wa Nchi hapana.

Kilimanjaro hakuna jipya huko ni eneo la makaburi.

Singida na Manyara ni Mikoa mingine iongeze kwenye List hapo.
 
Dar hapana unaweza sombwa na hidaya na Mafuriko mda wowote

Ruvuma ni kushoto mwisho wa Nchi hapana.

Kilimanjaro hakuna jipya huko ni eneo la makaburi.

Singida na Manyara ni Mikoa mingine iongeze kwenye List hapo.
Singida
  • Kielimu ipo nyuma:vyuo vichache, hata wenyeji kielimu pia muamko mdogo
  • Ardhi kane
  • Maji shida
  • Hali ya hewa mh....
  • Huduma za Afya bado
  • Shughuli za uchumi ndogo
Manyara
Babati ni Wilaya nzuri ina potential kwa miaka ijayo...na hali ya hewa safi sana...
Ila kanakwamba huduma ya ku-print A3 ya rangi ipo sehemu moja tu,jua bado maendeleo...
Wilaya ya Simajiro ni kame sana ...
 
Singida
  • Kielimu ipo nyuma:vyuo vichache, hata wenyeji kielimu pia muamko mdogo
  • Ardhi kane
  • Maji shida
  • Hali ya hewa mh....
  • Huduma za Afya bado
  • Shughuli za uchumi ndogo
Manyara
Babati ni Wilaya nzuri ina potential kwa miaka ijayo...na hali ya hewa safi sana...
Ila kanakwamba huduma ya ku-print A3 ya rangi ipo sehemu moja tu,jua bado maendeleo...
Wilaya ya Simajiro ni kame sana ...
Maisha mazuri hayana uhusiano na Elimu Bali mandhari na upatikanaji wa Huduma muhimu
 
Ifuatayo ndiyo orodha ya mikoa 10 bora ambayo :
Ambapo binafsi nimeipangilia kwa kuangalia
  • Upatikanaji wa chakula
  • Urahisi wa Usafiri
  • Elimu
  • Hali ya Hewa
  • Huduma za maji
  • Mitandao ya simu
  • Usalama
  • Biashara
1. Dar es Salaam
Ndiyo mkoa ulioendelea Tanzania kuliko yote.
17% ya watanzania wapo katika mkoa huu...Biashara yako ikikubalika mkoani hapa ujue nchi nzima imekukubali.
Shida pekee ya Dar ni hali ya hewa yake kuwa joto kali.
Pesa yako itakufanya uishi maisha ya kifahari ama ukaishi sehemu duni.

2. Mwanza
Unaukaribia mkoa wa Dar kwa kila sifa tajwa hapo juu. Ukiwa hapa,unakuwa karibu Kenya na Uganda.
Wingi wa vyuo,uwepo wa maji na huduma za hospitali.

3. Mbeya
Mkoa wenye utajiri wa chakula ,hali ya hewa ya kuvutia na upatikanaji rahisi wa huduma za elimu na afya.
Mita inatiririsha maji kila kona.
Shida ya huu mkoa ni usalama finyu barabarani (una ajali za kutosha).
Pia usalama finyu majira ya usiku wa manane....una Viji matukio flani hivi ya kibabe.

4. Iringa
unafuu katika chakula,una shule za kutosha na vyuo.
Shughuli za Biashara za kilimo na Mbao.
Huduma za afya nzuri zipo mijini, na nyingine zinafutwa Mbeya au Dodoma.

5. Arusha
Mkoa wenye moja ya majiji makubwa hapa nchini.Una wingi wa Hospitali, Makazi,Shule na Vyuo.
Ila gharama ya chakula katika huu mkoa ni kubwa mno.
Na hata kwenye ujenzi ,gharama ni kubwa sana
Pia kuna shida ya upatikanaji wa huduma za maji. na kuna baadhi ya maeneo katika huu mkoa ni kame.

6. Ruvuma
Huu mkoa una wingi wa chakula na bei nzuri.Una biashara na nchi jirani.Maji na umeme siyo shida.
Ila bado hakuna barabara za kutosha,upungufu wa vyuo

7. Kilimanjaro
Upo juu kwenye kiwango cha elimu na ubora wa elimu. Una huduma nzuri za afya na maji.Mzuri kwa biashara za utalii.
Ila kuna ugumu wa kupata ardhi kwa baadhi ya Wilaya, Gharama ya vyakula.


8. Dodoma
Ukiondoa Wilaya ya Dodoma ambayo kuna uboreshaji wa miundombinu kwa halia ya juu,na ujenzi wa kutosha tena wenye kupangika.
Lakini nje na hapo kuna shida ya maji,ardhi kame.

9. Njombe
Unataka biashara ya mbao,Viazi,Parachichi au Viazi nenda kwenye huu mkoa. Bado una ardhi ya kutosha ,una hali ya hewa nzuri.
Bado kuna uchache wa shule na huduma za afya.
una kiwango kikubwa cha maambukizi ya Ukimwi.

10. Unguja
Kupo vizuri kwa biashara,kuna vyuo vya kutosha na huduma za afya.
Barabara na huduma za maji.
Ila
Kwa mtu wa bara atapata ugumu kwenye
  • Aina za vyakula
  • Udini
  • Uhitaji wa vitambulisho
  • Leseni ya udereva kutokukubaliwa
  • Kubaguliwa kwenye baadhi ya huduma.

NOTES
Mikoa ambayo sijawahi fika ni Katavi,Mtwara,Geita,Rukwa,Mara,Pemba na Kigoma.
Mpangilio kulingana na niliyo yaona katika mikoa husika.
Unaweza weka orodha yako.
Unguja sio mkoa
 
Maisha mazuri hayana uhusiano na Elimu Bali mandhari na upatikanaji wa Huduma muhimu
Katika huduma muhimu,elimu ni mojawapo mkuu....
Kusipokuwa na elimu,,ni ngumu kuona umuhimu wa Hospitali,Kupumzisha ardhi kwenye kilimo,ndoa za utotoni kuwa nyingi,uchafu wa mazingira,,,na imani za shirki zinakuwa nyingi.

Ndiyo mabinti wa Singida wengi wamefanyiwa F.G.M ,wanafanya kazi Bar pale Babati,Kibaha na Arusha.
 
I love Arusha, Mwanza & Morogoro
Morogoro:
Vyakula kwa wingi,bei nzuri....Kilimo kinakubali sana.
Elimu ipo fresh
Usalama upo
Vivutio kibao vya utalii

  • Huduma ya za afya ni kimbembe,Hospitali ya Rufaa,usiku no vipimo.
  • Maji kutoka mara moja kwa wiki
  • Kuna mitaa kuna vumbi siyo la nchi hii,
  • Kuna mitaa Network ni shida
  • Sehemu za bata ni za kuzitafuta sana.
  • Miundombinu ya barabara kuna Wilaya ni shida
 
Back
Top Bottom