Mchezaji wa Manchester United anashikiliwa na polisi kwa kudaiwa kubaka na kumpiga girlfriend wake

babu M

JF-Expert Member
Mar 4, 2010
5,220
3,172
Mchezaji wa Manchester United Mason Greenwood ameshikiliwa leo na Polisi kwa kosa la kumbaka Girlfriend wake na kumpiga.
Msemaji wa Polisi jijini Manchester UK amesema kwamba walianza uchunguzi baada ya picha na video zilizokuwa zimesambaa kwenye mitandao zilizopostiwa na mwanamke zikiripoti physical violence.

Vilevile mapema leo, Clabu ya Manchester United walitoa statement ikisema Greenwood atarudi kwenye mazoezi na michezo ya ligi.

Greenwood ana miaka 20 alisaini mkataba mpya ambao utamweka klabuni hadi Juni 2025.

Greenwood ni zao la Academy ya klabu na amekuwa huko Manchester United tangu umri wa miaka saba.

Greenwood ambaye ni mfungaji mdogo zaidi wa United aliyewahi kufunga magoli kwenye mashindano ya Uropa.

1643564970480.jpeg

1101E256-0968-42B5-98F2-BF4961E7BC1C.jpeg

3AFAECF4-98C0-44F7-A9D0-ABF80A34129A.jpeg
 
Kwa haya yanayowakuta Wachezaji Weusi na Masupastaa wengine weusi akina Eboue, Robinho, Baloteli, RKelly nk nk yanafikirisha sana na kufanya tuonekane kama jamii ya hovyo.

Lakini wakati mwingine unaweza kuwaza labda kuna hujuma ndani yake Waswahili wana Msemo Mbunye haijawahi kumwacha mtu Salama. Inzi hufia kwenye Kidonda nk
 
Mchongo mwingine wa kuwinda fedha za mwenye asili ya Afrika.Kazi kweli.Wakiona wenye asili ya Afrika wameanza kupata mamilioni ndiyo wanataka waolewe nao.Mshituke!Sonovag∆nz!
 
Kwa haya yanayowakuta Wachezaji Weusi na Masupastaa wengine weusi akina Eboue, Robinho, Baloteli, RKelly nk nk yanafikirisha sana na kufanya tuonekane kama jamii ya hovyo. Lkn wakati mwingine unaweza kuwaza labda kuna hujuma ndani yake Waswahili wana Msemo Mbunye haijawahi kumwacha mtu Salama. Inzi hufia kwenye Kidonda nk

Umesahau na huyu pia juzi:
Chris Brown has been accused of drugging and raping a woman and is being sued for $20 million (£14.9m).
Chris Brown accused of drugging and raping woman on yacht [/QOUTE]
 
Mchongo mwingine wa kuwinda fedha za mwenye asili ya Afrika.Kazi kweli.Wakiona wenye asili ya Afrika wameanza kupata mamilioni ndiyo wanataka waolewe nao.Mshituke!Sonovag∆nz!
Baba yake na Girlfriend wa Greenwood amedai wali hack simu na kuiba hizo picha.

Inaoneka ni tukio la nyuma sana.

Kwa mtazamo wangu: Aidha baba mtu kauza picha au Girlfriend ameona Greenwood anamchezea halafu amwache. Akaamua yeye na baba yake kuvujisha picha. Kitakachofuatia Greenwood itabidi ampigie magoti na kumweshimu ili girlfriend akatae kutoa ushirikiano polisi na hii ata blackmail maisha yake yote!
 
Baba yake na Girlfriend wa Greenwood amedai wali hack simu yake na kuona hizo picha.

Inaoneka ni tukio la nyuma sana.

Kwa mtazamo wangu: Aidha baba mtu kauza picha au Girlfriend ameona Greenwood anamchezea halafu amwache. Akaamua yeye na baba yake kuvujisha picha. Kitakachofuatia Greenwood itabidi ampigie magoti na kumweshimu ili girlfriend akatae kutoa ushirikiano polisi na hii ata blackmail maisha yake yote!
Ndiyo yaleyale tu.African,unaenda kutafuta nini kwa hao Wazungu?Watam-blackmail Hadi achubuke ngozi ya mwili na roho!
 
Ms Robson’s father made a statement to The Mail, saying:

‘The first thing we knew about this was at 6am this morning. It is dreadful. I’m just coming to terms with it all.
‘As a father you don’t want to know things like that happening to your daughter. The police have been round and she has made a statement to them.

‘She has told us her phone has been hacked. We told her to take it down, which she has done but it’s out there now so it is too late.

‘She is devastated because she didn’t want it released. We have known him since the under 21s. He has been part of our family for two or three years.

‘Their relationship has not been good for the last few months. She is completely devastated by it all.
‘They were very much in love and have been together for a while. The police are dealing with it now.’
 
Kwa haya yanayowakuta Wachezaji Weusi na Masupastaa wengine weusi akina Eboue, Robinho, Baloteli, RKelly nk nk yanafikirisha sana na kufanya tuonekane kama jamii ya hovyo. Lkn wakati mwingine unaweza kuwaza labda kuna hujuma ndani yake Waswahili wana Msemo Mbunye haijawahi kumwacha mtu Salama. Inzi hufia kwenye Kidonda nk
Waache kupiga mademu wa kizungu
 
Ndiyo yaleyale tu.African,unaenda kutafuta nini kwa hao Wazungu?Watam-blackmail Hadi achubuke ngozi ya mwili na roho!
Inawezekana nimekosea baba wa girlfriend hausiki. But this speaks volumes:
"Their relationship has not been good for the last few months. She is completely devastated by it all.
[\QUOTE]
 
Kibongo bongo hayo mambo yasingefika mbali kama huko kwa wenzetu, rejea suala la Mrisho Ngasa kipindi hicho, tena demu alikua mwanafunzi
 
Kibongo bongo hayo mambo yasingefika mbali kama huko kwa wenzetu, rejea suala la Mrisho Ngasa kipindi hicho, tena demu alikua mwanafunzi
Wazee wa kibongo njaa sana hizi ndiyo kesi ambazo wanazozitumia kuingiza mpunga mrefu kupitia vikao vya kuyamaliza tofauti na huko kwa wenzetu. Mambo ni polisi na mahakamani tu .
 
Back
Top Bottom