Kwenye Ishu ya Uzanzibari na Utanganyika Lissu amekuwa upande wa haki siku zote

Missile of the Nation

JF-Expert Member
May 24, 2018
13,575
51,373
Kuna watu wanajaribu kuchukulia kauli za Lissu kukerwa na aina hii ya muungano kuwa eti anajaribi kuleta mgawanyiko wa Utanganyika na Uzanzibari.

Kiukweli kabisa kama ukifuatilia miongoni mwa watu waliojaribu kuwatetea Wazanzibari dhidi ya muungano huu ni Tundu Lissu. Lissu amekuwa consistent kwa muda mrefu kuwa muungano huu unawaumiza Wazanzibari sana, na kwamba Zanzibar imepoteza mengi kutokana na muundo huu wa muungano. Amefanya hivyo katika mijadala na hata katika mikutano ya hadhara. Nakumbuka amewahi kufanya mkutano mkubwa sana kule Zanzibar akieleza ni kwa namna gani muungano huu unavyowaumiza Wazanzibari.

Leo Lissu ameanza kuzungumza pia namna muungano unavyowaumiza Watanganyika, kuna watu wanatoka huko mbiombio kutaka kumnyamazisha!. Yaani Lissu akitetea wazanzibari hiyo inakuwa sawa, lakini akitetea Watanganyika hiyo inakuwa nongwa!. Kwa nini?

Ukimsikiliza Lissu kwa makini hana Tatizo na Uzanzibari wa Samia kama mtu ila ana tatizo na muundo wa muungano unaomfanya Mtu ale "kotekote" with impunity huku maslahi ya upande mmoja ( Wa Zanzibar yakilindwa kwa katiba yao) huku maslahi ya Tanganyika yakiwa hayana mtetezi (Kikatiba).

Leo inakuwaje Rais kutoka upande mmoja wa muungano anakuwa na mamlaka kwa mambo ya upande wa pili wa muungano ambayo siyo ya muungano?. Utalii siyo Jambo la muungano, iweje Mzanzibari awe na power ya kuwaamulia Watanganyika mambo yao ya utalii lakini mtanganyika hana power hizo kwa Zanzibar?

Leo tuna katiba ya Zanzibar, inayopingana hata na katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwenye mambo kedekede na hayo mambo yako wazi na yanajulikana na yako documented lakini watu wazima wamekaa kimya wanajifanya hawayaoni. Leo akitokea mtu kama Lissu akashikia bango mapungufu haya ili yaondolewe inabidi apongezwe siyo kubezwa!.

Katiba ya Zanzibar inasema Kutakuwa na "Mzanzibari" na imeorodhosha mzanzibari ni nani. Sasa Tujiulize Mzanzibari akishika madaraka ya Muungano kisha maslahi ya Zanzibar yakagongana na Maslahi ya Tanganyika katika mambo yasiyo ya Muungano yeye atatetea maslahi ya wapi?

Na katiba ya Zanzibar ikaenda mbele kusema kuwa Zanzibar ni nchi miongoni mwa nchi mbili ZINAZOUNDA jamhuri ya muungano wa Tanzania, Pigia msitari neno ZINAZOUNDA siyo ZILIZOUNDA, Sasa hiyo nchi nyingine inayounda muungano na Zanzibar iko wapi na kiongozi wake ni nani na watu wake ni akina nani?.

Hoja ya Lissu siyo Uzanzibari wa Samia. Hoja ya Lissu ni muundo mbovu wa Muungano. Uraisi wa Samia ni mfano tu kuonyesha muundo huo ulivyo na tatizo.

Ni mpaka tukae chini tusolve hili tatizo, la sivyo huko tuendako ni shida tu. Ndiyo maana leo Kuna Wazanzibari wanataka Watanganyika waende Zanzibar na Passport. Na mimi sioni shida Wazanzibar wakija Tanganyika kwa passport.
 
Safi sana
Kuna watu wanajaribu kuchukulia kauli za Lissu kukerwa na aina hii ya muungano kuwa eti anajaribi kuleta mgawanyiko wa Utanganyika na Uzanzibari.

Kiukweli kabisa kama ukifuatilia miongoni mwa watu waliojaribu kuwatetea Wazanzibari dhidi ya muungano huu ni Tundu Lissu. Lissu amekuwa consistent kwa muda mrefu kuwa muungano huu unawaumiza Wazanzibari sana, na kwamba Zanzibar imepoteza mengi kutokana na muundo huu wa muungano. Amefanya hivyo katika mijadala na hata katika mikutano ya hadhara. Nakumbuka amewahi kufanya mkutano mkubwa sana kule Zanzibar akieleza ni kwa namna gani muungano huu unavyowaumiza Wazanzibari.

Leo Lissu ameanza kuzungumza pia namna muungano unavyowaumiza Watanganyika, kuna watu wanatoka huko mbiombio kutaka kumnyamazisha!. Yaani Lissu alitetea wazanzibari hiyo inakuwa sawa, lakini akitetea Watanganyika hiyo inakuwa nongwa!. Kwa nini?

Ukimsikiliza Lissu kwa makini hana Tatizo na Uzanzibari wa Samia kama mtu ila ana tatizo na muundo wa muungano unaomfanya Mtu ale "kotekote" with impunity huku maslahi ya upande mmoja ( Wa Zanzibar yakilindwa kwa katiba yao) huku maslahi ya Tanganyika yakiwa hayana mtetezi (Kikatiba).

Leo inakuwaje Rais kutoka upande mmoja wa muungano anakuwa na mamlaka kwa mambo ya upande wa pili wa muungano ambayo siyo ya muungano?. Utalii siyo Jambo la muungano, iweje Mzanzibari awe na power ya kuwaamulia Watanganyika mambo yao ya utalii lakini mtanganyika hana power hizo kwa Zanzibar?

Leo tuna katiba ya Zanzibar, inayopingana hata na katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwenye mambo kedekede na hayo mambo yako wazi na yanajulikana na tako documented lakini watu wazima wamekaa kimya wanajifanya hawayaoni. Leo akitokea mtu kama Lissu akashikia bango mapungufu haya ili yaondolewe inabidi apongezwe siyo kubezwa!.

Katiba ya Zanzibar inasema Kutakuwa na "Mzanzibari" na imeorodhosha mzanzibari ni nani. Sasa Tujiulize Mzanzibari akishika madaraka ya Muungano kisha maslahi ya Zanzibar yakagongana na Maslahi ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania yeye atatetea maslahi ya wapi?

Na katiba ya Zanzibar ikaenda mbele kusema kuwa Zanzibar ni nchi miongoni mwa nchi mbili ZINAZOUNDA jamhuri ya muungano wa Tanzania, Pigia msitari neno ZINAZOUNDA siyo ZILIZOUNDA, Sada hiyo nchi nyingine inayounda muungano na Zanzibar iko wapi na kiongozi wake ni nani na watu wake ni akina nani?.

Hoja ya Lissu siyo Uzanzibari wa Samia. Hoja ya Lissu ni muundo mbovu wa Muungano. Uraisi wa Samia ni mfano tu kuonyesha muundo huo ulivyo na tatizo.

Ni mpaka tukae chini tusolve hili tatizo, la sivyo huko tuendako ni shida tu. Ndiyo maana leo Kuna Wazanzibari wanataka Watanganyika waende Zanzibar na Passport. Na mimi sioni shida Wazanzibar wakija Tanganyika kwa passport.
 
Kuna watu wanajaribu kuchukulia kauli za Lissu kukerwa na aina hii ya muungano kuwa eti anajaribi kuleta mgawanyiko wa Utanganyika na Uzanzibari.

Kiukweli kabisa kama ukifuatilia miongoni mwa watu waliojaribu kuwatetea Wazanzibari dhidi ya muungano huu ni Tundu Lissu. Lissu amekuwa consistent kwa muda mrefu kuwa muungano huu unawaumiza Wazanzibari sana, na kwamba Zanzibar imepoteza mengi kutokana na muundo huu wa muungano. Amefanya hivyo katika mijadala na hata katika mikutano ya hadhara. Nakumbuka amewahi kufanya mkutano mkubwa sana kule Zanzibar akieleza ni kwa namna gani muungano huu unavyowaumiza Wazanzibari.

Leo Lissu ameanza kuzungumza pia namna muungano unavyowaumiza Watanganyika, kuna watu wanatoka huko mbiombio kutaka kumnyamazisha!. Yaani Lissu akitetea wazanzibari hiyo inakuwa sawa, lakini akitetea Watanganyika hiyo inakuwa nongwa!. Kwa nini?

Ukimsikiliza Lissu kwa makini hana Tatizo na Uzanzibari wa Samia kama mtu ila ana tatizo na muundo wa muungano unaomfanya Mtu ale "kotekote" with impunity huku maslahi ya upande mmoja ( Wa Zanzibar yakilindwa kwa katiba yao) huku maslahi ya Tanganyika yakiwa hayana mtetezi (Kikatiba).

Leo inakuwaje Rais kutoka upande mmoja wa muungano anakuwa na mamlaka kwa mambo ya upande wa pili wa muungano ambayo siyo ya muungano?. Utalii siyo Jambo la muungano, iweje Mzanzibari awe na power ya kuwaamulia Watanganyika mambo yao ya utalii lakini mtanganyika hana power hizo kwa Zanzibar?

Leo tuna katiba ya Zanzibar, inayopingana hata na katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwenye mambo kedekede na hayo mambo yako wazi na yanajulikana na yako documented lakini watu wazima wamekaa kimya wanajifanya hawayaoni. Leo akitokea mtu kama Lissu akashikia bango mapungufu haya ili yaondolewe inabidi apongezwe siyo kubezwa!.

Katiba ya Zanzibar inasema Kutakuwa na "Mzanzibari" na imeorodhosha mzanzibari ni nani. Sasa Tujiulize Mzanzibari akishika madaraka ya Muungano kisha maslahi ya Zanzibar yakagongana na Maslahi ya Tanganyika katika mambo yasiyo ya Muungano yeye atatetea maslahi ya wapi?

Na katiba ya Zanzibar ikaenda mbele kusema kuwa Zanzibar ni nchi miongoni mwa nchi mbili ZINAZOUNDA jamhuri ya muungano wa Tanzania, Pigia msitari neno ZINAZOUNDA siyo ZILIZOUNDA, Sasa hiyo nchi nyingine inayounda muungano na Zanzibar iko wapi na kiongozi wake ni nani na watu wake ni akina nani?.

Hoja ya Lissu siyo Uzanzibari wa Samia. Hoja ya Lissu ni muundo mbovu wa Muungano. Uraisi wa Samia ni mfano tu kuonyesha muundo huo ulivyo na tatizo.

Ni mpaka tukae chini tusolve hili tatizo, la sivyo huko tuendako ni shida tu. Ndiyo maana leo Kuna Wazanzibari wanataka Watanganyika waende Zanzibar na Passport. Na mimi sioni shida Wazanzibar wakija Tanganyika kwa passport.
Wafia sisiemu hawatakuelewa daima!
 
Kuna watu wanajaribu kuchukulia kauli za Lissu kukerwa na aina hii ya muungano kuwa eti anajaribi kuleta mgawanyiko wa Utanganyika na Uzanzibari.

Kiukweli kabisa kama ukifuatilia miongoni mwa watu waliojaribu kuwatetea Wazanzibari dhidi ya muungano huu ni Tundu Lissu. Lissu amekuwa consistent kwa muda mrefu kuwa muungano huu unawaumiza Wazanzibari sana, na kwamba Zanzibar imepoteza mengi kutokana na muundo huu wa muungano. Amefanya hivyo katika mijadala na hata katika mikutano ya hadhara. Nakumbuka amewahi kufanya mkutano mkubwa sana kule Zanzibar akieleza ni kwa namna gani muungano huu unavyowaumiza Wazanzibari.

Leo Lissu ameanza kuzungumza pia namna muungano unavyowaumiza Watanganyika, kuna watu wanatoka huko mbiombio kutaka kumnyamazisha!. Yaani Lissu akitetea wazanzibari hiyo inakuwa sawa, lakini akitetea Watanganyika hiyo inakuwa nongwa!. Kwa nini?

Ukimsikiliza Lissu kwa makini hana Tatizo na Uzanzibari wa Samia kama mtu ila ana tatizo na muundo wa muungano unaomfanya Mtu ale "kotekote" with impunity huku maslahi ya upande mmoja ( Wa Zanzibar yakilindwa kwa katiba yao) huku maslahi ya Tanganyika yakiwa hayana mtetezi (Kikatiba).

Leo inakuwaje Rais kutoka upande mmoja wa muungano anakuwa na mamlaka kwa mambo ya upande wa pili wa muungano ambayo siyo ya muungano?. Utalii siyo Jambo la muungano, iweje Mzanzibari awe na power ya kuwaamulia Watanganyika mambo yao ya utalii lakini mtanganyika hana power hizo kwa Zanzibar?

Leo tuna katiba ya Zanzibar, inayopingana hata na katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwenye mambo kedekede na hayo mambo yako wazi na yanajulikana na yako documented lakini watu wazima wamekaa kimya wanajifanya hawayaoni. Leo akitokea mtu kama Lissu akashikia bango mapungufu haya ili yaondolewe inabidi apongezwe siyo kubezwa!.

Katiba ya Zanzibar inasema Kutakuwa na "Mzanzibari" na imeorodhosha mzanzibari ni nani. Sasa Tujiulize Mzanzibari akishika madaraka ya Muungano kisha maslahi ya Zanzibar yakagongana na Maslahi ya Tanganyika katika mambo yasiyo ya Muungano yeye atatetea maslahi ya wapi?

Na katiba ya Zanzibar ikaenda mbele kusema kuwa Zanzibar ni nchi miongoni mwa nchi mbili ZINAZOUNDA jamhuri ya muungano wa Tanzania, Pigia msitari neno ZINAZOUNDA siyo ZILIZOUNDA, Sasa hiyo nchi nyingine inayounda muungano na Zanzibar iko wapi na kiongozi wake ni nani na watu wake ni akina nani?.

Hoja ya Lissu siyo Uzanzibari wa Samia. Hoja ya Lissu ni muundo mbovu wa Muungano. Uraisi wa Samia ni mfano tu kuonyesha muundo huo ulivyo na tatizo.

Ni mpaka tukae chini tusolve hili tatizo, la sivyo huko tuendako ni shida tu. Ndiyo maana leo Kuna Wazanzibari wanataka Watanganyika waende Zanzibar na Passport. Na mimi sioni shida Wazanzibar wakija Tanganyika kwa passport.
Kabisa huu muungano wanaufaidi wazanzibari.
 
CHADEMA kama wana akili, hii ndio ticket yao ya kuwin mioyo ya watanganyika. nimeangalia twitter, aisee, watanganyika walikuwa na mengi moyoni.

GMfDbyWWEAApYhX.jpeg
 
Kuna watu wanajaribu kuchukulia kauli za Lissu kukerwa na aina hii ya muungano kuwa eti anajaribi kuleta mgawanyiko wa Utanganyika na Uzanzibari.

Kiukweli kabisa kama ukifuatilia miongoni mwa watu waliojaribu kuwatetea Wazanzibari dhidi ya muungano huu ni Tundu Lissu. Lissu amekuwa consistent kwa muda mrefu kuwa muungano huu unawaumiza Wazanzibari sana, na kwamba Zanzibar imepoteza mengi kutokana na muundo huu wa muungano. Amefanya hivyo katika mijadala na hata katika mikutano ya hadhara. Nakumbuka amewahi kufanya mkutano mkubwa sana kule Zanzibar akieleza ni kwa namna gani muungano huu unavyowaumiza Wazanzibari.

Leo Lissu ameanza kuzungumza pia namna muungano unavyowaumiza Watanganyika, kuna watu wanatoka huko mbiombio kutaka kumnyamazisha!. Yaani Lissu akitetea wazanzibari hiyo inakuwa sawa, lakini akitetea Watanganyika hiyo inakuwa nongwa!. Kwa nini?

Ukimsikiliza Lissu kwa makini hana Tatizo na Uzanzibari wa Samia kama mtu ila ana tatizo na muundo wa muungano unaomfanya Mtu ale "kotekote" with impunity huku maslahi ya upande mmoja ( Wa Zanzibar yakilindwa kwa katiba yao) huku maslahi ya Tanganyika yakiwa hayana mtetezi (Kikatiba).

Leo inakuwaje Rais kutoka upande mmoja wa muungano anakuwa na mamlaka kwa mambo ya upande wa pili wa muungano ambayo siyo ya muungano?. Utalii siyo Jambo la muungano, iweje Mzanzibari awe na power ya kuwaamulia Watanganyika mambo yao ya utalii lakini mtanganyika hana power hizo kwa Zanzibar?

Leo tuna katiba ya Zanzibar, inayopingana hata na katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwenye mambo kedekede na hayo mambo yako wazi na yanajulikana na yako documented lakini watu wazima wamekaa kimya wanajifanya hawayaoni. Leo akitokea mtu kama Lissu akashikia bango mapungufu haya ili yaondolewe inabidi apongezwe siyo kubezwa!.

Katiba ya Zanzibar inasema Kutakuwa na "Mzanzibari" na imeorodhosha mzanzibari ni nani. Sasa Tujiulize Mzanzibari akishika madaraka ya Muungano kisha maslahi ya Zanzibar yakagongana na Maslahi ya Tanganyika katika mambo yasiyo ya Muungano yeye atatetea maslahi ya wapi?

Na katiba ya Zanzibar ikaenda mbele kusema kuwa Zanzibar ni nchi miongoni mwa nchi mbili ZINAZOUNDA jamhuri ya muungano wa Tanzania, Pigia msitari neno ZINAZOUNDA siyo ZILIZOUNDA, Sasa hiyo nchi nyingine inayounda muungano na Zanzibar iko wapi na kiongozi wake ni nani na watu wake ni akina nani?.

Hoja ya Lissu siyo Uzanzibari wa Samia. Hoja ya Lissu ni muundo mbovu wa Muungano. Uraisi wa Samia ni mfano tu kuonyesha muundo huo ulivyo na tatizo.

Ni mpaka tukae chini tusolve hili tatizo, la sivyo huko tuendako ni shida tu. Ndiyo maana leo Kuna Wazanzibari wanataka Watanganyika waende Zanzibar na Passport. Na mimi sioni shida Wazanzibar wakija Tanganyika kwa passport.
Well said.
CCM wamezoea kuendesha mambo kienyeji sana. Kwa katiba hii anaweza tokea Mzanzibar mjeuri akaukwaa urais wa JMT akaiuza Dar yote na hakutakuwa na wa kumfanya kitu.

Tusiamini kuwa kila siku tutakuwa na rais wa JMT toka Zanzibar atakayekuwa na huruma na Tanganyika kama Samia au Mwinyi. Kwangu mimi Mwinyi na Samia (ambapo mmoja aliuza Loliondo na mwingine Bandari/Ngorongoro) nawaona wapole sana bado Samia anaweza kuuza hata Selous yote na hakuna kitu mtamfanya.

Turekebishe hii hali kabla mambo hayajawa mabaya zaidi
 
Well said. CCM wamezoea kuendesha mambo kienyeji sana. Kwankatiba hii anaweza tokea Mzanzibar mjeuri akaukwaa urais wa JMT akaiuza Dar yote na hakutakuwa na wa kumfanya kitu.

Tusiamini kuwa kila siku tutakuwa na rais wa JMT toka Zanzibar atakayekuwa na huruma na Tanganyika kama Samia au Mwinyi. Kwangu mimi Mwinyi na Samia (ambapo mmoja aliuza Loliondo na mwingine Bandari/Ngorongoro) nawaona wapole sana bado Samia anaweza kuuza hata Selous yote na hakuna kitu mtamfanya.

Turekebishe hii hali kabla mambo hayajawa mabaya zaidi
na chadema kama wana akili, hii ndio ticket ya kumuondoa kizmkazi kabisa mwakani. watanganyika wanapenda kusikia hicho alichosema Lisu, hamtaamini macho yenu.
 
na chadema kama wana akili, hii ndio ticket ya kumuondoa kizmkazi kabisa mwakani. watanganyika wanapenda kusikia hicho alichosema Lisu, hamtaamini macho yenu.
Hili suala siyo la CHADEMA na kumtoa Kizimkazi. Ni issue ya Watanganyika wote wanaopenda nchi yao.

Ni vyema Watanganyika wote tuungane bila kujali itikati zetu za siasa, dini na kabila tudai nchi yetu ya Tanganyika hadi ipatikane.
 
Kuna watu wanajaribu kuchukulia kauli za Lissu kukerwa na aina hii ya muungano kuwa eti anajaribi kuleta mgawanyiko wa Utanganyika na Uzanzibari.

Kiukweli kabisa kama ukifuatilia miongoni mwa watu waliojaribu kuwatetea Wazanzibari dhidi ya muungano huu ni Tundu Lissu. Lissu amekuwa consistent kwa muda mrefu kuwa muungano huu unawaumiza Wazanzibari sana, na kwamba Zanzibar imepoteza mengi kutokana na muundo huu wa muungano. Amefanya hivyo katika mijadala na hata katika mikutano ya hadhara. Nakumbuka amewahi kufanya mkutano mkubwa sana kule Zanzibar akieleza ni kwa namna gani muungano huu unavyowaumiza Wazanzibari.

Leo Lissu ameanza kuzungumza pia namna muungano unavyowaumiza Watanganyika, kuna watu wanatoka huko mbiombio kutaka kumnyamazisha!. Yaani Lissu akitetea wazanzibari hiyo inakuwa sawa, lakini akitetea Watanganyika hiyo inakuwa nongwa!. Kwa nini?

Ukimsikiliza Lissu kwa makini hana Tatizo na Uzanzibari wa Samia kama mtu ila ana tatizo na muundo wa muungano unaomfanya Mtu ale "kotekote" with impunity huku maslahi ya upande mmoja ( Wa Zanzibar yakilindwa kwa katiba yao) huku maslahi ya Tanganyika yakiwa hayana mtetezi (Kikatiba).

Leo inakuwaje Rais kutoka upande mmoja wa muungano anakuwa na mamlaka kwa mambo ya upande wa pili wa muungano ambayo siyo ya muungano?. Utalii siyo Jambo la muungano, iweje Mzanzibari awe na power ya kuwaamulia Watanganyika mambo yao ya utalii lakini mtanganyika hana power hizo kwa Zanzibar?

Leo tuna katiba ya Zanzibar, inayopingana hata na katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwenye mambo kedekede na hayo mambo yako wazi na yanajulikana na yako documented lakini watu wazima wamekaa kimya wanajifanya hawayaoni. Leo akitokea mtu kama Lissu akashikia bango mapungufu haya ili yaondolewe inabidi apongezwe siyo kubezwa!.

Katiba ya Zanzibar inasema Kutakuwa na "Mzanzibari" na imeorodhosha mzanzibari ni nani. Sasa Tujiulize Mzanzibari akishika madaraka ya Muungano kisha maslahi ya Zanzibar yakagongana na Maslahi ya Tanganyika katika mambo yasiyo ya Muungano yeye atatetea maslahi ya wapi?

Na katiba ya Zanzibar ikaenda mbele kusema kuwa Zanzibar ni nchi miongoni mwa nchi mbili ZINAZOUNDA jamhuri ya muungano wa Tanzania, Pigia msitari neno ZINAZOUNDA siyo ZILIZOUNDA, Sasa hiyo nchi nyingine inayounda muungano na Zanzibar iko wapi na kiongozi wake ni nani na watu wake ni akina nani?.

Hoja ya Lissu siyo Uzanzibari wa Samia. Hoja ya Lissu ni muundo mbovu wa Muungano. Uraisi wa Samia ni mfano tu kuonyesha muundo huo ulivyo na tatizo.

Ni mpaka tukae chini tusolve hili tatizo, la sivyo huko tuendako ni shida tu. Ndiyo maana leo Kuna Wazanzibari wanataka Watanganyika waende Zanzibar na Passport. Na mimi sioni shida Wazanzibar wakija Tanganyika kwa passport.
Kipindi cha Nyerere wakati Mwinyi anagombea nafasi ya JMT haikuwa shida sana kwa Samia hoja hii safari hii italeta shida sana hata ndani ya CCM,hili technically lilipaswa lifanyiwe kazi mapema kikatiba.
 
CCM wanafiki Sana Sana , makubwa tena haya

Sorry, an error has occurred Elli! Your post is too short. It must contain a minimum of 50 characters and above. your curent characters is 42
 
Kipindi cha Nyerere wakati Mwinyi anagombea nafasi ya JMT haikuwa shida sana kwa Samia hoja hii safari hii italeta shida sana hata ndani ya CCM,hili technically lilipaswa lifanyiwe kazi mapema kikatiba.
Mwinyi alikuwa mzanzibari wa mchongo, sio og, sasa samia ambaye ni mzanzibari og

Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom