Kwanini Mzanzibar Shaka Hamdu Shaka ni Mkuu wa Wilaya bara, na Zanzibar hakuna Mtanganyika anayeongoza?

Tulimaliza huu mjadala kwa kusema katika huu Muungano Zanzibar ndio yenye sauti na ndio inaitawala Tanganyika. Nyerere alizidiwa akili kwenye hilo.

Wanao neemeka na muungano huu ni wazanzibari pekee, Watanganyika kutwa kulia lia tu kwenye mitandao tu. Hakuna lolote mtafanya, nikipata madaraka ya uraisi angalau siku moja jambo ambalo nitafanya katika hiyo siku ni kuvunja huu Muungano uchwara.
 
Hizo ni ajira za muungano ila mtanganyika hawezi kupata ajira zanzibar, kule wameachiwa wao kwa kuwa ni padogo
 
Hapa jirani napoishi kuna mpemba anaporomosha mansion moja hatari sana, kule kwao siwezi kupata eneo hata la kujenga genge la nyanya
 
Tulimaliza huu mjadala kwa kusema katika huu Muungano Zanzibar ndio yenye sauti na ndio inaitawala Tanganyika. Nyerere alizidiwa akili kwenye hilo.

Wanao neemeka na muungano huu ni wazanzibari pekee, Watanganyika kutwa kulia lia tu kwenye mitandao tu. Hakuna lolote mtafanya, nikipata madaraka ya uraisi angalau siku moja jambo ambalo nitafanya katika hiyo siku ni kuvunja huu Muungano uchwara.
wakikujibu njoo niue nimekaa paleeee, juzi makamu wao wa rais anasema nirahisi kuwa mtanzania lakini sio kuwa mzanzibari, na yule bwabwa tena akazungumza bungeni kwamba nyie Tanganyika muingie kwao na pasport kabisa, aisee kuna mambo yanafikirisha sana nchi hiyo.
 
wakikujibu njoo niue nimekaa paleeee, juzi makamu wao wa rais anasema nirahisi kuwa mtanzania lakini sio kuwa mzanzibari, na yule bwabwa tena akazungumza bungeni kwamba nyie Tanganyika muingie kwao na pasport kabisa, aisee kuna mambo yanafikirisha sana nchi hiyo.
Hivi mbunge aliyesema kuingia na pasipoti ni wa Jimbo la visiwani?
 
Mnakubali vipi Mzanzibari kuongoza Bara, Tuanze na Shaka hamdu Shaka mkuu wa wilaya ni Mzanzibari mbona Zanzibar hakuna mtanganyika anayeongoza?

View attachment 2978848
Tanganyika ni kubwa sana, imelazimu kuwaomba Wazanzibari kuja kusaidia kuongoza baadhi ya wilaya. Maeneo ya utawala ni mengi kuliko idadi ya Watanganyika waliopo nchini.
 
Back
Top Bottom