Kihasibu: Hasara ya Milioni 400 usajili wa Aziz Ki kwenda Yanga

Umekuwa na kilanga cha kukurupuka kupost utumbo baadae unakuja kujificha kwa aibu, ulikuwa unamlinganisha kibu denis na mayele kuwa yanga wamepigwa na kibu ni zaidi ya mayele kilichofata uzi uliutelekeza saivi unauchungulia tu kama mtu aliyeshikwa ugoni, leo hii unarudia kile kile ulichomponda nacho mayele akiwa amecheza mechi 3 tu na akiwa mgeni wa ligi kuwa yanga imepigwa unakirudia kwa Aziz ki kuwa ni hasara, kwanza si mlikataa kuwa akusajiliwa kwa hizo pesa sasa inakuwaje leo unaandika mlichokikataa? Kwa kujua ya kuwa mashabiki wa makolo amko sawa vichwani na amjui chochote kuhusu mpira mnaanza kumhukumu mchezaji mpya kwenye ligi mpya na mazingira mapya tena akiwa amecheza mechi zisizopungua 4? Mashabiki wapuuzi kama nyie ndio wanaolifanya soka la Tanzania liendelee kudumaa kila siku maana limejaa watu wa ovyo ovyo wasiojitambua
Kukosea kwa comparison kati ya Kibu na Mayele haimaanishi ndo kakosea kusema kumsajili Aziz Ki kwa mihela mingi kuwa Uto wamepigwa.

Ki ni wa kawaida, anastruggle kuprove kuwa yupo vzr ila wapi.

Scout ya team zetu bado ipo poor sana. Mf hata Mnyama kuna wageni kadhaa nao wamezingua, naona hawana impact tarajali...

Anyway, usajili huwa ni kamali, kuna kupata na kukosa!

Let us enjoy football
 
Kukosea kwa comparison kati ya Kibu na Mayele haimaanishi ndo kakosea kusema kumsajili Aziz Ki kwa mihela mingi kuwa Uto wamepigwa.

Ki ni wa kawaida, anastruggle kuprove kuwa yupo vzr ila wapi.

Scout ya team zetu bado ipo poor sana. Mf hata Mnyama kuna wageni kadhaa nao wamezingua, naona hawana impact tarajali...

Anyway, usajili huwa ni kamali, kuna kupata na kukosa!

Let us enjoy football
Umeleeza vizuri japo ni kama umempigia mbuzi gitaa
 
Uzuri wa huu mchezo unafanyika hadharani kila mtu anaona nani kifaa nani garasa. Aziz Ki ni mbovu,hana dhanani ya milioni 400. Kifupi Yanga wameingia hasara ya milioni 400,yale ni manunuzi ya mchezaji yasiyo na tija.
Hii hasara inatakiwa kuonekana kwenye vitabu vya Yanga mwisho wa mwaka,kama ifuatavyo

Wakati wa usajili
Dr: Registration fee 400m
Cr: Bank 400m

Baada ya kugundua wamepigwa
Dr. Registration 400m
Cr: Provision of Loss 400m

Mwisho wa Mwaka hiyo loss inaonekana kwenye Profit & Loss Account
Miezi 6 inaweza kutoa picha vizuri ya uwezo wake. Usiwe na haraka tv zipo tutamuona
 
Baada ya kugundua wamepigwa
Dr. Registration 400m
Cr: Provision of Loss 400m

Mwisho wa Mwaka hiyo loss inaonekana kwenye Profit & Loss Account
Nikiassume kuwa clubs huwa zinafanya mahesabu yao ya tathmini za usajili kwa mtindo huu, kama ulikuwa una nia ya kuifunga account ya kwanza ya Registration Fees wakati wa transaction ya pili, hiyo account ya pili Registration mbona ni tofauti na ya kwanza? Registration Fees ACC na Registration ACC ni account mbili tofauti. Kama ulikuwa unamaanisha ile account ya kwanza, ulitakiwa uicredit account siyo tena uidebit kwa mara ya pili.

Utapata tabu sana katika Trial Balance yako 🤣😂🤣
 
Uongozi na wachezaji wa Simba ndio wanajua miguu ya AZZ K inathamani gani wewe shabiki maandazi hujui lolote.
CEO wako akibahatika kusoma unachokiandika ata kuona waajabu sana.Ata kiungo wa Simba mwenye Spidi ya konokono ame mvulia kofia K AZZ.
Kwa nini Simba ndio iwe reference ya ubora wa Aziz Ki?
 
Uzuri wa huu mchezo unafanyika hadharani kila mtu anaona nani kifaa nani garasa. Aziz Ki ni mbovu,hana dhanani ya milioni 400. Kifupi Yanga wameingia hasara ya milioni 400,yale ni manunuzi ya mchezaji yasiyo na tija.
Hii hasara inatakiwa kuonekana kwenye vitabu vya Yanga mwisho wa mwaka,kama ifuatavyo

Wakati wa usajili
Dr: Registration fee 400m
Cr: Bank 400m

Baada ya kugundua wamepigwa
Dr. Registration 400m
Cr: Provision of Loss 400m

Mwisho wa Mwaka hiyo loss inaonekana kwenye Profit & Loss Account
Wakati mnamtuma CEO Wenu amfatilie na kumpigia cm mlikuwa mnamuona bora
 
Uzuri wa huu mchezo unafanyika hadharani kila mtu anaona nani kifaa nani garasa. Aziz Ki ni mbovu,hana dhanani ya milioni 400. Kifupi Yanga wameingia hasara ya milioni 400,yale ni manunuzi ya mchezaji yasiyo na tija.
Hii hasara inatakiwa kuonekana kwenye vitabu vya Yanga mwisho wa mwaka,kama ifuatavyo

Wakati wa usajili
Dr: Registration fee 400m
Cr: Bank 400m

Baada ya kugundua wamepigwa
Dr. Registration 400m
Cr: Provision of Loss 400m

Mwisho wa Mwaka hiyo loss inaonekana kwenye Profit & Loss Account
Ila kuna watu mmesoma mpaka elimu inawaogopa.
 
Uzuri wa huu mchezo unafanyika hadharani kila mtu anaona nani kifaa nani garasa. Aziz Ki ni mbovu,hana dhanani ya milioni 400. Kifupi Yanga wameingia hasara ya milioni 400,yale ni manunuzi ya mchezaji yasiyo na tija.
Hii hasara inatakiwa kuonekana kwenye vitabu vya Yanga mwisho wa mwaka,kama ifuatavyo

Wakati wa usajili
Dr: Registration fee 400m
Cr: Bank 400m

Baada ya kugundua wamepigwa
Dr. Registration 400m
Cr: Provision of Loss 400m

Mwisho wa Mwaka hiyo loss inaonekana kwenye Profit & Loss Account
Najua we na timu yako ndio mliojenga kile kibanda cha mlinzi cha 11M.
 
Uzuri wa huu mchezo unafanyika hadharani kila mtu anaona nani kifaa nani garasa. Aziz Ki ni mbovu,hana dhanani ya milioni 400. Kifupi Yanga wameingia hasara ya milioni 400,yale ni manunuzi ya mchezaji yasiyo na tija.
Hii hasara inatakiwa kuonekana kwenye vitabu vya Yanga mwisho wa mwaka,kama ifuatavyo

Wakati wa usajili
Dr: Registration fee 400m
Cr: Bank 400m

Baada ya kugundua wamepigwa
Dr. Registration 400m
Cr: Provision of Loss 400m

Mwisho wa Mwaka hiyo loss inaonekana kwenye Profit & Loss Account
Lakini ni wewe ulikuwa unatusimulia mlivyopata kwa kumchukua na leo unamponda. Ndo maana huwa nakuambia huna akili wewe!!!!
 
Uzuri wa huu mchezo unafanyika hadharani kila mtu anaona nani kifaa nani garasa. Aziz Ki ni mbovu,hana dhanani ya milioni 400. Kifupi Yanga wameingia hasara ya milioni 400,yale ni manunuzi ya mchezaji yasiyo na tija.
Hii hasara inatakiwa kuonekana kwenye vitabu vya Yanga mwisho wa mwaka,kama ifuatavyo

Wakati wa usajili
Dr: Registration fee 400m
Cr: Bank 400m

Baada ya kugundua wamepigwa
Dr. Registration 400m
Cr: Provision of Loss 400m

Mwisho wa Mwaka hiyo loss inaonekana kwenye Profit & Loss Account
Wewe ni mjinga sisi tupo pamoja na aziz ki
 
Umekuwa na kilanga cha kukurupuka kupost utumbo baadae unakuja kujificha kwa aibu, ulikuwa unamlinganisha kibu denis na mayele kuwa yanga wamepigwa na kibu ni zaidi ya mayele kilichofata uzi uliutelekeza saivi unauchungulia tu kama mtu aliyeshikwa ugoni, leo hii unarudia kile kile ulichomponda nacho mayele akiwa amecheza mechi 3 tu na akiwa mgeni wa ligi kuwa yanga imepigwa unakirudia kwa Aziz ki kuwa ni hasara, kwanza si mlikataa kuwa akusajiliwa kwa hizo pesa sasa inakuwaje leo unaandika mlichokikataa? Kwa kujua ya kuwa mashabiki wa makolo amko sawa vichwani na amjui chochote kuhusu mpira mnaanza kumhukumu mchezaji mpya kwenye ligi mpya na mazingira mapya tena akiwa amecheza mechi zisizopungua 4? Mashabiki wapuuzi kama nyie ndio wanaolifanya soka la Tanzania liendelee kudumaa kila siku maana limejaa watu wa ovyo ovyo wasiojitambua
Mzungu mlimuhukumu kwa mechi ngapi? Sio moja tu ya Ngao ya Jamii?
Hata hivyo utopolo mna kinyesi kwa mujibu wa Karia.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom