KERO ZA USAFIRI: Umekumbana na kero gani kwenye harakati za usafiri?

mimi huwa namkakati wangu nikiamua kupanda usafiri wa umma huwa napambana nikae siti ya mbele opposite na driver. Kisha nafungua apps zangu naanza kusoma.
Yanayoendelea huko nyuma sijali.
Kweli watu tunatofautiana.
Mimi kukaa mbele siwezi kabisa sipendi na pia hua naogopa naona kama kifo hiki hapa. Hapo sijui huko mbeleni nikibarikiwa usafiri binafsi itakuwaje.
Hata nikute mbele kwa dereva hakuna mtu sikai hata konda anifungulie huwa sikai.
 
Kweli watu tunatofautiana.
Mimi kukaa mbele siwezi kabisa sipendi na pia hua naogopa naona kama kifo hiki hapa. Hapo sijui huko mbeleni nikibarikiwa usafiri binafsi itakuwaje.
Hata nikute mbele kwa dereva hakuna mtu sikai hata konda anifungulie huwa sikai.
Basi ile huwa ni my best siti.
Hasa mikoani kwenye safari ile Panorama view nzuri sana.
 
Kero kwenye daladala ni nyingi lakini sio muhimu kwa wahusika kuzirekebisha kutokana na nature ya kazi yenyewe.

Lakini kero hizo hizo na ziada, yaani za kupiga miziki kwa kelele na hata kucheza video za nusu uchi, zinapatikana kwenye manasi makubwa ya mikoani, jamani! Serikali, kama ina watu wa kufuatilia maadili, itakuwa imeshaona.

Sisi tunakerwa sana lakini hatujui cha kufanya na hela zetu tunalipa na kukerwa wanatukera!
 
Kero zipo nyingi sana aisee,Ila mimi iliyoniudhi zaidi kuliko zote,ni ile siku niliyokuwa natoka picha ya ndege kwenda maili moja(kibaha), kwenye siti niliyokuwa nimekaa pemben yangu kulikuwa na mdada pisi kali kinoma kifuani bado saa 6 akiwa na mtoto mdogo,basi mdada akawa anamnyonyesha mtoto wake,dogo ananyonya kidogo anaacha,basi mdada akamwambia yule dogo(nimesahau jina lake kidogo)"nyonya,kama hutaki nampa anko anyonye", dogo aliposikia hivyo akanyonya tena kidogo akaacha,mdada akamwambia tena vile vile dogo akanyonya tena kidogo akaacha, utaratibu ukawa ni ule ule huku safari ikiendelea. Lahaula,kuja kushtuka,tumeshafika mbezi mwisho halaf bahati mbaya nilichotarajia kukipata sikukipata. Dah, ilikuwa siku mbaya sana kwangu,nimepitiliza kituo na nimekosa kumnyonya mtoto mzuri.
 
Masikini tunagawana umasikini wetu maana anayelanguliwa tiketi ya basi unakuta naye ni mhudumu katika sekta zingine ambaye keshawalangua wateja wake huko!

Tuizoee hii hali kutokana na taifa kuwa masikini raia nasisi lazima tuwe masikini pia! Wakubwa wanakwapua vikubwa na wadogo wanakwapuliana vidogo pia.
 
Mm hua nachukia kukaa siti moja na mama juniors. Unakuta nmenunua zangu kiepe na nyama najilia Mara junior ananipokonya nyama na mbaya zaidi mama junior Hana habari na kitendo hiyo. Na akijitahidi sana atasema junior utammalizia anko nyama
 
tafuta hela mkuu ununue ya kwako kero haziwezi kumalizika kamwe ndo maana ikaitwa public transport
Public Transport sio lazima iwe na kero, ukifika mataifa yaliyostaarabika zaidi ndio utaelewa vizuri.
 
Hakika Mimi nilikutanaga nayo ferry kigamboni magari ya kwenda cheka popote pale unaposhukia nauli ni buku mjimwema buku, kibugumo buku, gezaulole buku 🤣🤣🤣mpaka mwisho wa gari buku huwezi amini nilipanda utafayaje Sasa ila nilikasirika sio Siri😀😀😀😀
 
Wakuu,

Usafiri wa umma una vimbwanga yake, unaweza kukutana na jambo mpaka ukatamani ungekuwa na gari lako ili usikutane na masaibu hayo!

Mabasi machafu, wazee wa kubadili ruti na kusema magari hayaendi hasa kukiwa na watu wengi kituoni ni baadhi ya kero nilizokutana nazo kwenye usafiri huu wa jumuiya.

Vipi kwako, ipi/zipi ni kero zako kwenye matumizi ya usafiri wa umma? Wazee wa kupiga mwewe tunasubiri kero zenu pia😃

====

Wewe abiria unajua haki zako? Kwa uelewa zaidi soma hapa;

HAKI ZA ABIRIA NA WAJIBU WA WATOA HUDUMA YA USAFIRI KWA MUJIBU WA KANUNI ZA SUMATRA ZA USAFIRISHAJI ABIRIA ZA MWAKA 2017

Utangulizi

Mwaka 2017 Waziri wa Uchukuzi alifanyia marekebisho kanuni za usafirishaji wa abiria kwa njia usafiri wa mabasi na kanuni hizo kuchapishwa katika gazeti la Serikali nambari 421 la tarehe 06.10.2017. Leo tutaona je kwa mujibu wa kanuni hizo zipi ni haki za abiria na upi ni wajibu wa mtoa huduma. Mtoa huduma ni mtu yeote au taasisi iliyopewa leseni na SUMATRA kutoa huduma ya usafiishaji abiria.

HAKI ZA ABIRIA
Kwa mujibu wa kanuni hizo, abiria ana haki zifuatazo, ambazo kwazo ni wajibu wa mtoa huduma kwa abiria.

1. Haki ya kupanda gari lililo na uzima au kufaa kutembea barabarani. Mtoa huduma anatakiwa kuhakikisha kuwa gari analotumia kusafirishia abiria sio bovu(Kanuni 23(1)(a));

2. Haki ya kuendeshwa na dereva wawili wanaopokezana ikiwa safari hiyo inazidi masaa 8 tangu kuanza kwa safari. Kanuni 23(1)(c).

3. Haki ya kusafiri kwenye gari lililo safi na lenye sehemu za kutupia takataka na mikanda kuwa misafi (Kanuni 23(1)(f)); (Kanuni 25(a)(v));

4. Haki ya kusafiri kwenye gari lisilobeba mizigo ya hatari inayoweza kuhatarisha usalama wa abiria, kama vile gesi, bati, misumari, nk. (Kanuni 23(2)(a));

5. Haki ya kusafiri kwenye gari ambalo limepakia abiria kulingana na idadi iliyopo kwenye leseni ya usafirishaji. Kwa maana ya kwamba gari lisizidishe abiria. (Kanuni 23(2)(b));

6. Haki ya kusafiri katika gari ambalo burudani zinazotolewa wakati wa safari zinaendana na mila na tamaduni za Tanzania na zinatolewa kwa sauti ya chini. (Kanuni 23(2)(c));

7. Haki ya kuendeshwa na dereva anayejali na kuzingatia sheria za usalama barabarani na sheria nyinginezo. (Kanuni 23(2)(d));

8. Haki ya kuhudumiwa na mhudumu ambaye ni msafi na aliyevaa sare nadhifu. (Kanuni 24(1)(b));

9. Haki ya kutobughudhiwa kwenye basi na watu wanaofanya biashara, wanaohubiri injili au kuendesha shughuli au kampeni za kisiasa kwenye basi au kuonesha burudani zilizo kinyume na maadili ya na utamaduni wa mtanzania na kwa sauti ya juu. (Kanuni 24(1)(b)(ii)); (Kanuni 25(b)(iii));

10. Haki ya kupitishwa kwenye ruti ya gari iliyopangiwa na mamlaka na ruti hiyo isikatishwe kabla ya kufika mwisho wa safari. (Kanuni 24(1)(iii)(iv)); 25(b)(viii&ix)); Kanuni 42(1)

11. Haki ya kuuziwa tiketi halali;

12. Haki ya kumfahamu dereva na wahudumu wengine wa basi kupitia vitambulisho vyao. (Kanuni 25(b)(vi));

13. Haki ya basi kusimama kwenye vituo lililopangiwa ambapo kuna choo na huduma nyingine. (Kanuni 25(b)(vii));

14. Haki ya kuelezwa utaratibu wa safari kabla ya gari kuondoka. Kanuni ya 25(b)(x));

15. Haki ya kutozwa na kulipa nauli halali kama ilivyoidhinishwa na SUMATRA kulingana na daraja alilopanda. Kanuni ya 31 na kanuni ya 35;

16. Haki ya kupewa tiketi inayoeleza yafuatayo:

A. Kwa upande wa mabasi ya mikoani nay ale ya nchi nan chi
(i) Jina la abiria na nambari ya siti
(ii) Muda wa kuripoti na muda wa kuondoka
(iii) Kituo cha kuondokea, ruti litakayopita basin a mwisho wa basi
(iv) Nauli
(v) Anwani na namba za simu za msafirishaji
(vi) Namba ya usajili ya gari
(vii) Tarehe ya tiketi kutolewa na tarehe ya safari
(viii) Nambari za dharula za SUMATRA na Polisi
(ix) kodi maalumu ya kuulizia nauli halali ya SUMATRA
(x) Namba za simu za mtoa huduma

B. Kwa upande wa mabasi ya mijini
(i) Namba za usajili wa gari
(ii) Jina la ruti itakayopitwa
(iii) Nauli
(iv) Jina na anwani ya msafirishaji
(v) Tarehe ya kutolewa tiketi
(vi) Namba za simu za msafirishaji

17. Haki ya kurejeshewa nauli yote iwapo ameahirisha safari saa 24 au Zaidi kabla ya siku ya safari. Kanuni 33(5)

18. Haki ya kurejeshewa 25% ya nauli au kubadilisha tarehe ya safari iwapo amefanya maamuzi ya kuahirisha au kubadili tarehe ya safari muza usiopungua masaa 12 kabla ya safari. Kanuni 33(6)

19. Haki ya kupewa usafiri baada ya kukata tiketi. Kanuni 36(1)

20. Haki ya kurejeshewa nauli yote iwapo msafirishaji ameshindwa kuondoa basi ndani ya saa 1 tangu muda wa kuondoka ulioainishwa kwenye tiketi, ispokuwa tu kama abiria kwa hiyari yake ataamua kusubiri apewe usafiri mbadala. Kanuni 36(2)(a)

21. Haki ya kupewa usafiri mbadala au kurejeshewa nauli yote au kupewa chakula na malazi ndani ya masaa 2 iwapo basi limeharibika njiani. Kanuni 36(2)(b)

22. Haki ya kupakia bure bila kulipia mzigo mmoja usiozidi kilo 20 kwa abiria wanaosafiri katika ya mji na mji au nchi nan chi. Mzigo huo usizidi kimo cha sentimita 60, urefu wa sentimita 45 na upana wa sentimita 30. Na kama abiria ni mlemavu basi atakuwa na haki ya kusafirishiwa bure vifaa vyake vinavyomsaidia kwenye ulemavu, kama vile baiskeli ya kutembelea. Kanuni 38(1)(a) na (b)

23. Haki ya kulipia mzigo uliozidi kilo 20 baada ya kupimwa na msafirishaji. Kanuni 38(2)

24. Haki ya kuhifadhiwa mzigo wake vizuri na mahali salama na kupewa mwisho wa safari. Kanuni 40(b)

25. Haki ya kulipwa fidia ya mzigo wake iwapo mzigo umepotea au umeharibiwa kwa uwiano wa thamani ya mzigo ndani ya siku 30 tangu abiria aliporipoti amepotelewa na mzigo au mzigo wake kuharibika safarini na kuwasilisha ushahidi wa kuwa na mzigo huo. Kanuni 40(c)

26. Haki ya abiria mtoto wa chini ya umri wa miaka 3 au chini yake kutolipa nauli kwenye mabasi ya mji kwa mji au nchi nan chi.

Mtoa huduma/msafirishaji yeyote atakayekiuka masharti ya leseni ya usafirishaji, iwe ni yeye mwenyewe au wafanyakazi wake au wakala wake, atakuwa anatenda kosa na atalazimika kulipa faini isiyopungua shilingi laki 2 na isiyozidi shilingi laki 5 au kutumikia kifungo cha kisichopungua mwaka 1 jela na kisichozidi miaka 2 au vyote kwa pamoja.[Kif.43(1)] Bila kujali masharti ya kifungu 43(1), mtoa huduma hataruhusiwa kuajiri mtu yeyote ambaye ametenda makossa ya kukiuka kanuni hizi za usafirishaji zaidi ya mara tatu katika kipindi cha uhai wa leseni yake.

Imetafsiriwa na RSA Tanzania
Ili ujue adha ya magari lazima uyapande, sasa hivi bara bara mpya haina miundombinu ya kuegesha daldala na bajaji kushusha abiria. Tuiulize Serikali vituo vya kuegesha daladala wakati zinashusha abiria viko wapi ? Serikali imeviondoa bajaji na daladala zisimame wapi ? Ukitaka usawa kua msawa kwanza matatizo haya yanasababishwa na wahusika. Haijalishi ni changamoto ya aina gani na niusafiri wa aina gani kabla hajalaumu wahudumu mjue kabisa kuna wahusika na ndio wanaweza kukupa ufafanuzi muhudumu utamtia hasira tu kwa sababu anaziona changamoto ni zilezile kila siku, na ninyi mnao walaumu si kwamba hamjui wahusika ila nikutaka kutafuta vita kati ya maskini kwa maskini. SUMATRA, nani anamuhoji SUMATRA dhidi ya vibali wanavyotoa ? Angalieni Morogoro RD ilivyo na foleni ?. Nani anamuhoji RATRA na maegesho bubu ? Nani anamuhoji Dart na miundombinu ?


Tunapoteza muda wakati wahusika tunawajua wawekwe kikaangoni watuambie shida iko wapi.
Shida sisi watanzania waliowengi wanapenda unafiki na majungu ndio maana hatuwezi tatua shida muhimu. Tunashambulia makondakta na madereva wahusika hatuwaoni. Tunalaumu mwendokasi hawana chenji je, kwenye Treni Chenji wanazo ??? Tuache unafki na kujifanya tunajua sana. Wapinzani waliona njia pekee ni katiba mpya haya mmebebana wasomi mtengeneze katiba mpya badala yake mmekua kama form one, ndani ya chuma kimoja wasomi wote mmeonekana sifuri hakuna katiba mpya wala chochote kilichoendele kazi kula kodi zetu tu.


Tunaweza tukufanya mambo katika field way lakini tukikaa ofisini tukaaply tulio yasoma ni sifuri hatuta songa mbele.


Wakuu na viongozi wa organization mbali mbali njooni field tunaweza kutengeneza solutions za kueleweka.


Asubuhi njema.
 
Wakati unataka kupanda hiyo daladala kuna swali tu la kujiuliza kama hauna gari na una ndoto za kumiliki gari kisha utapata jibu safi na hutalalamika tena! Hivi ungekuwa na gari lako binafsi ungetumia mafuta ya bei gani kutoka hapo kituoni kwenda kwako maana kuna wakati hutakiwi kutumia wingi tumia umoja ili uajibike kama wewe kama hautanielwa na una ndoto ya kumiliki gari basi wewe achana na hayo mawazo endelea kulalamika na muda unakwenda.
 
Wakuu,

Usafiri wa umma una vimbwanga yake, unaweza kukutana na jambo mpaka ukatamani ungekuwa na gari lako ili usikutane na masaibu hayo!

Mabasi machafu, wazee wa kubadili ruti na kusema magari hayaendi hasa kukiwa na watu wengi kituoni ni baadhi ya kero nilizokutana nazo kwenye usafiri huu wa jumuiya.

Vipi kwako, ipi/zipi ni kero zako kwenye matumizi ya usafiri wa umma? Wazee wa kupiga mwewe tunasubiri kero zenu pia😃

====

Wewe abiria unajua haki zako? Kwa uelewa zaidi soma hapa;

HAKI ZA ABIRIA NA WAJIBU WA WATOA HUDUMA YA USAFIRI KWA MUJIBU WA KANUNI ZA SUMATRA ZA USAFIRISHAJI ABIRIA ZA MWAKA 2017

Utangulizi

Mwaka 2017 Waziri wa Uchukuzi alifanyia marekebisho kanuni za usafirishaji wa abiria kwa njia usafiri wa mabasi na kanuni hizo kuchapishwa katika gazeti la Serikali nambari 421 la tarehe 06.10.2017. Leo tutaona je kwa mujibu wa kanuni hizo zipi ni haki za abiria na upi ni wajibu wa mtoa huduma. Mtoa huduma ni mtu yeote au taasisi iliyopewa leseni na SUMATRA kutoa huduma ya usafiishaji abiria.

HAKI ZA ABIRIA
Kwa mujibu wa kanuni hizo, abiria ana haki zifuatazo, ambazo kwazo ni wajibu wa mtoa huduma kwa abiria.

1. Haki ya kupanda gari lililo na uzima au kufaa kutembea barabarani. Mtoa huduma anatakiwa kuhakikisha kuwa gari analotumia kusafirishia abiria sio bovu(Kanuni 23(1)(a));

2. Haki ya kuendeshwa na dereva wawili wanaopokezana ikiwa safari hiyo inazidi masaa 8 tangu kuanza kwa safari. Kanuni 23(1)(c).

3. Haki ya kusafiri kwenye gari lililo safi na lenye sehemu za kutupia takataka na mikanda kuwa misafi (Kanuni 23(1)(f)); (Kanuni 25(a)(v));

4. Haki ya kusafiri kwenye gari lisilobeba mizigo ya hatari inayoweza kuhatarisha usalama wa abiria, kama vile gesi, bati, misumari, nk. (Kanuni 23(2)(a));

5. Haki ya kusafiri kwenye gari ambalo limepakia abiria kulingana na idadi iliyopo kwenye leseni ya usafirishaji. Kwa maana ya kwamba gari lisizidishe abiria. (Kanuni 23(2)(b));

6. Haki ya kusafiri katika gari ambalo burudani zinazotolewa wakati wa safari zinaendana na mila na tamaduni za Tanzania na zinatolewa kwa sauti ya chini. (Kanuni 23(2)(c));

7. Haki ya kuendeshwa na dereva anayejali na kuzingatia sheria za usalama barabarani na sheria nyinginezo. (Kanuni 23(2)(d));

8. Haki ya kuhudumiwa na mhudumu ambaye ni msafi na aliyevaa sare nadhifu. (Kanuni 24(1)(b));

9. Haki ya kutobughudhiwa kwenye basi na watu wanaofanya biashara, wanaohubiri injili au kuendesha shughuli au kampeni za kisiasa kwenye basi au kuonesha burudani zilizo kinyume na maadili ya na utamaduni wa mtanzania na kwa sauti ya juu. (Kanuni 24(1)(b)(ii)); (Kanuni 25(b)(iii));

10. Haki ya kupitishwa kwenye ruti ya gari iliyopangiwa na mamlaka na ruti hiyo isikatishwe kabla ya kufika mwisho wa safari. (Kanuni 24(1)(iii)(iv)); 25(b)(viii&ix)); Kanuni 42(1)

11. Haki ya kuuziwa tiketi halali;

12. Haki ya kumfahamu dereva na wahudumu wengine wa basi kupitia vitambulisho vyao. (Kanuni 25(b)(vi));

13. Haki ya basi kusimama kwenye vituo lililopangiwa ambapo kuna choo na huduma nyingine. (Kanuni 25(b)(vii));

14. Haki ya kuelezwa utaratibu wa safari kabla ya gari kuondoka. Kanuni ya 25(b)(x));

15. Haki ya kutozwa na kulipa nauli halali kama ilivyoidhinishwa na SUMATRA kulingana na daraja alilopanda. Kanuni ya 31 na kanuni ya 35;

16. Haki ya kupewa tiketi inayoeleza yafuatayo:

A. Kwa upande wa mabasi ya mikoani nay ale ya nchi nan chi
(i) Jina la abiria na nambari ya siti
(ii) Muda wa kuripoti na muda wa kuondoka
(iii) Kituo cha kuondokea, ruti litakayopita basin a mwisho wa basi
(iv) Nauli
(v) Anwani na namba za simu za msafirishaji
(vi) Namba ya usajili ya gari
(vii) Tarehe ya tiketi kutolewa na tarehe ya safari
(viii) Nambari za dharula za SUMATRA na Polisi
(ix) kodi maalumu ya kuulizia nauli halali ya SUMATRA
(x) Namba za simu za mtoa huduma

B. Kwa upande wa mabasi ya mijini
(i) Namba za usajili wa gari
(ii) Jina la ruti itakayopitwa
(iii) Nauli
(iv) Jina na anwani ya msafirishaji
(v) Tarehe ya kutolewa tiketi
(vi) Namba za simu za msafirishaji

17. Haki ya kurejeshewa nauli yote iwapo ameahirisha safari saa 24 au Zaidi kabla ya siku ya safari. Kanuni 33(5)

18. Haki ya kurejeshewa 25% ya nauli au kubadilisha tarehe ya safari iwapo amefanya maamuzi ya kuahirisha au kubadili tarehe ya safari muza usiopungua masaa 12 kabla ya safari. Kanuni 33(6)

19. Haki ya kupewa usafiri baada ya kukata tiketi. Kanuni 36(1)

20. Haki ya kurejeshewa nauli yote iwapo msafirishaji ameshindwa kuondoa basi ndani ya saa 1 tangu muda wa kuondoka ulioainishwa kwenye tiketi, ispokuwa tu kama abiria kwa hiyari yake ataamua kusubiri apewe usafiri mbadala. Kanuni 36(2)(a)

21. Haki ya kupewa usafiri mbadala au kurejeshewa nauli yote au kupewa chakula na malazi ndani ya masaa 2 iwapo basi limeharibika njiani. Kanuni 36(2)(b)

22. Haki ya kupakia bure bila kulipia mzigo mmoja usiozidi kilo 20 kwa abiria wanaosafiri katika ya mji na mji au nchi nan chi. Mzigo huo usizidi kimo cha sentimita 60, urefu wa sentimita 45 na upana wa sentimita 30. Na kama abiria ni mlemavu basi atakuwa na haki ya kusafirishiwa bure vifaa vyake vinavyomsaidia kwenye ulemavu, kama vile baiskeli ya kutembelea. Kanuni 38(1)(a) na (b)

23. Haki ya kulipia mzigo uliozidi kilo 20 baada ya kupimwa na msafirishaji. Kanuni 38(2)

24. Haki ya kuhifadhiwa mzigo wake vizuri na mahali salama na kupewa mwisho wa safari. Kanuni 40(b)

25. Haki ya kulipwa fidia ya mzigo wake iwapo mzigo umepotea au umeharibiwa kwa uwiano wa thamani ya mzigo ndani ya siku 30 tangu abiria aliporipoti amepotelewa na mzigo au mzigo wake kuharibika safarini na kuwasilisha ushahidi wa kuwa na mzigo huo. Kanuni 40(c)

26. Haki ya abiria mtoto wa chini ya umri wa miaka 3 au chini yake kutolipa nauli kwenye mabasi ya mji kwa mji au nchi nan chi.

Mtoa huduma/msafirishaji yeyote atakayekiuka masharti ya leseni ya usafirishaji, iwe ni yeye mwenyewe au wafanyakazi wake au wakala wake, atakuwa anatenda kosa na atalazimika kulipa faini isiyopungua shilingi laki 2 na isiyozidi shilingi laki 5 au kutumikia kifungo cha kisichopungua mwaka 1 jela na kisichozidi miaka 2 au vyote kwa pamoja.[Kif.43(1)] Bila kujali masharti ya kifungu 43(1), mtoa huduma hataruhusiwa kuajiri mtu yeyote ambaye ametenda makossa ya kukiuka kanuni hizi za usafirishaji zaidi ya mara tatu katika kipindi cha uhai wa leseni yake.

Imetafsiriwa na RSA Tanzania
Hata mi nimwahi kataa kushuka kwani tulibaki abiria wachache.
Na kumbuka kuwa unapomrudisha abiria alikotoka inamaana ya kwamba umemuongezea safari.
So dereva alikwenda Lacap
 
Wakuu,

Usafiri wa umma una vimbwanga yake, unaweza kukutana na jambo mpaka ukatamani ungekuwa na gari lako ili usikutane na masaibu hayo!

Mabasi machafu, wazee wa kubadili ruti na kusema magari hayaendi hasa kukiwa na watu wengi kituoni ni baadhi ya kero nilizokutana nazo kwenye usafiri huu wa jumuiya.

Vipi kwako, ipi/zipi ni kero zako kwenye matumizi ya usafiri wa umma? Wazee wa kupiga mwewe tunasubiri kero zenu pia😃

====

Wewe abiria unajua haki zako? Kwa uelewa zaidi soma hapa;

HAKI ZA ABIRIA NA WAJIBU WA WATOA HUDUMA YA USAFIRI KWA MUJIBU WA KANUNI ZA SUMATRA ZA USAFIRISHAJI ABIRIA ZA MWAKA 2017

Utangulizi

Mwaka 2017 Waziri wa Uchukuzi alifanyia marekebisho kanuni za usafirishaji wa abiria kwa njia usafiri wa mabasi na kanuni hizo kuchapishwa katika gazeti la Serikali nambari 421 la tarehe 06.10.2017. Leo tutaona je kwa mujibu wa kanuni hizo zipi ni haki za abiria na upi ni wajibu wa mtoa huduma. Mtoa huduma ni mtu yeote au taasisi iliyopewa leseni na SUMATRA kutoa huduma ya usafiishaji abiria.

HAKI ZA ABIRIA
Kwa mujibu wa kanuni hizo, abiria ana haki zifuatazo, ambazo kwazo ni wajibu wa mtoa huduma kwa abiria.

1. Haki ya kupanda gari lililo na uzima au kufaa kutembea barabarani. Mtoa huduma anatakiwa kuhakikisha kuwa gari analotumia kusafirishia abiria sio bovu(Kanuni 23(1)(a));

2. Haki ya kuendeshwa na dereva wawili wanaopokezana ikiwa safari hiyo inazidi masaa 8 tangu kuanza kwa safari. Kanuni 23(1)(c).

3. Haki ya kusafiri kwenye gari lililo safi na lenye sehemu za kutupia takataka na mikanda kuwa misafi (Kanuni 23(1)(f)); (Kanuni 25(a)(v));

4. Haki ya kusafiri kwenye gari lisilobeba mizigo ya hatari inayoweza kuhatarisha usalama wa abiria, kama vile gesi, bati, misumari, nk. (Kanuni 23(2)(a));

5. Haki ya kusafiri kwenye gari ambalo limepakia abiria kulingana na idadi iliyopo kwenye leseni ya usafirishaji. Kwa maana ya kwamba gari lisizidishe abiria. (Kanuni 23(2)(b));

6. Haki ya kusafiri katika gari ambalo burudani zinazotolewa wakati wa safari zinaendana na mila na tamaduni za Tanzania na zinatolewa kwa sauti ya chini. (Kanuni 23(2)(c));

7. Haki ya kuendeshwa na dereva anayejali na kuzingatia sheria za usalama barabarani na sheria nyinginezo. (Kanuni 23(2)(d));

8. Haki ya kuhudumiwa na mhudumu ambaye ni msafi na aliyevaa sare nadhifu. (Kanuni 24(1)(b));

9. Haki ya kutobughudhiwa kwenye basi na watu wanaofanya biashara, wanaohubiri injili au kuendesha shughuli au kampeni za kisiasa kwenye basi au kuonesha burudani zilizo kinyume na maadili ya na utamaduni wa mtanzania na kwa sauti ya juu. (Kanuni 24(1)(b)(ii)); (Kanuni 25(b)(iii));

10. Haki ya kupitishwa kwenye ruti ya gari iliyopangiwa na mamlaka na ruti hiyo isikatishwe kabla ya kufika mwisho wa safari. (Kanuni 24(1)(iii)(iv)); 25(b)(viii&ix)); Kanuni 42(1)

11. Haki ya kuuziwa tiketi halali;

12. Haki ya kumfahamu dereva na wahudumu wengine wa basi kupitia vitambulisho vyao. (Kanuni 25(b)(vi));

13. Haki ya basi kusimama kwenye vituo lililopangiwa ambapo kuna choo na huduma nyingine. (Kanuni 25(b)(vii));

14. Haki ya kuelezwa utaratibu wa safari kabla ya gari kuondoka. Kanuni ya 25(b)(x));

15. Haki ya kutozwa na kulipa nauli halali kama ilivyoidhinishwa na SUMATRA kulingana na daraja alilopanda. Kanuni ya 31 na kanuni ya 35;

16. Haki ya kupewa tiketi inayoeleza yafuatayo:

A. Kwa upande wa mabasi ya mikoani nay ale ya nchi nan chi
(i) Jina la abiria na nambari ya siti
(ii) Muda wa kuripoti na muda wa kuondoka
(iii) Kituo cha kuondokea, ruti litakayopita basin a mwisho wa basi
(iv) Nauli
(v) Anwani na namba za simu za msafirishaji
(vi) Namba ya usajili ya gari
(vii) Tarehe ya tiketi kutolewa na tarehe ya safari
(viii) Nambari za dharula za SUMATRA na Polisi
(ix) kodi maalumu ya kuulizia nauli halali ya SUMATRA
(x) Namba za simu za mtoa huduma

B. Kwa upande wa mabasi ya mijini
(i) Namba za usajili wa gari
(ii) Jina la ruti itakayopitwa
(iii) Nauli
(iv) Jina na anwani ya msafirishaji
(v) Tarehe ya kutolewa tiketi
(vi) Namba za simu za msafirishaji

17. Haki ya kurejeshewa nauli yote iwapo ameahirisha safari saa 24 au Zaidi kabla ya siku ya safari. Kanuni 33(5)

18. Haki ya kurejeshewa 25% ya nauli au kubadilisha tarehe ya safari iwapo amefanya maamuzi ya kuahirisha au kubadili tarehe ya safari muza usiopungua masaa 12 kabla ya safari. Kanuni 33(6)

19. Haki ya kupewa usafiri baada ya kukata tiketi. Kanuni 36(1)

20. Haki ya kurejeshewa nauli yote iwapo msafirishaji ameshindwa kuondoa basi ndani ya saa 1 tangu muda wa kuondoka ulioainishwa kwenye tiketi, ispokuwa tu kama abiria kwa hiyari yake ataamua kusubiri apewe usafiri mbadala. Kanuni 36(2)(a)

21. Haki ya kupewa usafiri mbadala au kurejeshewa nauli yote au kupewa chakula na malazi ndani ya masaa 2 iwapo basi limeharibika njiani. Kanuni 36(2)(b)

22. Haki ya kupakia bure bila kulipia mzigo mmoja usiozidi kilo 20 kwa abiria wanaosafiri katika ya mji na mji au nchi nan chi. Mzigo huo usizidi kimo cha sentimita 60, urefu wa sentimita 45 na upana wa sentimita 30. Na kama abiria ni mlemavu basi atakuwa na haki ya kusafirishiwa bure vifaa vyake vinavyomsaidia kwenye ulemavu, kama vile baiskeli ya kutembelea. Kanuni 38(1)(a) na (b)

23. Haki ya kulipia mzigo uliozidi kilo 20 baada ya kupimwa na msafirishaji. Kanuni 38(2)

24. Haki ya kuhifadhiwa mzigo wake vizuri na mahali salama na kupewa mwisho wa safari. Kanuni 40(b)

25. Haki ya kulipwa fidia ya mzigo wake iwapo mzigo umepotea au umeharibiwa kwa uwiano wa thamani ya mzigo ndani ya siku 30 tangu abiria aliporipoti amepotelewa na mzigo au mzigo wake kuharibika safarini na kuwasilisha ushahidi wa kuwa na mzigo huo. Kanuni 40(c)

26. Haki ya abiria mtoto wa chini ya umri wa miaka 3 au chini yake kutolipa nauli kwenye mabasi ya mji kwa mji au nchi nan chi.

Mtoa huduma/msafirishaji yeyote atakayekiuka masharti ya leseni ya usafirishaji, iwe ni yeye mwenyewe au wafanyakazi wake au wakala wake, atakuwa anatenda kosa na atalazimika kulipa faini isiyopungua shilingi laki 2 na isiyozidi shilingi laki 5 au kutumikia kifungo cha kisichopungua mwaka 1 jela na kisichozidi miaka 2 au vyote kwa pamoja.[Kif.43(1)] Bila kujali masharti ya kifungu 43(1), mtoa huduma hataruhusiwa kuajiri mtu yeyote ambaye ametenda makossa ya kukiuka kanuni hizi za usafirishaji zaidi ya mara tatu katika kipindi cha uhai wa leseni yake.

Imetafsiriwa na RSA Tanzania
Mbada ilikuwa kuweka usafiri wao, lakini hiyo siyo sahihi ni unyanya paa. Kitu Cha msingi nikuweka utaratibu mzuri kwenye vituo, watu waingie kwa kufuata utaratibu maalumu aliye wai awai kuondoka vivyo kwa aliye chelewa pia (hii inawezekana kwa kuweka usimamizi kwenye vituo korofi).
 
Hakuna kitu sikipendi barabarani ikiwa taa ya kukuongoza imewaka mtu wa mbele yako gari yake imezima na anaangaika kupiga starts haiwaki mara taa ya njano unakuta imewaka
 
Kero yangu ni watoa huduma za dalaldala utingo wengi wao wamekuwa na mvazi machafu ambayo yanaleta kero kwa abiria, lakini pia madereva ambao wanapenda kupiga honi za gari ovyo ovyo bila sababu za msingi na kuleta kero kwa abiria na watumiaji wengine wa barabara!

Ninatoa rai kwao waweze kuacha kwani inaweza kuleta madhara ikiwemo ajali kwa upande wa upigaji wa honi ovyo kwani mtu anaweza kushtuk na kukimbili upande ambao gari limeelekea na kupatwa na ajali lakini pia utingo wajitahid kuzifua sare zao za kazi ili kuleta ufanisi kwenye kazi zao na kwa abiria kwa ujumla.
 
Mm hua nachukia kukaa siti moja na mama juniors. Unakuta nmenunua zangu kiepe na nyama najilia Mara junior ananipokonya nyama na mbaya zaidi mama junior Hana habari na kitendo hiyo. Na akijitahidi sana atasema junior utammalizia anko nyama
🤣🤣😂🤣😂
 
Back
Top Bottom