Ze_Papirii
JF-Expert Member
- Oct 12, 2018
- 501
- 995
- Thread starter
- #21
Daaahh nomaa hyo ndo tafsiri sahihi wengine tutaanza usiku, usiku wa manane
Daaahh nomaa hyo ndo tafsiri sahihi wengine tutaanza usiku, usiku wa manane
Sikupingi mzeebabaWatu wako kwa game ya yanga. Subir watoke
Pamoja kamandaNgoja waje kukupa muongozo...
Habari za Asubuhi wanaJF huu ni uzi wetu maalumu kwa wale hustlers ambao tunaingia kwnye mishemishe asubuhi na mapema(kuanzia saa 12- 3 asubuhi).
Hapa tutakua tunatakiana kila la kheri na kuomba baraka za Mwenyezi Mungu kbla ya kuanza mishemishe zetu unaruhusiwa kucomment neno lolote la kupeana moyo na kutiana nguvu.
Hapa itapendeza kila siku asubuhi kbla ya kupita kwny uzi wwte wa JF ukapitia hapa kuandika chochote cha kutiana hamasa.
Lakini pia baada ya kazi ya siku husika unaeza ukapita hapa kutoa mrejesho na changamoto mbalimbali ulizokumbana nazo kwny siku husika kwny mishe zako lakini pia hata mazuri uliyokutana nayo..
Karibuni Sanaa Hustlers..
Amini kwamba kamkubwaAsilimia zaidi ya 85 humu ni Hustlers lakini hawataki kuja kuchangia huu uzi. Wapo kwenye Kula Kimasihara tu.
All Hustlers, tupambane sana bila kuchoka
Papirii yupi/ wa wapi..?Hilo jina nimemkumbuka papiriii
Upo central..
Mbona hawapiti hapa sasa toka decemberSasa mbona kama jf yote n mahasla?
Washajipata mkuuMbona hawapiti hapa sasa toka december
Sawa sawa..acha tuendelee kupita oita na sis mpaka tujipateWashajipata mkuu
Mkuu hauna buku apo 😂Sawa sawa..acha tuendelee kupita oita na sis mpaka tujipate