fukunyuku1234
Senior Member
- Mar 12, 2024
- 194
- 351
Hii imemtokea rafiki yangu mmoja alianzisha mahusiano na kijana mmoja baada ya kama miezi miwili kupita huyo kijana akaanza kuwa anamuomba huyo dada pesa na kumueleza shida zake mbalimbali ili amsaidie kifedha
Hii imekaaje wadau.
Vijana wa kiume mmekuwaje?
Hii imekaaje wadau.
Vijana wa kiume mmekuwaje?