Intelligent businessman
JF-Expert Member
- Sep 6, 2022
- 26,771
- 54,061
Nakumbuka kipindi Cha nyuma kulikuwa na hii bidhaa ya ivory tomato.
Siku hizi haionekani kabisa?? je wakuu wali iondoa sokoni, au Kuna sehemu Hawa isambazi?!.
Hii ilikuwa nzuri zaidi ya Ile red gold, kuanzia ladha na hata muonekano.
Na hata tangazo lake Lili fanyiwa na marehemu king majuto.
Siku hizi haionekani kabisa?? je wakuu wali iondoa sokoni, au Kuna sehemu Hawa isambazi?!.
Hii ilikuwa nzuri zaidi ya Ile red gold, kuanzia ladha na hata muonekano.
Na hata tangazo lake Lili fanyiwa na marehemu king majuto.