Chrysanthemum
JF-Expert Member
- Oct 28, 2016
- 1,245
- 4,656
Mikoani tunawakaribisha sana !! wewe bila hata taarifa njoo mradi ni ndugu !! chakula na makazi havijawahi kuwa changamoto !! Sausage tu ndo hakuna !!!
Acha uoga wa kijinga. Mtu ashindwe kuishi maisha yake kwa kuhofia atakufa siku moja? Kuna ambaye hatokufa? Kama una mali unashindwa hata kuandaa wosia juu ya warithi wa mali zako?Mkifa mitoto yenu inarudi mikoani kunyanyaswa......ndugu mliowaita wanoko hamuwataki wanachukua Mali zote ulizochuma....mke wa marehemu akishtaki,ndugu hutumia pesa za marehemu kushinda kesi....Hapo marehemu umelala kimya kaburini.Hii ndiyo dunia mkuu
Kinacholeta shida ni umaskini. Watu wengi wa mji ni maskini sana kiasi kwamba wanachokipata hakitoshelezi hata kwa familia zao tu. Pia utakuta baba, mama na watoto wanaishi chumba kimoja. Yaani balaa.Acha uoga wa kijinga. Mtu ashindwe kuishi maisha yake kwa kuhofia atakufa siku moja? Kuna ambaye hatokufa? Kama una mali unashindwa hata kuandaa wosia juu ya warithi wa mali zako?
MwanaJF gani anatembea na kidaftari cha namba za simu? Humo JF kuna option ya kusoma nyuzi kwwa daftari?Kama ni MwanaJF na akajua umekuja kumsema mtandaoni itakuwaje?
Semina nzuri, ili angalau hayo yawezekane basi hebu tumia nafasi yako kumwomba asikubali kila jambo analopelekewa mezani maana wanamharibia na matokeo yake maisha yanakuwa magumu mwisho tunakimbiana mjiniNinafikiria ni kwa jinsi gani ninaweza kuwa na roho ya kumtelekeza ndugu au rafiki yangu stendi??!!.... kwa jinsi nilivyokuzwa ni kuwa kutompokea kabisa kiasi cha kutompa hata hifadhi ya usiku mmoja ni dhambi kubwa na ikigundulika ni kesi nzito kuanzia kwa baba na mama mzazi. Tujitahidi tu kuwa wakarimu kwa wageni wetu bila kuchotwa sana na tamaduni za magharibi. Wewe mwache aje kisha mlaze hata bafuni kuliko kumtelekeza kabisa. Haya maisha hayana mjanja... mambo kama ajali, kesi mahakamani, magonjwa au jela yanaweza kubadili kabisa title yako na ukawa tegemezi kwa unaowatelekeza stendi.
Tusameheni wakuu...Hii tabia imekuwa sugu. Yaani mtu anakaa tu na halmashauri ya kichwa chake anaamua kuwa nimpigie jamaa yangu yupo Dar nikafikie kwake.
Mi nipo zangu home jana inaingiza simu ya Abouu. Ananiuliza maisha vipi namwambia safi tunalisongesha. Maneno maneno mengi mwisho anasema nipo Dar nataka nije kwako nielekeze. Nikamuuliza wakati unapanga kuja ulinishirikisha? Unaamua tu kuja kwangu hata hujanitaarifu.
Jamaa ame mind kawaambia watu nimemkataa. Ninyi wa Mikoani mnadhani huku ni kama kwenu huko ambako hamna ratiba maalum. Mnajiamulia tu.
Mwaka juzi nlimwacha mtu stand kwa upuuzi kama huo. Kakaa zake Mbwinde mwisho kaamua kuja town a anipigia simu kuwa yupo Dar anataka aje home. Nlimwambia tu kuwa sipo home na familia tumesafiri.
Akaanza kuomba basi nimpatie pesa ya sehemu ya kulala anisubiri. Nilimwambia mwezi mzima sitokuwa home. Akataka nimtumie nauli. Nlizima na simu kabisa. Huu ni wendawazimu.
Halafu tukiwaakaribisha mnaenda kutusema kijijini kuwa huku tunaishi maisha mazuri sana hatuwajali watu wa vijijini. Mnaenda kutuponda sana kijijini kuwa tunatumia pesa vibaya.
Jamaa amezingua sana....ila msamehe bure tu, hajui atendalo.Jam
Jamaa mbona una hasira dhidi ya ndugu zako wallikufanya nini mpaka unawaitia Mijitu?
Mkuu Jaribu kuwa Mnyenyekevu basi.
Hao unaowadharau ipo siku utawakumbuka na hutawaona.
Kama huwezi kumsaidia mtu basi achana naye ila usimpe majina mabaya eti Mijitu.....Itakuwa wewe Kweli Umeolewa maana hizo hasira tu sio kidogo.
Siku watakapoamua kukusafirisha hao ndio wachimba kaburi wagawa chakula kwenye msiba wako be humble brother..Hii tabia imekuwa sugu. Yaani mtu anakaa tu na halmashauri ya kichwa chake anaamua kuwa nimpigie jamaa yangu yupo Dar nikafikie kwake.
Mi nipo zangu home jana inaingiza simu ya Abouu. Ananiuliza maisha vipi namwambia safi tunalisongesha. Maneno maneno mengi mwisho anasema nipo Dar nataka nije kwako nielekeze. Nikamuuliza wakati unapanga kuja ulinishirikisha? Unaamua tu kuja kwangu hata hujanitaarifu.
Jamaa ame mind kawaambia watu nimemkataa. Ninyi wa Mikoani mnadhani huku ni kama kwenu huko ambako hamna ratiba maalum. Mnajiamulia tu.
Mwaka juzi nlimwacha mtu stand kwa upuuzi kama huo. Kakaa zake Mbwinde mwisho kaamua kuja town a anipigia simu kuwa yupo Dar anataka aje home. Nlimwambia tu kuwa sipo home na familia tumesafiri.
Akaanza kuomba basi nimpatie pesa ya sehemu ya kulala anisubiri. Nilimwambia mwezi mzima sitokuwa home. Akataka nimtumie nauli. Nlizima na simu kabisa. Huu ni wendawazimu.
Halafu tukiwaakaribisha mnaenda kutusema kijijini kuwa huku tunaishi maisha mazuri sana hatuwajali watu wa vijijini. Mnaenda kutuponda sana kijijini kuwa tunatumia pesa vibaya.
Kama anakubana kwanini usimtimue..Mbaya zaidi MTU akishakaa kwako siku akiondoka huko anakofikia Ni kumsema mkeo vibaya.
Mara jamaa kaolewa maana yule mke Ni mvivu. Mke mchoyo, mke anadharau n.k
Kumbukeni mke wangu Ni pambo la nyumba yangu, sio MTU wa kusonga ugali kwa ajili ya mijitu ya kijijini.
Mke wangu ashindwe kunilisha vipaja vya kuku kisa Kuna mgeni au mke wangu asiwe na Uhuru wa kujiachia nyumbani kwake kisa mgeni!
Kwendreni huko.
Mkuu usikimbie majukumu 😅😅..Hii tabia imekuwa sugu. Yaani mtu anakaa tu na halmashauri ya kichwa chake anaamua kuwa nimpigie jamaa yangu yupo Dar nikafikie kwake.
Mi nipo zangu home jana inaingiza simu ya Abouu. Ananiuliza maisha vipi namwambia safi tunalisongesha. Maneno maneno mengi mwisho anasema nipo Dar nataka nije kwako nielekeze. Nikamuuliza wakati unapanga kuja ulinishirikisha? Unaamua tu kuja kwangu hata hujanitaarifu.
Jamaa ame mind kawaambia watu nimemkataa. Ninyi wa Mikoani mnadhani huku ni kama kwenu huko ambako hamna ratiba maalum. Mnajiamulia tu.
Mwaka juzi nlimwacha mtu stand kwa upuuzi kama huo. Kakaa zake Mbwinde mwisho kaamua kuja town a anipigia simu kuwa yupo Dar anataka aje home. Nlimwambia tu kuwa sipo home na familia tumesafiri.
Akaanza kuomba basi nimpatie pesa ya sehemu ya kulala anisubiri. Nilimwambia mwezi mzima sitokuwa home. Akataka nimtumie nauli. Nlizima na simu kabisa. Huu ni wendawazimu.
Halafu tukiwaakaribisha mnaenda kutusema kijijini kuwa huku tunaishi maisha mazuri sana hatuwajali watu wa vijijini. Mnaenda kutuponda sana kijijini kuwa tunatumia pesa vibaya.